GeoMex
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 5,431
- 19,775
Inafurahisha kwakweli hii ndio Tanzania tunayoitaka. Gari sio anasa,gari ni chombo muhimu kurahisisha shughuli za kiuchumi. Naomba na marekebisho mengine kwenye kodi yawe hivi hivi.
Hii ni Ford Ranger kabla ya mwezi March.
Mabadiliko kidogo yalifanyika lakini yana unafuu mkubwa. Hii hapa chini ni leo
Tofauti karibu Mil15 yote dah. Mama SSH asante sana. Sasa na mimi ntamiliki gari
Hii ni Ford Ranger kabla ya mwezi March.
Mabadiliko kidogo yalifanyika lakini yana unafuu mkubwa. Hii hapa chini ni leo
Tofauti karibu Mil15 yote dah. Mama SSH asante sana. Sasa na mimi ntamiliki gari