#KIBAHA: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, akimuhoji Dereva wa Basi la Sauli Luxury Namba T418 DWF litokalo Mbeya kuelekea jijini Dar es Salaam, kwa kuvunja sheria za usalama barabarani, leo Jumatano Agosti 4, 2021, Saa 2:17 Usiku, Mjini Kibaha, Mkoani Pwani.
Cc Bujibuji
Arusha. Shahidi wa tatu wa Jamhuri, Ramadhan Ayubu Rashid (26) ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha, jinsi mwenye duka alivyolazimishwa aseme hatoi risiti na watu waliokuwa eneo hilo, huku akimtambua aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.
Shahidi huyo ambaye ni...
Mimi sio muhubiri au anayeshadadia habari za Haki za wanawake (Ufeminist)
Ila katika pita pita zangu nimeshasoma visa vingi sana ambayo walifanyiwa wanawake kwa lengo la kumfurahisha mwanaume ila matokeo yake ikawa ni mateso tu na kutweza utu wao.
Ni visa vya ajabu na vya kupingwa kabisa...
Aisee kumbe inawezekana kabisa kuzishitaki hizi kampuni za mitandao ya simu? Manaake naona wamekua na tabia ya kujifanyia mambo kiholela sana. AY na Mwana Fa walionesha njia naona na huyu mwamba kaamu kujilipua pia.
Jamaa Alikatwa TZS 4,650/- na Tigo kimakosa, Akawashitaki TCRA kuomba Fidia...
Leo 16/06/2021 12:45
Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu, mmiliki wa kampuni ya kufua umeme ya IPTL, Harbinder Seth kulipa fidia ya Sh26.9 bilioni baada ya kupatikana na hatia ya kujipatia Sh309 bilioni kwa njia ya udanganyifu.
Pia, mahakama hiyo imemhukumu kifungo cha...
Najua kuna Uzi malum wa picha za zamani ambao hata mimi ni mchangiaji mkubwa. Ila Uzi huu nauanzisha rasmi kwaajili ya watu wanaopenda kutunza historia kwa kipindi hicho na sasa ulivyo
Naanza na hizi hapa
Baba na mwanae enzi za utoto
Baba na mwanae siku ya Prom date
Baba na mwanae siku...
Moshi. Meya wa manispaa ya Moshi, Juma Raibu ameagiza Sh3.2 milioni zilizotengwa na halmashauri ya manispaa hiyo kwa ajili ya kununua bastola ya mkurugenzi kurejeshwa.
Raibu ametoa tamko hilo leo Ijumaa Mei 28, 2021 katika kikao cha baraza la madiwani kilichofanyika katika ofisi za mkuu wa Mkoa...
Picha kama hii inaonesha ni namna gani vitu vitatu vinaweza kukutana kwa pamoja na kutoa ujumbe tofauti kabisa na ambao mpiga picha alikusudia(Perfect timing photography)
Object +Time+ Photographer
Mkuu Emmanuel Kasomi asante kwa kunikumbusha kuhusu hizi picha za namna hii. Wacha niweke hapa...
Huu ni Uzi maalum naanzisha ntakua najaribu kushea "vitu vikubwa" ambavyo vimeshawahi kurekodiwa katika sehemu mbali mbali duniani.
Namaanisha vitu ambavyo vimekua vikubwa kuliko kawaida tulivyozoea
Niwe muwazi hii Idea imechochewa (inspired) na kipindi Fulani cha kiteknolojia kutoka channel...
Inatia moyo kwakweli nadhani tunafungua kurasa mpya sasa. Kama watasikiliza na watakua tayari kutekeleza maoni. At least tutawashuhudia Herufi Tatu(TRA) wakija kwa majadiliano bila kuwa na FFU na makofuli ya kufunga fremu kwa kipindi kirefu sana
Ila kama ni mkutano tu kama mingine iliyopita...
Wakenya bwana😂😂. Polisi wamekamata mama na mwanae wa kike wakiwa na Sniper Riffle, Uzi sub machine gun, bastola na risasi kadhaa wakiwa katika uwanja wa mbio za Farasi huko Dagoreti, Nairobi
Maza sijui ni kucheza game za GTA kwa sana alitaka a practise in real life au vipi😂😂😂😂😂
Inafurahisha kwakweli hii ndio Tanzania tunayoitaka. Gari sio anasa,gari ni chombo muhimu kurahisisha shughuli za kiuchumi. Naomba na marekebisho mengine kwenye kodi yawe hivi hivi.
Hii ni Ford Ranger kabla ya mwezi March.
Mabadiliko kidogo yalifanyika lakini yana unafuu mkubwa. Hii hapa...
A short story
1:
2:
3:
4:
5:
6:
7:Just open the latch and drop your newborn
8:
9:Anawalea watoto kama wajwake vile
10:
11:Na anao watoto wa kila rangi😂😂
12:
13:
14:
15:
16: The story of a big man with a big heart
Dar es Salaam. Mkazi wa Tabata Liwiti, Magreth Silaeli (37) ameieleza Mahakama ya Mwanzo Buguruni kuwa walikubaliana na mume wake, Raymond Kulaya (44), waachane kwa muda ili kila mtu akatafute watoto “anapopajua” baada ya kuishi miaka mitano bila kupata mtoto.
Magreth sasa anaiomba mahakama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.