dereva

  1. Hornbil

    JamiiForums Tanzania Natakiwa kufika Dar kesho jioni, nipo Simiyu Bariadi mda huu.Kama Kuna dereva yeyote anapita njia hii naombeni msaada wakuu nina 40k tu mfukoni

    Wakuu natakiwa siku ya kesho niwe Dar ila nauli ya kufika Dar Sina nina 40k tu, naombeni kama Kuna dereva anapita hii njia ya Bariadi - dar anipe rift nifike dar wakuu. Naombeni sana madereva 🙏
  2. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Leo nilipata off kazini na nikawa napiga stori na dereva boda. Akanisimulia jinsi UKIMWI unatembea kimya kimya ila kwa kasi kwenye mji wetu. Inatisha!

    Watu wanaumia aisee jamaa katoka machimboni, karudi anapewa story kuwa mke wake alikuwa anaruka ruka nje, break ya kwanza ni kwenda kupima kwa lazima, imebidi jamaa amkimbie waifu kimya maana wife ana umeme na amemuachia chumba na vyombo vyote. Mzee hapa mtaani ana wake watatu, alivyojigundua...
  3. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Ni neno gani la mwisho alilosema dereva huyu?

    Kama alipata nafasi lakini ya kunyanyua kinywa🥱
  4. Streptokinase

    JamiiForums Tanzania Fursa: Dereva bolt/uber wa gari anahitajika

    Anahitajika dereva mwenye leseni ya gari na mwenye account ya bolt aliye na uzoefu wa kuendesha bolt Dar es salaam. Gari iliyopo inatumia mfumo wa gas, malipo ni kwa hesabu ya siku sio ya mkataba. Aliye tayari anicheki Dm. ===== Update: Dereva amepatikana
  5. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Umewahi kupanda Daladala ambayo konda na Dereva hawaelewani?

    Ni mara kadhaa nimewahi panda gari konda na dereva wakawa wamepishana kauli hawaelewani wanagombana, ila hii ya leo walizidi. Leo nimepanda daladala kutoka Tegeta kwenda Mwenge, konda na Dereva wakawa wanagombana, ugomvi wao ulianza kabla sijaingia hivyo sijui chanzo hasa cha kupisha kwao...
  6. figganigga

    JamiiForums Tanzania Dereva wa Tanzania kaa chonjo.. Kuanzia Aprili kiama kinakuja kama hujajisajili LATRA

    Salaam Wakuu, Naona LATRA imeamua kula sahani moja na Madereva, Safari hii itakuwa kumbakumba nguo kuchanika. Ipo hivi; Kuanzia mwezi wa nne 2026, kama wewe ni Dereva na haujajisajili LATRA, Au unenunua vyeti feki, Madereva mnaonunua barua za uhakiki na hamna vyeti, madereva wanaonunua...
  7. mrangi

    JamiiForums Tanzania Huyu derevea yupo sawa kweli? Kwanini amehatarisha maisha yake na wenzake hivi?

    Nimetumiwa hii clip ikazidi Kunishangaza,maana kuna madereva bado hawajifunzi sijui ni ukichaa Ujuaji mwingi ! Mtu unaona kabisa kuna mafuriko kuna hali ya hatari wewe unapitisha chuma hapo! Kwa wenzetu uzoefu wangu nnayoonaga mfano snow(barafu)likiwa kali mpk barabara inakuwa kama kioo...
  8. N

    JamiiForums Tanzania Dereva bajaji ya mkataba anahitajika

    Dereva bajaji kwa mkataba anahitajika 1.Awe anaishi na kufanyia route Kigamboni 2.Awe na mdhamini mwenye makazi ya kudumu 3.Awe na leseni 4.Awe anafanya bolt 5.Awe mchapakazi na mwaminifu Mawasiliano:0757208745/0617984818
  9. dhk1

    JamiiForums Tanzania Dereva wa Ssebo anaweza kufunguliwa kesi yabl uzembe na kusababisha kifo cha bosi wake?

    Hello GT.. Nina swali hivi dereva wa Ssebo anaweza kufungulia mashtaka ? Badala ya kumpeleka jamaa hospitali yeye alifanya maombi. Yaani dizaini kama aliharikisha kifo cha jamaa.
  10. M

    JamiiForums Tanzania uliwahi kukwaruzwa au kuharibiwa gari na dereva wa bajaji au bodaboda anaeendesha kwa pupa, fujo, uzembe, kutotii sheria, n.k. ?

    Madereva wa bajaji na bodaboda ni moja ya kundi lenye madereva ambao wamekuwa wakilalamikiwa sana kwa kukosa utulivu barabarani. Wengine huendesha kwa pupa kukimbizana na pesa, wengine kwa fujo kuonekana maridadi mbele ya wenzao, wengine hawazijui kabisa sheria za barabarani wanaingia kwa...
  11. idiomer

    JamiiForums Tanzania Dereva akienda safari 150k kwa siku mwalimu 50k ...Dar life is not fair.....tutegemee elimu ipande kweli ???

