Singida, is a city in central Tanzania. The city is the location of the regional headquarters of Singida Region as well as the district headquarters of Singida Urban District. The region and district are named after the town.
Wataitisha press ya pamoja, baada ya hapo Azam Media limited italalamika na kusitisha matangazo ya ligi kuu Tanzania bara kwa kigezo cha kuhofia hasara baada ya baadhi ya timukujitoa.
Samia anaharibu nchi, kaharibu na mpira.
Leo Wekend nilipata wasaa wa kukutana na mtu wangu wa idara za juu, katika maongezi kanihabarusha jambo la ajabu sana kuhusu Lisu, kwamba swala la Lisu lina shinikizo kubwa sana la Kisiasa, kuna pande mbili ndani ya watu wa juu CCM, moja haitaki aachiliwe na nyingine ikisema aachiliwe tu.
Ila...
Wakuu kusafiri Stendi ya Misuna iliyopo Singida Mjini ni kipengele kikubwa, tiketi unakata saa kumi jioni ili uondoke saa 3 usiku matokeo yake mpaka saa saa saba za usiku hujui hatima ya safari yako.
Tiketi tunazokata ni za elektroniki lakini hakuna kufuata muda licha ya uwepo wa traffic na...
Anonymous
Thread
kuondoka
mabasi
mbovu
muda
singida
stendi
utaratibu
utaratibu mbovu
Watumishi wa ajira mpya katika Idara ya Elimu ya Sekondari, Wilaya ya Iramba, Mkoa wa Singida, bado hawajalipwa fedha zao za kujikimu hadi sasa.
Kinachotia wasiwasi zaidi ni kwamba wanapofuatilia na kuulizia malipo yao, hupokelewa kwa majibu makali badala ya kupewa ufafanuzi wa kina kuhusu lini...
Anonymous
Thread
ajira mpya
iramba
singida
watumishi
wilaya ya iramba
Kwaya ya Damu Takatifu ya Yesu, Parokia ya Yohana Mtume na Mwinjili, Tegeta Jimbo Katoliki Bagamoyo wamepata Ajali Mbaya katika Wilaya ya Manyoni Mkoani Singida walipokuwa wakielekea Jimbo Katoliki Singida kwa ajili ya Ziara ya Uinjilishaji.
Hakuna kifo chochote kilichoripotiwa kufuatia ajali...
Wakazi wa Kijiji cha Manga, Mkoa wa Singida, tunaomba msaada wenu kuhusu changamoto kubwa ya upatikanaji wa huduma ya maji, tumefikisha takribani miezi miwili bila kupata huduma ya maji. Hata kabla ya kipindi hiki, maji yalikuwa yakitoka kwa kusuasua, mara moja tu kwa wiki au wakati mwingine...
Wiki chache zilizopita kupitia Fichua Uovu hapa JF tuliwasilisha hoja kuwa sisi Watumishi wa Ajira Mpya Kada ya Afya katika Manispaa ya Singida Mjini Mkoani Singida tiilipewa nusu ya malipo ya Fedha za Kujikimu.
Tunashukuru Uongozi umesikia kilio chetu na tumepokea hela ya kujikimu, asanteni JF...
Anonymous
Thread
ajira mpya
fedha za kujikimu
manispaa ya singida mjini
singida
Wilaya ya Manyoni mkoani Singida inakabiliwa na tishio kubwa la kiusalama na kiuchumi kufuatia kushamiri kwa mtandao hatari wa wizi wa mafuta unaofanywa na baadhi ya madereva wa magari makubwa ya masanduku na yale ya kusafirisha mafuta kuelekea mikoa ya jirani na nchi za nje.
Uchunguzi na...
Anonymous
Thread
biashara
maeneo
mafuta
magari
magari makubwa
makubwa
manyoni
serikali
singida
wizi
wizi wa mafuta
Ninafanya kazi katika kampuni hii kwa zaidi ya miaka mitatu, lakini hadi sasa bado ninadai mishahara ya kipindi kilichopita ambayo sijalipwa. Mbali na kucheleweshwa kwa mishahara, hivi karibuni uongozi wa kampuni ulifanya kikao na kutangaza kuwa wafanyakazi waliokuwa wakilipwa mshahara wa...
