Juliana Shonza aendelea kuchangia Miradi ya Maendeleo Songwe

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,903
945
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Songwe, Mhe. Juliana Daniel Shonza tarehe 04 Julai, 2023 alishiriki Baraza la UWT Wilaya ya Songwe ambapo alichangia Mifuko 50 ya Cement yenye thamani ya Shilingi Milioni Moja kwaajili ya ujenzi wa Nyumba ya Katibu UWT Wilaya ya Songwe

Mhe. Shonza alielezea utekelezaji wa Ilani ya CCM awamu ya sita pamoja na mpango kazi wake ambapo amesema tarehe 07 Julai, 2023 anatarajia kuanza ziara rasmi kutembelea vikundi vya wanawake wajasiriamali katika Kata za Mkoa wa Songwe.

Mhe. Shonza amesema Barabara ya kutoka Mbarizi mpaka Mkwajuni mwaka huu wa fedha imewekwa kwenye bajeti mpya ambapo ujenzi utaanza kwani kimekuwa ni kilio cha muda mrefu sana na Wabunge walikuwa wanaomba kwa muda mwingi

Mhe. Shonza amemshukuru Rais Samia kwa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Songwe ambayo imekamilika na ipo hatua za mwisho kuanza kazi kwani itasaidia kupunguza vifo vya mama na watoto katika Wilaya ya Songwe

Mhe. Shonza amesema Wilaya ya Songwe sasa imepata miradi mingi sana ya Maji ambayo itasiadia kutatua changamoto ya upatikanaji wa Maji

Mhe. Shonza ameishukuru Serikali kwa utowaji na ugawaji wa leseni za Uchimbaji Madini katika eneo la Ngwala ambapo wachimbaji wametengeneza barabara ambayo ilikuwa haipitiki ambapo sasa inapitika kirahisi kwa wananchi na Wafanyakazi wa mgodi

Mwisho, Mhe. Juliana Shonza ametoa ratiba ya ziara na mikutano ya hadhara anayotarajia kuifanya katika Jimbo la Songwe ambayo itaanza tarehe 07 Julai, 2023 ambapo ataongea na wananchi na kusikiliza kero zao.

WhatsApp Image 2023-07-05 at 09.54.10(1).jpeg
WhatsApp Image 2023-07-05 at 09.54.10.jpeg
WhatsApp Image 2023-07-05 at 09.54.09(2).jpeg
WhatsApp Image 2023-07-05 at 09.54.09(1).jpeg
WhatsApp Image 2023-07-05 at 09.54.09.jpeg
WhatsApp Image 2023-07-05 at 09.54.08(1).jpeg
WhatsApp Image 2023-07-05 at 09.54.08.jpeg
 
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Songwe, Mhe. Juliana Daniel Shonza tarehe 04 Julai, 2023 alishiriki Baraza la UWT Wilaya ya Songwe ambapo alichangia Mifuko 50 ya Cement yenye thamani ya Shilingi Milioni Moja kwaajili ya ujenzi wa Nyumba ya Katibu UWT Wilaya ya Songwe

Mhe. Shonza alielezea utekelezaji wa Ilani ya CCM awamu ya sita pamoja na mpango kazi wake ambapo amesema tarehe 07 Julai, 2023 anatarajia kuanza ziara rasmi kutembelea vikundi vya wanawake wajasiriamali katika Kata za Mkoa wa Songwe.

Mhe. Shonza amesema Barabara ya kutoka Mbarizi mpaka Mkwajuni mwaka huu wa fedha imewekwa kwenye bajeti mpya ambapo ujenzi utaanza kwani kimekuwa ni kilio cha muda mrefu sana na Wabunge walikuwa wanaomba kwa muda mwingi

Mhe. Shonza amemshukuru Rais Samia kwa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Songwe ambayo imekamilika na ipo hatua za mwisho kuanza kazi kwani itasaidia kupunguza vifo vya mama na watoto katika Wilaya ya Songwe

Mhe. Shonza amesema Wilaya ya Songwe sasa imepata miradi mingi sana ya Maji ambayo itasiadia kutatua changamoto ya upatikanaji wa Maji

Mhe. Shonza ameishukuru Serikali kwa utowaji na ugawaji wa leseni za Uchimbaji Madini katika eneo la Ngwala ambapo wachimbaji wametengeneza barabara ambayo ilikuwa haipitiki ambapo sasa inapitika kirahisi kwa wananchi na Wafanyakazi wa mgodi

Mwisho, Mhe. Juliana Shonza ametoa ratiba ya ziara na mikutano ya hadhara anayotarajia kuifanya katika Jimbo la Songwe ambayo itaanza tarehe 07 Julai, 2023 ambapo ataongea na wananchi na kusikiliza kero zao.

View attachment 2679067View attachment 2679068View attachment 2679069View attachment 2679070View attachment 2679071View attachment 2679072View attachment 2679073
Mnachukua rushwa DP world halafu mnahonga wananchi maji pumbavu.
Bandari haziuzwiiiiiiii
 
Back
Top Bottom