nachingwea

Nachingwea is a district in the Lindi Region of Tanzania. The district is bordered to the north by the Ruangwa District, to the east by the Lindi Rural District, to the south-east by the Mtwara Region, and to the south-west by the Ruvuma Region.
According to the 2002 national census, the Nachingwea District had a population of 162,081.The district has a hospital, a teacher's training college, a secondary school, four primary schools, a nursery school, and a day care centre. Nachingwea Airport and an army barracks also are in the district. The district was one of the centres for the groundnut scheme in the 1950s.The Nachingwea Medal is named after this place.

View More On Wikipedia.org
  1. figganigga

    Pre GE2025 Tundu Lissu apokelewa kwa furaha na Vifijo Nachingwea. Je, ni ngome ya CHADEMA?

    Tundu Lissu apokelewa kwa furaha Nachingwea. Je, ni ngome ya CHADEMA? Hakika CHADEMA ndo chama kikuu cha Upinzani. CHADEMA wanaendelea kutoa elimu ya No reforms no Election kanda ya kusini.
  2. Nipe Maji

    Pre GE2025 Mwenyekiti Halmashauri ya Nachingwea ataja Miundombinu duni kuwa chanzo cha ucheleweshaji wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo

    Tarehe 20 Machi, Adnan Mpyagila, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Nachingwea, amefanya ziara ya kutembelea miradi ya ujenzi wa shule za sekondari. Ameangalia ujenzi wa Shule ya Sekondari Kata Mtua ,Kata Chiumbati, Rugwa Boys (mabweni), Shule ya Kata ya Nachingwea, na Shule ya Naipanga Sekondari...
  3. The Watchman

    Serikali yatoa siku tatu wawekezaji wote wa kigeni kuondoka maeneo ya mgodi wa madini Nditi, Nachingwea

    Serikali imewapa siku tatu wawekezaji wote wa kigeni kuondoka katika maeneo ya mgodi wa madini Nditi uliopo wilayani Nachingwea mkoani Lindi na kuwaacha wachimbiji wadogo katika eneo hilo kwani ni eneo la rashi. akizungumza mkuu wa wilaya ya Nachingwea Mohamed Moyo akiwa ameambatana na kamati...
  4. Waufukweni

    Pre GE2025 Nachingwea Girls wamshukuru Waziri Mkuu kwa fedha ya futari

    Uongozi wa Shule na Wanafunzi wa Sekondari ya Wasichana ya Nachingwea iliyopo Wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi, wamemshukuru Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa kwa kuwapa kiasi cha Shilingi Milioni 4 kwa ajili ya futari Soma: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa Milioni 4 kwa wanafunzi wa...
  5. Mindyou

    Pre GE2025 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa Milioni 4 kwa wanafunzi wa Nachingwea Girls

    Waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mh.Kassim Majali ametoa shilingi 4,000,000 kwa wanafunzi wa shule ya Msingi Nachingwea Girls iliyopo wilayani Nachingwea. Majaliwa ametoa fedha hizo machi 6 alipotembelea shuleni hapo na kuongea na wanafunzi wa shule hiyo. Aidha amesema kuwa shule...
  6. The Watchman

    Pre GE2025 Lindi: Mbunge wa Viti Maalum achangia bati 90 ujenzi wa nyumba ya mtumishi wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Wilaya ya Nachingwea

    Tarehe 3 Machi 2025 Maimuna Pathan, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Lindi, amekabidhi bati 90 kuunga mkono juhudi za ujenzi wa nyumba ya mtumishi wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Wilaya ya Nachingwea. Bati hizi ni sehemu ya michango ya Pathan katika kuendeleza maendeleo ya Wilaya ya...
  7. Roving Journalist

    MANAWASA yakiri Mji wa Nachingwea una changamoto ya upatikanaji huduma ya maji

    Februari 25, 2025 Mwanachama wa JamiiForums.com alidai Mji wa Nachingwea una changamoto ya huduma ya maji kwa zaidi ya miezi minne, hali ambayo imekuwa kero kwa Wananchi wengi, Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Masasi – Nachingwea (MANAWASA) imetoa ufafanuzi: Kusoma alichoandika...
  8. A

    KERO  Kuna shida ya Maji Wilaya ya Nachingwea mwezi wa nne sasa

    Kumekuwa na shida ya maji Wilaya ya Nachingwea kwa miezi minne sasa maji yanatoka kwa kusuasua wakati huohuo Mamlaka ya Maji (MANAWASA) haijatoa sababu za msingi za uwepo wa hali hiyo au wala hawajaeleza kuhusu uwepo wa mgao. Hii shida huwa inajirudia kila Mwaka, mwaka huu kuna uhaba wa mvua...
  9. Kilangi masanja

    KERO Huduma ya maji wilayani Nachingwea ni changamoto; yakitoka ni machafu na kwa muda mfupi hukatika

    Habari wanajukwaa wenzangu na Mamlaka zote zinazohusika. Kumekuwa na sintofahamu sasa ya muda mrefu kuhusu nini hatima ya Wakazi wa Nachingwea katika upatikanaji wa Maji na Salama. Tunaomba mamlaka zinazohusika ziingilie kati kwani mitaa mingi ya wilaya ya Nachingwea haina maji (kumaanisha...
  10. The Watchman