Anonymous (b466)
Thread
ajira
ajira mpya
halmashauri
malalamiko
mkalama
mpya
mwanza
singida
wilaya
wilaya ya mkalama
Tunapenda kufichua kero kubwa inayowakabili wananchi wa maeneo ya Unyinga, Mamise na Unyakumi na maeneo mengine mjini Singida kutokana na ukosefu wa huduma ya maji takribani wiki tatu sasa
Kwa kipindi cha hivi karibuni, maeneo haya yamekuwa yakikumbwa na ukosefu wa maji kwa siku nyingi...
Anonymous
Thread
katika
kero
kichwa
kutoka
maeneo
maji
singida
suwasa
taarifa
ukosefu
ukosefu wa maji
Kuna watu wachache sana duniani ambao pesa sio kipaumbele chao cha kwanza maishani. Yaani wanaweza fanya kitu bila kuzingatia maslahi yoyote ya kifedha. Mwalimu Jambau wa shule ya msingi Lighwa huko Singida ni miongoni mwao. Hauwezi kuzungumzia mafanikio ya wanariadha wakubwa toka mkoani Singida...
Singida ina potential kubwa sana ambayo bado haijatumika kikamilifu. Imagine katikati kabisa ya mji kuna view ya mabwawa mawili, hali ya hewa ya kawaida, mazingira yenye utulivu na maji yanayoweza ku-refresh akili. Kwa mipango mizuri ya mji, Singida ingeweza kuwa moja ya miji yenye kuvutia zaidi...
Ajira mpya wa sekta ya afya—tulioripoti kazini Januari 2026 katika Manispaa ya Singida Mjini na Wilaya ya Mkalama.
Mimi ni Tabibu Msaidizi Daraja la Kwanza. Tulitarajia kulipwa fedha za kujikimu kiasi cha shilingi milioni moja na laki mbili (1,200,000), lakini tulicholipwa ni shilingi laki sita...
Timu ya soka ya Yanga imefanikiwa kufunga magoli 3-0 dhidi ya Singida Big Stars
Magoli ya Yanga yalifungwa na Allan Okello (Star Boy) magoli mawili na Mudathir goli moja
Kwa ushindi huo Yanga wamerudi kileleni mwa ligi wakiwa na points 57, huku wakiwa wamebakiza mechi 6
===========
Leo tena...
Watumishi wapya wa Singida DC tunaomba ufafanuzi kuhusu posho ya kujikimu tuliyolipwa. Kiasi tulichopokea ni kidogo tofauti na tulivyotarajia kwa mujibu wa utaratibu unaofahamika, na hakuna maelezo yoyote yaliyotolewa kuhusu hilo wala kama kuna malipo mengine yatakayofuatia na lini.
Kumekuwa na...
Anonymous
Thread
kidogo
kuhusu
kujikimu
posho
singida
tofauti
tunahitaji
ufafanuzi
watumishi
watumishi wapya
1. Mwenyekiti anaomba pesa washonaji ili awapangie Hela ya kushona magunia ya vitunguu. Kila jumamosi washonaji Kila Mmoja anatoa 5,000 (wapo zaidi ya 100) kwa mwenyekiti wa soko la vitunguu. Zaidi ya laki 5 anachukua mwenyekiti na kundi lake
2. Washushaji wa vitunguu kwenye magari nao...
Halmashauri ya Mkalama DC, Singida watumishi wa Ajira Mpya tangu Novemba 2024, Kada ya Afya, hawajathibitishwa kazini hadi sasa ni Mwaka na miezi 5, japo wapo baadhi wamethibitishi kwenye mfumo baada ya kuomba mkopo kupitia ESS utumishi.
Je, hii almashauri hadi mtu aombe mkopo ndipo...
Anonymous (01f4)
Thread
ajira
ajira mpya
halmashauri
kazini
mkalama
mkopo
mpya
mtu
singida
Mimi ni mwananchi wa Singida, kero yangu ni jengo la ghorofa sita kwaajili ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida, lilianza kujengwa tangu nipo Sekondari Miaka ya 2010's lakini mpaka leo ujenzi wake haujakamilika.
Kuna jengo la ghorofa 6 linaitwa Covid 19 sijui, yaani kuna majengo mengine ya...
Anonymous (0c95)
Thread
hospitali ya rufaa
jengo
kukamilika
miaka 10
singida
idea hii ya biashara niliipata mwaka jana, na ningeipata kabla ningekua nao wengi sana,
Je Punda ana kazi gani ?
- punda ana kazi nyingi ambapo maranyingi huwa kazi ngumu kama kulima kuchota maji na kubeba mizigo
Kwanini niliwaweka Singida ?
- singida kuna mazingira mazuri yanayoruhusu ukuaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.