salamu

As-salamu alaykum (Arabic: ٱلسَّلَامُ عَلَيْكُمْ‎, as-salāmu ʿalaykum, [as.sa.laː.mu ʕa.laj.kum]) is a greeting in Arabic that means "Peace be upon you". The salam is a religious salutation among Muslims when greeting, though it is also used by Arabic speakers of other religions, such as Arab Christians, as well as by Muslims generally. In colloquial speech, often only the first part of the phrase (i.e. Salām, "peace") is used to greet a person. The typical response to the greeting is wa ʿalaykumu s-salām (وَعَلَيْكُمُ ٱلسَّلَامُ, [wa.ʕa.laj.ku.mu‿s.sa.laː.mu]), "And peace be upon you, too." The complete phrase is as-salāmu ʿalaykum wa-raḥmatu -llāhi wa-barakātuhū (ٱلسَّلَامُ عَلَيْكُمْ وَرَحْمَةُ ٱللَّٰهِ وَبَرَكَاتُهُ, [as.sa.laː.mu ʕa.laj.kum wa.raħ.ma.tu‿ɫ.ɫaː.hi wa.ba.ra.kaː.tu.huː]), "Peace be upon you, as well as the mercy of God and his blessings."
This greeting appears in abbreviated forms in many languages as some variant of salām (سَلَام, cf. Persian [sæ.lɒːm]). Among Christians, during Mass, the priest and the congregation often use the salutation, "peace be with you."

View More On Wikipedia.org
  1. U

    JamiiForums Tanzania Tanzania ni ngumu kumfukuza mtumishi wa Umma Mzembe kazini | Salamu za Meimosi kutoka kwa David Kafulila

    Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila katika salamu zake za Meimosi amesema ingawa sheria ya kumlinda mtumishi wa Umma dhidi ya matumizi mabaya ya madaraka kutoka kwa viongozi waovu, Lakini kwa sasa imekuwa mzigo kwa walipa kodi kwa sababu ugumu wa kumwondoa mtumishi...
  2. Emily magnus

    JamiiForums Tanzania Ukiingia JF pita hapa kwanza kutoa salamu

    Wakuu! Me mwenzenu nawachukulia ninyi kama ndugu zangu. Sasa nimeona niazishe uzi huu kwa ajili ya salamu na kujuliana hali. Ukiingia tu JF, unapita kwanza hapa. Kuna member mna marafiki humu, kwa hiyo ni vizuri kusalimiana na kujuliana hali. "Asubuhi njema" "Mchana mwema" "Usiku mwema" zitumike.
  3. a sinner saved by Christ

    JamiiForums Tanzania Epuka salamu ya kupeana / kushikana mikono, Avoid unnecessary hand shaking

    1.KIROHO spiritually nimeshuhudia ndugu mmoja(jina DINA) aliyekuwa mzima wa afya akiendelea na majukumu yake alianza kuugua ghafla na hatimaye kufariki siku hiyohiyo muda mchache akiwa hospitali alipopelekwa kwa matibabu,hali ya uginjwa wake ilimuanza ghafla mara tu baada ya kutoka kupeana...
  4. I

    JamiiForums Tanzania Kisiki cha mpingo Benjamin Netanyahu atuma salamu za pongezi kwa Trump.

    sacred principle Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu congratulated #US President Donald Trump on the rescue of an American airman from #Iran, while Iran's military said several US aircraft were destroyed, with footage showing wreckage.
  5. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Wizara toeni salamu za Pole kwa Iran kwa kumpoteza Kiongozi Khamenei

    Rafiki yetu kindaki ndaki Iran amepoteza Kiongozi wao Ayatollah Khamenei. Hivyo wizara imuandalie safari Mstaafu maarufu ya kwenda kutuwakilisha kwenye mazishi huko Tehran
  6. O

    JamiiForums Tanzania Tulizoea kuona MANENO MENGI ya salamu za misiba kutoka Kwa viongozi

  7. Binti wa zamani

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sambaza upendo na tuma salamu kwa wanajukwaa wanaokufurahisha ❣️

    Leo ni siku ya kuonyeshana upendo, tuma salamu kwa memba wanaokuongezea furaha au maarifa humu jukwaani? Vipi huko kwenu Feb 14 ni siku special au hayo ni mambo ya kizungu hayawahusu? Ratiba yako ikoje? umeshapata mualiko mahali au unasubiri kulala mwenyewe usiku kama panga la mmasai...
  8. PAYE

    JamiiForums Tanzania Ni salamu gani ya kabila unayopenda hapa Tanzania?

