Singida, is a city in central Tanzania. The city is the location of the regional headquarters of Singida Region as well as the district headquarters of Singida Urban District. The region and district are named after the town.
Halmashauri ya Mkalama DC, Singida watumishi wa Ajira Mpya tangu Novemba 2024, Kada ya Afya, hawajathibitishwa kazini hadi sasa ni Mwaka na miezi 5, japo wapo baadhi wamethibitishi kwenye mfumo baada ya kuomba mkopo kupitia ESS utumishi.
Je, hii almashauri hadi mtu aombe mkopo ndipo athibitishwe?
Anonymous (01f4)
Thread
ajira
ajira mpya
halmashauri
kazini
mkalama
mkopo
mpya
mtu
singida
Mimi ni mwananchi wa Singida, kero yangu ni jengo la ghorofa sita kwaajili ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida, lilianza kujengwa tangu nipo Sekondari Miaka ya 2010's lakini mpaka leo ujenzi wake haujakamilika.
Kuna jengo la ghorofa 6 linaitwa Covid 19 sijui, yaani kuna majengo mengine ya...
Anonymous (0c95)
Thread
hospitali ya rufaa
jengo
kukamilika
miaka 10
singida
idea hii ya biashara niliipata mwaka jana, na ningeipata kabla ningekua nao wengi sana,
Je Punda ana kazi gani ?
- punda ana kazi nyingi ambapo maranyingi huwa kazi ngumu kama kulima kuchota maji na kubeba mizigo
Kwanini niliwaweka Singida ?
- singida kuna mazingira mazuri yanayoruhusu ukuaji...
Huwa ninashangaa ninapoona baadhi ya MaRPC nchini wanavyoshirikiana na wanahabari linapotokea jambo linalohitaji taarifa ya Jeshi la Polisi.....hali hii tofauti sana hapa Singida.
RPC SACP Amon Kakwale hapendi na hataki kbs ushirikiano na waandishi. Mara kadhaa amekuwa akikwamisha shughuli za...
Walimu wa Shule za Sekondari katika Halmashauri ya Wilaya ya Singida (Singida DC) tuna malalamiko yetu kadhaa hasa yanayohusu kutolipwa malimbikizo ya fedha za kujikimu kwa muda mrefu.
Tatizo la Malipo
Wengi wetu tumefanya kazi kwa zaidi ya mwaka mmoja tangu tulipoanza kazi mwezi Januari 2025...
Anonymous
Thread
fedha
fedha za kujikimu
hazina
katika
kujikimu
matumizi
singida
waalimu
Naziomba mamlaka za Mkoa wa Singida zitusaidie watumiaji wa Barabara ya Singida - Arusha kuboresha kipande kilichopo Manispaa kuanzia NBC Banki hadi kwenye jiwe lililopo katikati ya barabara maeneo ya Kirima Night Club.
Maeneo hayo kuna mashimo ya kutisha sehemu za watembea kwa miguu ambayo...
Anonymous
Thread
arusha
barabara
haya
maelekezo
mkuu
singida
waziri
waziri mkuu
Mabingwa watetezi Young Africans (Yanga SC) watashuka dimbani Machi 5, 2026 katika mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Singida Black Stars bila wachezaji Watatu muhimu, jambo linalopelekea pigo kubwa kwa matumaini yao ya kutetea ubingwa.
Yanga watakuwa bila kiungo wao, Pacome Zouzoua...
01 February 2026
Stade Alphonse Massamba-Débat in Brazzaville
Kutoka Uwanja wa Alphonse Massamba-Débat jijini Brazzaville, katika pambano muhimu la Kundi C la Kombe la Shirikisho la CAF. Katika pambano la mwisho kati ya timu hizo mbili, lililochezwa Januari 25, 2026 nchini Tanzania, Singida...
25 January 2026
Amaan Stadium
Zanzibar Tanzania
MICHUANO KOMBE LA CAF SHIRIKISHO 2025 / 2026
Singida Black Stars SBS 1 - 0 Otôho d'Oyo ASO
Singida Black Stars SBS Timu ya Tanzania leo imepambana na klabu ya Otôho d'Oyo maarufu kama Association Sportive Otohô ASO ya kutoka Jamhuri ya Congo...
Kutoka kuwa kocha mkuu wa Singida Black Stars hadi kuteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Ufundi ambacho ndio cheo kipya cha Miguel Gamondi ambaye kwa sasa ni kocha wa muda wa Taifa Stars.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Bodi ya Wakurugenzi wa Singida BS, leo Jumatatu, Januari 5, 2025 imetangaza...
Licha ya kuwepo kwa taarifa na tetesi za uwezekano wa kutokea maandamano katika maeneo mbalimbali nchini, hali ya amani imetawala katika mji wa Singida, huku shughuli za ulinzi na usalama zikiimarishwa katika maeneo yote muhimu.
Hata hivyo, uchunguzi uliofanyika mapema leo katika mitaa ya mji...
Hii ni kwenye siasa wanasema tofauti ni kwamba Singida watoto wao walikuwa wanapelekwa shule za kaskazini kama Ilboru, Weruweru ndiyo imechangia Kitima,
Mkumbo, Lissu, Nyalandu, Mwugulu na wengineo wakati Dodoma zilipendwa wakina Malecella na spika Ndugai. Je kuna ukweli?
Habari Tanzania !
Jamani imekuwaje leo hii Singida wanashindwa kuwa suppliers wa Kuku wa Kienyeji na Kisasa nchi nzima?
Hivi nyie mnaotokea Singida mnajisikiaje yaani ?
Karibuni
Dar es Salaam, Tanzania
CAF Confederation Cup 2025-2026
Singida Big Stars 2 - 1 Rayon Sports
Goal scorer for Singida B. Stars
Anthony Tra Bi Tra 58'
Idriss Diomande 44'
Goal Scorer for Rayon Sports :
Tambwe
Mwenyekiti wa Mamalishe Tanzania, Havijawa Omary, amewaomba viongozi wa wajasiriamali wa Mkoa wa Singida kumsemea vizuri Rais Samia Suluhu Hassan, mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ili ashinde kwa kishindo katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.
Akizungumza jana...
Kiungo wa kimataifa kutoka Uganda, Khalid Aucho, amethibitisha rasmi kuwa ataichezea klabu ya Singida Black Stars, licha ya awali kutangaza hatacheza tena kwa timu yoyote ndani ya Tanzania.
Akizungumza kupitia ukurasa wake wa Instagram, Aucho amesema amebadilisha msimamo wake baada ya kuona...
Kuna jamaa yangu kapata kazi kwenye private coy flani,kaambiwa achague kati ya Singida au Mpanda wapi anataka awe reallocated. Binafsi nimeishi singida ila mpanda sipajui coz sijawahi kufika.
Ungekua wewe ungemshauri huyu jamaa aende wapi kati ya Singida na Mpanda?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.