marekani

  1. Yoyo Zhou

    JamiiForums Tanzania Sababu za Marekani kukosa ushawishi dhidi ya China katika ushirikiano wa miundombinu na Afrika

    China na Angola hivi karibuni zimesaini makubaliano kuhusu mradi wa ujenzi wa bandari mpya huko Barra do Dande wenye thamani ya dola milioni 900 za Kimarekani. Angola ni moja ya nchi muhimu zaidi ambayo Marekani na China zinashindania ushawishi barani Afrika. Marekani imewekeza sana katika njia...
  2. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Vita Vya Iran na Marekani: Iran Taifa la Mashahidi na Mashujaa

    https://youtu.be/2AJc0jjjz9k?si=IBOQqohMS8pQIGn9
  3. K

    JamiiForums Tanzania Waafrika Kukabiliwa na Dhamana ya Hadi Dola 20,000 Kupata Visa ya Marekani

    Raia kutoka nchi 50, zikiwemo 30 za Afrika, watakabiliwa na amana za usalama za hadi dola 20,000 za Marekani wakati wa kuomba visa fulani za biashara na utalii chini ya programu ya kudumu ya dhamana ya visa iliyotangazwa na Marekani. Maafisa wanasema hatua hiyo inalenga kudhibiti watu wanaokaa...
  4. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Vita Vya Iran na Marekani: Marekani Yasalimu Amri: Kila Mchuma Janga Hula na Wakwao

    Mohamed Said anakumbuka wimbo waliokuwa wakiimba utotoni huko Mnazi Mmoja, Dar es Salaam, walipokuwa wakicheza kwenye mapembea: "...tukikaa kwenye kile tulikuwa tunaimba mchimba kisima akaingia mwenyewe wewe kaingia mchimba kisima ndoa hii mchimba kisima kaingia mwenyewe fedha hii..."...
  5. Design Your Idea

    JamiiForums Tanzania Hii ndio sura mpya ya chama cha democrat huko marekani

    Mdada wa kisomalia mjihad na ana support vikundi ya kigaidi Jamaa wa kiarabu, mkomonisti anaepinga marekani na kumsifia china Mwingine huyo kutoka asia, ana support ushoga wa kuvuka mipaka na kuruhusu wanaume trans kuingilia michezo ya wasichna pure US is cooked, soon magharibi wataona moto...
  6. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Vita Vya Iran Na Marekani: Kuangamia Kwa Wote

    Mohamed Said, hizi hapa ni nukuu muhimu zinazohusu mzozo wa Iran na Israel: Kuhusu Uwezo wa Kijeshi wa Iran dhidi ya Israel Vyanzo vinaeleza kuwa hali ya sasa imebadilika na kuifanya Israel kuwa katika hatari zaidi: "Iran sasa inaweza kuipiga Israel kad inavyotaka". Inaelezwa kuwa Marekani...
  7. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Marekani yapandisha hadi Tsh. Milioni 52.8 dhamana ya visa kwa waombaji kutoka nchi 30 za Afrika, ikiwemo Tanzania

    Marekani imetangaza kufanya mpango wa dhamana ya visa kuwa wa kudumu, huku ikiongeza kiwango cha juu cha dhamana hadi Dola 20,000 kwa baadhi ya waombaji wa visa za biashara (B-1) na utalii (B-2) kutoka nchi 30 za Afrika, zikiwemo Tanzania, Nigeria, Uganda na Zambia. Mpango huo umeondoa kiwango...
  8. political monger senior

    JamiiForums Tanzania SERIKALI YA TANZANIA YAIOMBA MAREKANI KUIONDOLEA VIZA KWA WATANZANIA WANAOSAFIRI KWENDA NCHINI HUMO

    Serikali ya Tanzania imeiomba Marekani kuondoa vikwazo vya viza kwa Watanzania wanaosafiri kwenda nchini humo, pamoja na vikwazo vingine vya kiuchumi na kiusafiri vilivyowekwa dhidi ya Tanzania, ili kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia na wananchi wa nchi hizo mbili. Ombi hilo limewasilishwa...
  9. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Marekani yaweka rasmi dhamana ya visa ya hadi $20,000 kwa Nchi 30 za Afrika. Tanzania ikiwepo

