Wachimbaji wadogo wa mgodi wa Kanegere wilaya ya Mbogwe wapewa siku sita waondoke

Magesajr

Member
Nov 13, 2018
32
79
Habari wana jambi!

Wachimbaji wadogo waliopo kwenye mgodi wa Kanegere wilaya ya Mbogwe mkoa wa Geita wamepewa siku sita wawe wameondoka katika mgodi huo.

Serikali inasema wawekezaji Wachimbaji hao wadugu wamekuwa wakichimba ki wizi ilihali serikali ilikua ikichukua kodi na mirahaba mingine lukuki.

Wachimbaji hao wamefukuzwa bila kupewa fidia yeyote kutokana na gharama walizo tumia kwa kigezo kua kuna Muwekezaji.
 
Habari wana jambi!

Wachimbaji wadogo waliopo kwenye mgodi wa Kanegere wilaya ya Mbogwe mkoa wa Geita wamepewa siku sita wawe wameondoka katika mgodi huo.

Serikali inasema wawekezaji Wachimbaji hao wadugu wamekuwa wakichimba ki wizi ilihali serikali ilikua ikichukua kodi na mirahaba mingine lukuki.

Wachimbaji hao wamefukuzwa bila kupewa fidia yeyote kutokana na gharama walizo tumia kwa kigezo kua kuna Muwekezaji.
Hao Ni wachina tu Sisi watu weusi hatusaminiani
 
Na mkiporomokewa na hayo mashimo ya kienyeji mtaanza kuilamu serikali kwamba haikuwaambia!
 
Watanzania kazi yao ni kugundua madini yalipo watapewa vibali vyote kwa kuendelea kuchimba huku Wenye Nchi wakitafuta wawekezaji wenza kimya kimya baadae Watanzania wanafukuzwa wanapewa wenye Nchi asili yao China maisha yanaendelea...Watanzania kwenye fursa ni kama wapangaji tu kwenye Nchi yao..
 
Watanzania kazi yao ni kugundua madini yalipo watapewa vibali vyote kwa kuendelea kuchimba huku Wenye Nchi wakitafuta wawekezaji wenza kimya kimya baadae Watanzania wanafukuzwa wanapewa wenye Nchi asili yao China maisha yanaendelea...Watanzania kwenye fursa ni kama wapangaji tu kwenye Nchi yao..
wachimbaji wadogowadogo baadhi yao ni wavamizi wa maeneo ya watu, wanataka kuvamia kwanza kisha wamilikishwe eneo kwa kigezo cha wingi wao, hawataki kufuata utaratibu wa kumiliki kwanza eneo kabla ya kuanza kuchimba.
 
wachimbaji wadogowadogo baadhi yao ni wavamizi wa maeneo ya watu, wanataka kuvamia kwanza kisha wamilikishwe eneo kwa kigezo cha wingi wao, hawataki kufuata utaratibu wa kumiliki kwanza eneo kabla ya kuanza kuchimba.
Hakuna sehemu utachimba bila vibali vya Serikali Mkuu..wachimbaji wadogo wanakua kama Mawakala wa kuwatafuta Wachina..
 
Hakuna sehemu utachimba bila vibali vya Serikali Mkuu..wachimbaji wadogo wanakua kama Mawakala wa kuwatafuta Wachina..
Hapa unataka kubishana na mtu ambaye nipo kwenye hyo industry kwa muda mrefu sana, mkuu wachimbaji wadogo wakishagundua sehemu kuna madini huwa hawaangaiki kujua kama eneo kuna mmiliki au la, wanachojua ni kuchimba tu, na ujue kabisa ugunduzi huwa unafanywa hata na mtu 1 au 2, ndo wengine wanakuja wakishasikia kuna sehemu kuna mlio.
 
Ok
Hapa unataka kubishana na mtu ambaye nipo kwenye hyo industry kwa muda mrefu sana, mkuu wachimbaji wadogo wakishagundua sehemu kuna madini huwa hawaangaiki kujua kama eneo kuna mmiliki au la, wanachojua ni kuchimba tu, na ujue kabisa ugunduzi huwa unafanywa hata na mtu 1 au 2, ndo wengine wanakuja wakishasikia kuna sehemu kuna mlio.
Okey Wachimbaji wadogo hao walipewa Leseni na serikali, pia serikali ilikua inachukua mirahaba cha ajabu zaidi serikali inadai ilidanganywa na Wachimbaji wadogo hadi wakawapa Leseni
 
Hapa unataka kubishana na mtu ambaye nipo kwenye hyo industry kwa muda mrefu sana, mkuu wachimbaji wadogo wakishagundua sehemu kuna madini huwa hawaangaiki kujua kama eneo kuna mmiliki au la, wanachojua ni kuchimba tu, na ujue kabisa ugunduzi huwa unafanywa hata na mtu 1 au 2, ndo wengine wanakuja wakishasikia kuna sehemu kuna mlio.
Mkuu hii taarifa niliwahi soma kwenye gazeti hawa wachimbaji wadogo walikua wanalipia na Leseni walikua nazo nazungumzia hii taarifa tuliyopata...
 
Ok

Okey Wachimbaji wadogo hao walipewa Leseni na serikali, pia serikali ilikua inachukua mirahaba cha ajabu zaidi serikali inadai ilidanganywa na Wachimbaji wadogo hadi wakawapa Leseni
Hamna kitu kama hicho, leseni haitolewi kienyeji hvo, kuna database ya leseni zote tanzania, hakuna rmo anaweza toa leseni bila kujiridhisha pasi shaka kuwa eneo husika lipo wazi, na siku hz kuna mpaka kikao cha kuidhinisha utoaji wa leseni kinakaa mara mbili dodoma na kunahusisha mpaka mtendaji mkuu wa tume ya madini, washauri hao wachimbaji waende tume ya madini kama kuna janjajanja rmo anataka kufanya watajua tu, ila kusema wana leseni halali halafu wanafukuzwa huo ni uongo kabisa.
 
