chalinze

The Chalinze by-election was a by-election held in Tanzania for the parliamentary constituency of Chalinze. It was triggered by the death of Saidi Bwanamdogo, the previous Member of Parliament (MP) who had held the seat for the Chama Cha Mapinduzi since 2010. The by-election took place on 6 April 2014 and the CCM candidate won by a landslide.

View More On Wikipedia.org
  1. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Lazaro Twange: Mradi wa kusafirisha umeme Chalinze - Dodoma wafikia 82.5%, kukamilika Agosti 2026

    Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Bw. Lazaro Twange, amesema mradi wa njia ya kusafirisha umeme wa msongo wa kilovolti 400 kutoka Chalinze hadi Zuzu, Dodoma, unatarajiwa kukamilika ifikapo Agosti 18, 2026. Akizungumza Mei 20, 2026 wakati wa ziara ya kukagua maendeleo ya mradi huo katika mikoa ya...
  2. A

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kutoka Dodoma kwenda Tanga kupitia Chalinze, panda mabasi bora ya Shabiby lile, ruti iko vilevile

    Kumekuwa na maneno, machapisho mitandaoni kwamba, ruti ya mabasi ya Shabiby Line kutoka Dodoma kwenda Tanga kupitia Chalinze imekufa. Siyo kweli hata kidogo. Ruti hiyo bado ipo palepale na ipo vilevile. Dodoma- Tanga na Tanga- Dodoma kupitia Chalinze kama vibao vya utambulisho mbele ya mabasi...
  3. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Inayojiita serikali halali ya awamu ya 6 bado mnaendelea na usanifu wa ujenzi wa njia sita kutoka Maili moja hadi Chalinze?

    Hii barabara inakero kubwa na sugu sana ambayo ni foleni isiyoelezeka. Na hii inatokana na udogo wa barabara kwa sababu inapitia magari mengi sana ikiwemo magari makubwa ya mizigo.. Jumamosi nilikuwa safari kuelekea Lugoba, yani nilifika saa 6 usiku, wakati mbezi nimetoka saa 2 kasoro usiku...
  4. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania KERO Barabara ya maili Moja mpaka Chalinze ni Kero kubwa

    Wakuu hi barabara tunasubiri Nini Kuitanua? Niliona kafulila kamfurusha Mbia ambaye alitaka Kufanya huu mradi na Serikali Kwa mode PPI ajenge halafu a impose Toll fee, Baada ya Kuongea vile hajarudi Tena kutoa way forward Barabara imekuwa kero Kubwa sana Kwa wasafiri Yani Foleni ya Kufa mtu...
  5. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Kuna foleni kubwa Mlandizi hadi Chalinze, zaidi ya masaa matatu magari hayatembei

    Nipo Vigwaza, Mkoa wa Pwani natokea Dodoma. Kuna foleni kubwa kwa zaidi ya saa mbili sasa, na magari hayasogei kabisa. Foleni inaanzia eneo la Mlandizi hadi Chalinze, magari yanayotoka Dar es salaam hayasogei, na yanayotoka Morogoro nayo ni hali hiyo hiyo. Naambiwa kuwa kero hii imekuwa kubwa...
  6. A

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi Ajira Mpya HALMASHAURI YA CHALINZE hatujapewa pesa ya kujikimu

    Mimi ni mtumishi wa ajira mpya kutoka Halmashauri ya Chalinze. Yaani toka mwezi wa pili hatujapewa pesa za kujikimu na ilihali halmashauri nyingine za mkoa wa Pwani wameshalipwa. Kila tukiuliza tunaambiwa tutalipwa tu, wanasema kama sio December 2025, basi April au June 2026.
  7. B

    JamiiForums Tanzania Wauza vifaa vya furniture anaefanya derivary nipo chalinze..

    Mimi ni fundi Kwa wauza vifaa vya furniture km Plywood 18mm... Mikono inch 6 ya makabati.... Mikono inch 8 ya kabati.... Bawaba za kichina.... Loki za kabat... Gundi bollbond... Disk ya mbao inch 7 Diski ya ukuta inch 4... Tina Njoo tufanye biashara boss site ipo chalinze 0692477610 watsapp
  8. Solo Traveller

    JamiiForums Tanzania Ishowspeed ana miaka 20 anazunguka dunia nzima wewe una 35 hata nauli ya chalinze huna

    Hii ni aibu dogo ana 20 anazunguka duniani na Africa wewe una 36 hata nauli ya morogoro huna
  9. Mwami Ntilubhazwa

    JamiiForums Tanzania Mashamba ya kilimo cha Nanasi Bagamoyo na Chalinze

    Mashamba kwa ajili ya kilimo cha Nanasi/mahindi/migomba nk yanapatikana,Bago,kiwangwa na Talawanda..Na mashamba pori yanapatikana pia. Bei rafiki. .Simu 0626431257
  10. Mwami Ntilubhazwa

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Mashamba Bagamoyo Chalinze

    Kwa anayehitaji Mashamba pori Wilaya ya chalinze na Bagamoyo kwa ajili ya kilimo,ufugaji na ujenzi anichek 0626431257. (MWAVI,KIWANGWA,TALAWANDA,MSATA,MWETEMO,MASUGURU,NK) WHATSAPP/CALL:- +255626431257
  11. N

    JamiiForums Tanzania Yas yatoa msaada vifaa tiba Hospitali ya wilaya Chalinze

    KAMPUNI ya mawasiliano hapa nchini, Yas imeonesha dhamira yake ya dhati katika kuboresha ustawi wa jamii kwa kutoa msaada wa vifaa tiba muhimu katika Hospitali ya Wilaya ya Chalinze, mkoani Pwani. Mpango huo, uliongozwa na Mkurugenzi wa Kanda ya Pwani Kusini, Fadhila Saidi ambaye alimkabidhi...
  12. Siri yangu

    JamiiForums Tanzania Kutoka kibaha hadi Chalinze kuna nini kwenye njia hii ?