    Pre GE2025 DC Nachingwea awaonya wahandisi miradi kujengwa chini ya kiwango

    Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Mohamed Hassan Moyo amewataka Wahandisi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea kusimama miradi yote kwa ubora unaotakiwa kulingana na thamani ya fedha zinazotolewa na Serikali. Akizungumza katika ziara ya ukaguzi wa miradi mbalimbali alisema kuwa haridhishwi viwango...
  11. Mzee Kimamingo

    KERO TANSECO Wilaya ya Nachingwea mnaikosea sana

    Tanesco Tanesco Tanesco Nimewaita mara tatu kuomyesha Msisitizo. Hii wilaya ya Nachigwea mkoa wa Lindi kwanini mnakata umeme mara nyingi kiasi hiki na Bila Taarifa kamili. Mfano leo mshakata zaidi ya mara 10 na watu wanatumia vifaa je vikiungua mtaweza kulipa. Kama mnakata ni bora mkate...
  12. Waufukweni

    DC Nachingwea agawa Sukari, Maziwa na Unga kwa ajili ya Siku ya Afya na Lishe

    Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Mohamed Hassan Moyo amegawa mahitaji ya mapishi kwa vitendo kwa ajili siku ya Afya na Lishe ya kijiji, hayo ameyafanya Novemba 22, 2024 alipokua katika kikao cha tathimini ya mkataba wa Lishe robo ya kwanza kwa mwaka wa fedha 2024/2025. Mahitaji hayo ni sukari...
  13. K

    KERO Idara ya Utumishi - Halmashauri ya Nachingwea inatuzungusha kutupa Barua za Ajira sisi Watumishi wapya

    Naomba kuwasilisha kero sugu iliyopo katika Halmashauri ya Nachingwea upande wa Idara ya Utumishi, kumekuwa na mikingamo mingi na mazingira tata katika utoaji wa barua za uthibitisho na barua za ajira kwa sisi Watumishi wa Serikalini. Hizi barua hazitolewi kwa wakati na mpaka sasa, kawaida...
  14. Mkalukungone mwamba

    LGE2024 Wilaya ya Nachingwea jumla ya vituo 525 vitatumika kupiga kura katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu

    Msimamizi wa Uchanguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji wilaya ya Nachingwea mhandisi Chionda Kawawa ametangaza rasmi jumla ya vituo 525 vitatumika kupiga kura katika uchaguzi wa mwaka huu tarehe 27/11/2024. Akizungumza na KITENGE TV Mhandisi Kawawa amesema kuwa wamejipanga kuhakikisha...
  15. Cute Wife

    LGE2024 Nachingwea: Diwani Veronika Makotha awahimiza wanawake na vijana kujitokeza kujiandikisha na kugombea nafasi za uongozi Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

    Wakuu, Vijana na wanawake msituangushe uchaguzi huu, ruacge kulalamika, tuingie kwenye uongozi na kuleta mabadadiliko tunayoyataka. Hata kama wazee mifuko imetuna, kama tukisimama imara na kuchagua viongozi waliobora rushwa haitapata nafasi ya kuamua kiongozi bora, malalamiko tuyaache kwenye...
  16. Roving Journalist

    Lindi: Bwana Afya aongoza usafi katika Hospitali ya Wilaya ya Nachingwea kumaliza kero ya mbu wengi

    Baada ya member wa JamiiForums.com kuleza kuwa anakerwa na usumbufu wa uwepo wa mbu wengi katika Hospitali ya Wilaya ya Nachingwea Mkoani Lindi, hatua zimeanza kuchukuliwa kwa kufanya usafi. Afisa Afya Wilaya ya Nachingwea, Joseph Masia amekiri Hospitali hiyo kuwa na Mbu wengi na hivyo...
  17. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Amandus Chinguile: Ni lini Serikali Italigawa Jimbo la Nachingwea.

    Mbunge Amandus Chinguile: Ni lini Serikali Italigawa Jimbo la Nachingwea. Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) inatarajia kutangaza utaratibu na sifa za kugawa majimbo mbalimbali nchini, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya uchaguzi mkuu ujao. Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu...
  18. LIKUD

    Hodi hodi Nachingwea: Wazoefu wa Nachingwea nipeni ABC za mji wa Nachingwea na vijiji vyake

    Kwema wakuu kama mnavyojua bado nipo kwenye ziara yangu ya mikoa ya kusini mwa Tanzania. Baada ya Newala na Mtwara na Masasi, ninaelekea Nachingwea nikitokea Masasi. Naomba watu mnaoijua Nachingwea vizuri mnipe ABC za wilaya ya Nachingwea na vijiji vyake. Mfano wenyeji wa Nachingwea ni kabila...
  19. mkadiriaji majenzi

    Nataka kuijua Vizuri wilaya ya Nachingwea

    Habarini wana Jamvi, Nina ratiba ya kwenda Wilaya ya Nachingwea kwa Kazi ya miaka kama miwili. Kwa wanayoijua vizuri naomba experience yenu kuhusu hii wilaya kuhusu fursa zilizopo, Aina ya maisha ya pale, Gharama za maisha kama malazi na chakula,sehemu nzuri za kupumzika weekend na kucheki...
  20. Erythrocyte

    Hii ndio hali halisi ya mambo huko Nachingwea

    Huku viongozi wa Nchi wakiendelea kusafiri na Mamia ya Wapambe kwa gharama za kutisha, huko Kwao Nachingwea hali ndio kama mnavyoiona. Tunashauri kwamba badala ya viongozi kusafiri na Umati wa Chawa wao , ni vema chawa hao wakapunguzwa ili hela itakayookolewa irekebishe umasikini huu.
Back
Top Bottom