Mkuu hii taarifa niliwahi soma kwenye gazeti hawa wachimbaji wadogo walikua wanalipia na Leseni walikua nazo nazungumzia hii taarifa tuliyopata...
mkuu hakuna watu janjajanja kama wachimbaji wadogo, wakishavamia eneo wanataka liwe lao, kuna kitu watu wanachanganyaga, kulipa mrabaha hakualalishi wewe kumiliki eneo, unaweza ukawa unachhmba eneo kisilo lako ila kulipa mrabaha ni lazima.
 
Habari wana jambi!

Wachimbaji wadogo waliopo kwenye mgodi wa Kanegere wilaya ya Mbogwe mkoa wa Geita wamepewa siku sita wawe wameondoka katika mgodi huo.

Serikali inasema wawekezaji Wachimbaji hao wadugu wamekuwa wakichimba ki wizi ilihali serikali ilikua ikichukua kodi na mirahaba mingine lukuki.

Wachimbaji hao wamefukuzwa bila kupewa fidia yeyote kutokana na gharama walizo tumia kwa kigezo kua kuna Muwekezaji.
Useng£ mtupu , yaani nchi hii mwananchi anaonekana kama ngedere
 
mkuu hakuna watu janjajanja kama wachimbaji wadogo, wakishavamia eneo wanataka liwe lao, kuna kitu watu wanachanganyaga, kulipa mrabaha hakualalishi wewe kumiliki eneo, unaweza ukawa unachhmba eneo kisilo lako ila kulipa mrabaha ni lazima.
Sasa unaona ni sawa watu uwape Leseni ya uchimbaji harafu baadae uje uwatimue tuu ujanja ujanja upo kwa watu wengi wanaotafuta fedha Mkuu..hoja yangu ni kuwa Tanzania haijali Wananchi wake kwenye utafutaji wanawekewa mazingira magumu tu kila kukicha..
 
Habari wana jambi!

Wachimbaji wadogo waliopo kwenye mgodi wa Kanegere wilaya ya Mbogwe mkoa wa Geita wamepewa siku sita wawe wameondoka katika mgodi huo.

Serikali inasema wawekezaji Wachimbaji hao wadugu wamekuwa wakichimba ki wizi ilihali serikali ilikua ikichukua kodi na mirahaba mingine lukuki.

Wachimbaji hao wamefukuzwa bila kupewa fidia yeyote kutokana na gharama walizo tumia kwa kigezo kua kuna Muwekezaji.
SIO HUKO MBOGWE KARIBU TANZANIA NZIMA,WANATIMULIWA KISA WAMEPATA WAWEKEZAJI,MAGUFULI ALIKUWA NA MABAYA YAKE LAKINI KATIKA HILI HAKUFUMBA MACHO ALITAKA WATANZANIA NDIO WACHIMBE NA SIO WAWEKEZAJI,HAKUNA NAMNA KWA SABABU UKIWA JEURI WATAKUUMIZA AU KUKUFUNGA AU KUKUUA HIVYO NI KUWAPISHA TU,
 
Sasa unaona ni sawa watu uwape Leseni ya uchimbaji harafu baadae uje uwatimue tuu ujanja ujanja upo kwa watu wengi wanaotafuta fedha Mkuu..hoja yangu ni kuwa Tanzania haijali Wananchi wake kwenye utafutaji wanawekewa mazingira magumu tu kila kukicha..
hakuna mtu anaweza kukutimua kwenye leseni unayomiliki kihalali ya unalipa tozo zote, hamna sheria inayosema hvo, hao walikuwa hawana leseni period, na inawezekana wewe ni 1 wao, nipe namba ya leseni dk 5 tu nakuambia inamilikiwa na nani, au chukueni hyo leseni nendeni tume ya madini dodoma mkalalamike kuwa rmo anataka kuwanyang`anya leseni yenu halali ampe mchina muone kitakachomkuta huyo rmo, kama mnaogopa kwend tume, nyie ni wavamizi ondokeni.
 
Watanzania kazi yao ni kugundua madini yalipo watapewa vibali vyote kwa kuendelea kuchimba huku Wenye Nchi wakitafuta wawekezaji wenza kimya kimya baadae Watanzania wanafukuzwa wanapewa wenye Nchi asili yao China maisha yanaendelea...Watanzania kwenye fursa ni kama wapangaji tu kwenye Nchi yao..
Na tanzania sehemu za madini zinagunduliwa na watu wa kawaida tu
Badaaye huko mabonyenye wanakuja
Kula kiulaini

Ova
 
hakuna mtu anaweza kukutimua kwenye leseni unayomiliki kihalali ya unalipa tozo zote, hamna sheria inayosema hvo, hao walikuwa hawana leseni period, na inawezekana wewe ni 1 wao, nipe namba ya leseni dk 5 tu nakuambia inamilikiwa na nani, au chukueni hyo leseni nendeni tume ya madini dodoma mkalalamike kuwa rmo anataka kuwanyang`anya leseni yenu halali ampe mchina muone kitakachomkuta huyo rmo, kama mnaogopa kwend tume, nyie ni wavamizi ondokeni.
Mkuu tunapozungumzia matatizo ya Watanzania ni kwamba tunayajua kwa kuwa jamii yetu wapo humo ni Watanzania wachache watakwambia hawayajui matatizo ya wakulima hata kama wao sio wakulima hapo nadhani utakua umenielewa..
 
Back
Top Bottom