    Wakuu nipo safarini napita njia hii morogoro road kutoka kibaha mpaka Ruvu darajani hapaeleweki na hili sio leo imekuwa sugu wenye mamlaka mtuambie shida ni nini? Hata mkituambia ni wingi wa malori bado siwezi kuamini kama ni kweli Trafic kila baada ya hatua kumi wanafanya nini wananchi...
  13. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Miji ya Chalinze na Msata kama lango la jiji la Dar es Salaam haipaswi kuwa vile kama ilivyo

    Kama unakaribia Dar es Salaam kama umetokea morogoro ni wazi kwamba ukifia chalinze ni kama unaanza pata picha jiji la dar es salaam, same kwa msata kama unatokea njia ya Tanga ukifika msata ni kama umeanza kupata picha ya Dar es Salaam Ila cha ajabu unapofika chalinze au msata haya maeneo sio...
  14. L

    JamiiForums Tanzania GE2025 PICHA: Ridhiwan Kikwete Apokelewa Kifalme na Wajumbe Jimboni Chalinze

    Ndugu zangu Watanzania, Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete Mbunge Wa Chalinze anayesubiria tu kuapishwa Baada ya kuwa Amepitishwa kuwa Mgombea pekee wa chama cha Mapinduzi Jimbo la Chalinze. kutokana na wanachama wengine kutochukua Fomu ya kugombea kutokana na kuridhishwa na uchapakazi wake pamoja...
  15. Mmawia

    JamiiForums Tanzania GE2025 Familia ya Kikwete yakosa upinzani CCM mbio za ubunge majimbo ya Mchinga na Chalinze

    Kufuatia majina ya waliopitishwa na uongozi wa juu wa ccm pale Dodoma. Jimbo la Mchinga kapita mama Salma Kikwete pekee hana mpinzani. Jimbo la Chalinze kapita Ridhiwani Kikwete maana hakuna aliyejitokeza kuchukua form. Hakika huu ni uthibitisho kuwa hawa wabunge waliwatumikia wananchi wa...
  16. Mhaya

    JamiiForums Tanzania GYM nzuri Msata au Chalinze inapatikana wapi?

    Habarini wanajamiiforums... Naomba kuuliza ni wapi kuna gym nzuri mitaa ya Msata au Chalinze
  17. T

    JamiiForums Tanzania Foleni ya Kibaha Chalinze itaisha lini?

    Huwa nasikia awamu hii imefanya mambo makubwa. Kuna hii barabara inayounganisha bandari ya Dar na mikoa karibu yote nchini, lkn pia nchi jirani zinazotumia bandari yetu. Cha ajabu ni kwamba barabara ya Kibaha Chalinze bado ni nyembamba sana hivyo kusababisha foleni kila siku. Sasa hivi...
  18. Dalali wa kimataifa

    JamiiForums Tanzania Kutana na eneo lenye ukubwa wa ekari 57,halina kipengele labda uje nacho wewe tajiri, eneo lipo chamakweza chalinze,morogoro road,bei ni milioni 854

    Eneo la Ekari 57 linagusa Morogoro road linauzwa Chamakweza, Chalinze Location Eneo lipo upande wa kulia ukitokea Dar es Salaam Upana wa mbele Ekari 2 zimegusa lami zinazobaki nyuma -Eneo ni tambarare halina Mlima Eneo linafaa kwa ujenzi wa Kiwanda, Godown, Yard na Bandari Kavu n.k -Plot...
  19. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Wilaya ya Chalinze haina Mpinzani kwenye ajali za Barabarani. Ni eneo hatarishi sana kwa Maisha. Mamlaka zichukue hatua.

    Nadhani hii ndo wilaya pekee Tanzania inayokunywa damu.za kutosha. Ukiingia youtube au google uka search Chalinze Taarifa 3 za kwanza ni ajali ajali miaka nenda rudi ni eneo hatari sana na watu wanapaswa kuwa makini. Check hii ni ya leo leo Bwilingu nadhani na ufinyu wa barabara unachangia...
  20. mdukuzi

    JamiiForums Tanzania Jakaya Kikwete atakuwa hajapendezwa na ujenzi wa daraja la mto Pangani. Akiwa Rais alikataa lisijengwe kuhofia Chalinze kupooza

    Mwaka 1994 nilitumia wiki nzima kutoka Dar mpaka Chidya secondary, mwaka uliofuata nikahama shule, mto rufiji ilikuwa balaa, Mkapa aluvyoingia madarakani akajenga daraja. JPM kwa kinywa chake anadai chupuchupu afe kwenye ajali ya boti kivuko cha busisi, kilichomsaidia machale yalimcheza...
Back
Top Bottom