    Tuheshimu walimu kwa kweli. Haya ni masihara
  12. Seran

    JamiiForums Tanzania Natafuta dereva wa private Dar-mbeya

    Naombeni connection ya dereva wa kumuendesha mtu from dar to mbeya ndani ya hii week! Kama Upo humu, Njoo na gharama zako ila usitupige!
  13. B

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Dereva wa Mbunge usipitie kwa Wabunge, baadhi wanawanyonya, hawawalipi inavyotakiwa

    Kuna tetesi kuwa baadhi ya Wabunge wetu huwa wana kawaida ya kuwanyonya madereva wao kwenye suala la mishahara kwa kuwa inapitia kwao Wabunge. Nashauri kama inawezekana mshahara wa dereva upite moja kwa moja kutoka Bungeni uingie kwenye account ya dereva. Ipo hivi mshahara na posho ya dereva...
  14. R

    JamiiForums Tanzania Rufaa ya aliyekuwa dereva wa wanamgambo wa Kihutu Mauaji ya kimbari Rwanda kuendeshwa Paris

    Kesi ya rufaa ya raia wa ufaransa mwenye asili ya Rwanda anayekabiliwa na tuhuma za mauaji ya kimbari imefunguliwa Jumanne katika Mahakama ya Assize ya Paris. Claude Muhayimana alipatikana na hatia mwaka 2021 kwa kosa la kushiriki katika mauaji ya kimbari na uhalifu dhidi ya binadamu, na...
  15. Bawabu wa pili

    JamiiForums Tanzania Ubishi Wageuka Ushindi: Brown Anthony Avuka Mbeya–Dar kwa Pikipiki Ndani ya Saa 10

    Kijana dereva wa bodaboda anayefahamika kwa jina la Brown Anthony ameibua gumzo kubwa miongoni mwa wananchi baada ya kufanikiwa kusafiri kutoka jijini Mbeya hadi Dar es Salaam kwa kutumia pikipiki aina ya Boxer 150 HD yenye namba ya usajili MC 473 FKT, ndani ya saa 10, safari iliyoanzia kwenye...
  16. figganigga

    JamiiForums Tanzania Hassan Yusuf, Dereva wa Usangu ametekwa nchini Kongo

    Dereva wa Kampuni ya Usangu ametekwa huko Kongo. Kwanini Serikali ya Tanzania inakalia kimya hivi vitendo? Kazi kutangaza Bandari ya Dar, lakini Watanzania wakitoa mzigo Dar kupeleka Congo, hawarudi na hakina anaye jali. Je, Makubaliano ya Tanzania na Kongo yapoje kibiashara?
  17. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Dereva wa kukodishwa nipo Arusha

    🚘 DEREVA WA KUAMINIKA ANAYEPATIKANA ARUSHA 🚗 Naitwa James, mwenye umri wa miaka 34. Nina leseni daraja A, B, D na E, na uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika kazi ya udereva wa magari binafsi na ya kibiashara. ✅ Uzoefu wa safari ndefu na mijini ✅ Naweza kwenda mikoa mbali mbali pia ✅ Ujuzi wa...
  18. H

    JamiiForums Tanzania Askari wa barabarani kumpiga dereva faini je amekuwa mahakama?

    Hili swala la askari wa barabarani kumpiga faini dereva haliko sawa kwani anakuwa amemhukumu dereva wakati yawezekana mahakamani angeshinda kesi. Ni vyema sasa mtu afikishwe mahakamani aitwe ajitete kwanza ndipo mahakama itoe adhabu kinyume na hapo ni wizi serikali inafanya kwani makosa mengi...
  19. Inside10

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mkuu wa Shirika la Watawa wa Wakarmeli Duniani, Lilian Kapongo na wenzake watatu wafariki kwa ajali Mwanza

    Wakuu mama mkuu/superior wa Shirika La Wakarmeli Duniani Sista Lilian Kapongo na Wenzake wanne Wafariki Dunia Leo Sasa Tano asubuhi wakielekea airport Kwa safari ya Dar es salaam. ----- TANZIA: Waheshimiwa Mapadre, Shemasi na Watawa wote Jimboni, Kristo,....... Kwa masikitiko makubwa, muda...
  20. James 25th

    JamiiForums Tanzania Dereva binafsi (private driver)

    Habarini Wana jamii forum. Kwa majina naitwa JOSHUA E JAMES, Mimi ni Dereva kwa mda mrefu Sasa nikibezi kwenye upande wa gari ndogo za watu. Nimekua nikifanya KAZI kwenye office mbalimbali kama Dereva wa office kwa Ajira ya kuendesha ma Boss, pia nimekua nikiwaendesha watu Binafsi/ Dereva wa...
Back
Top Bottom