    Tanzania ina makabila zaidi ya 120, Ni salamu ya kabila gani unayopenda zaidi? sio lazima kabila lako!!
  9. Z

    JamiiForums Tanzania Acheni kusingizia mabeberu Tanzania

    Inachosha kusikia kila siku "Mabeberu ndio wanatuvuruga," "Mabeberu ndio chanzo cha vita Afrika na Asia." Hivi hamchoki na huu upuuzi? Hamuoni aibu? Hebu tumia akili yako kidogo (kama unayo): 1️⃣ KWANINI MABEBERU WANALINDA NCHI ZAO? 🛡️ Kama mabeberu ni wabaya sana, mbona kwao hakuna vita...
  10. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Mara: Mama wa mtoto aliyepigwa risasi atuma salamu kwa Samia

    Mama mmoja huko Mara ametuma salamu kwa Samia akidai kuwa mwanae aliuawa October 29 alipoenda Dar katika harakati za kutafuta maisha. Mtoto wake alitoka Mara na kwenda Dar kufanya kazi ya upambaji kwa muda lakini ilipofika October 29 mama yake alipokea taarifa kuwa mwanae amepigwa risasi ya...
  11. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mama wa mtoto aliyepigwa risasi Oktoba 29, atuma ‘salamu’ kwa Rais

    Mama wa mtoto aliyepigwa risasi Oktoba 29, 2025 atuma ‘salamu’ kwa Rais
  12. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Salamu za Mwaka Mpya 2026

    Leo ni Alhamisi ya tarehe 01.01.2026 Ni siku ya kwanza ya mwaka mpya 2026. Tuma salamu kwa members wawili wa JamiiForums uwatakie heri na fanaka za mwaka mpya 2026..
  13. L

    JamiiForums Tanzania Rais Xi Jinping wa China atoa salamu za mwaka mpya wa 2026

    Katika mkesha wa mwaka mpya, rais Xi Jinping wa China ametoa hotuba ya salamu za mwaka mpya wa 2026 kupitia Shirika Kuu la Utangazaji la China (CMG) na mtandao wa Internet. Ifuatayo ni hotuba hiyo: Hamjambo! Wakati wa zamani umepita huku maisha yakifungua ukurasa mpya. Wakati mwaka mpya...
  14. Dr Luu

    JamiiForums Tanzania Tupia ushauri wa afya na salamu za sikuu ya Christmas

    Habari wapendwa wanaJF wenzangu nawatakia heri ya sikuu kuu na mwaka mpya kwenu nyote kwa upendo na mshikamano baina yetu, kila la kweri nyote. Tusisahau kutunza afya zetu kwani ndio utajiri namba moja WEALTH = HEALTH
  15. Mzee Mwanakijiji

    JamiiForums Tanzania The Watchers: Salamu Toka ICC..."Tread Careful"

    Na. M. M. Mwanakijiji https://www.youtube.com/watch?v=4mGDNsyA53g Nilipata nafasi siku hizi mbili tatu kukutana na watu muhimu sana kwenye sakata la mauaji ya Oktoba 29-Novemba... Kitu ambacho sikuwa nimejua kwa undani ni kwa kiasi gani hawa jamaa wa ICC wako up to date na yanayoendelea...
  16. iamwangdamin

    JamiiForums Tanzania Salamu kwa Rais Samia

    Mheshimiwa Rais, Nitangulize salamu za heshima na pole kwa majukumu yako mazito ya kulitumikia na kuliongoza taifa letu. Nikiwa kijana mzalendo, mkweli na asiye na mashaka juu ya uzalendo wangu kwa nchi hii, nimeona ni vyema kukuletea salamu na ujumbe maalumu tunapoanza mwezi huu wa...
  17. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Hivi yule mama wa Namibia naye alituma salamu za pongezi?

    Yaani namaanisha kama mwanamke mwenzake alituma Salam za pongezi . Au ndio ile wanawake hawapendani?
  18. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Wananchi wa Dodoma tumeni salamu hapo Bungeni na Ofisi za Tume ya Uchaguzi

    Wananchi wa Dodoma, ccm wamelitumia sana hilo jengo kupitisha sheria mbovu za kidhalimu zilizotukandamiza wananchi vibaya sana. Tunawaomba mliopo Dodoma, katumeni salamu hapo Bungeni na kwenye jengo la Ofisi za Tume ya Uchaguzi. Jeshi likichukua nchi tutawaomba tangazo la kwanza liwe ccm ni...
  19. Abuu Ibraahiym Sibomana

    JamiiForums Tanzania Rais Samia atuma salamu za pole kufuatia kifo cha Odinga

    Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za pole kwa rais wa Kenya ,familia ya Odinga na wananchi wa Kenya kufuatia kifo cha waziri mkuu mstaafu wa Kenya Raila Odinga. Kupitia taarifa ambayo rais Samia ameiweka kwenye mitandao ya kijamii...
  20. Think2

    JamiiForums Tanzania Salamu ni kitu cha muhimu sana hata kama hutaki kuongea na majirani zako

    Hata kama uko busy sana jitahidi kusalimia majirani zako na sio kuwapita kama huwajui Siku ukiugua ghafla na huwezi kushika simu kupigia ndugu ndio utajua umuhimu wa kuishi na majirani vizuri. Note: Maisha ni yako sawa ila matanga ni yetu.
Back
Top Bottom