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani inatarajia kufanya kuwa wa kudumu mpango wa majaribio unaowataka raia wa mataifa 50, mengi yakiwa ya Afrika, kutoa dhamana kubwa wanapoomba viza, huku gharama zake sasa zikitarajiwa kufikia hadi $20,000. Ilani ya awali, iliyochapishwa Ijumaa katika Rejista...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Zaidi ya ndege 40 za Marekani zaharibiwa tokea wa mapigano ya anga ya Iran

    Mgogoro wa Iran Kikosi cha uokoaji cha Marekani kiliacha ndege mbili aina ya MC-130J na helikopta nne aina ya MH-6 Little Bird ndani ya Iran baada ya usafiri huo kuzama kwenye mchanga laini wa njia ya ndege ya kurukia ndege ya kielektroniki.Vyombo vya habari vya serikali ya Iran Helikopta hizo...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kitaeleweka si muda mrefu: Marekani yaonya uwezo wa kujilinda wa Israel dhidi ya Makombora ya Iran

    Kamanda mkuu wa jeshi la Marekani nchini Ulaya, Jenerali Alexus Grynkewich, ameionya Pentagon kwamba Jeshi la Wanamaji la Marekani linaweza hivi karibuni kushindwa kuendelea kuilinda Israel dhidi ya mashambulizi ya makombora ya balistiki ya Iran kutokana na uhaba wa meli za kivita aina ya...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Mpaka sasa, Iran katupia missiles ngapi huko Marekani mpaka aelekee kushinda vita,?

    Wana jamvi hamjamboni? Kunazo tarifa lukuki zikitokea Iran ya Madale kuwa, Tayari huko vita vya Beberu mkuu na Iran ya wairan wanaouumia ukiachana na wairan wa Miswe, eti viko mwishoni mwishoni kuimalizika huku Iran akiwa ndiye mshindi wa vita kwa kumchakaza Marekani kisawasawa Swali langu ni...
  13. zitto junior

    JamiiForums Tanzania Marekani yamaliza 65% ya makombora kwenye vita ya Iran

    Tathmini mpya za wataalamu wa masuala ya ulinzi wa Center for Strategic and International studies (CSIS) zinaonyesha kuwa Marekani imetumia zaidi ya asilimia 65 ya makombora yake ya Patriot Interceptor missiles (PC2 na PC3) pamoja na sehemu kubwa ya makombora ya THAAD katika operesheni za hivi...
  14. Fbn

    JamiiForums Tanzania Matokeo ya mifumo mibovu ya Africa ,Kila muafrica anataka kufika Ulaya na Marekani

    Mi nitazungumzia kwa bara letu ,Siwezi kuzungumzia mpaka Asia. Mumeona idadi ya wahamiaji haramu wakijaribu kuingia spain na hii rekodi ni kubwa kwa masaa 24. Tuache wale wa kila siku.Hii inaleta picha gani ?. Na wengine kama viongozi wa afrika nao wanaamia huko sababu wakale maisha mazuri...
  15. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Vita Vya Iran na Marekani: Vita Vinazidi Kupanuka

    Kulingana na vyanzo ulivyotoa, mwanahistoria Mohamed Said anatoa uchambuzi wa kina kuhusu mzozo wa kijeshi kati ya Iran na Marekani, akiangazia mbinu za kivita, ukimya wa kimataifa, na mabadiliko ya kijiografia katika nchi za Ghuba. Hizi hapa ni nukuu muhimu kuhusu vita hivyo: Kuhusu Kichapo na...
  16. Yoyo Zhou

    JamiiForums Tanzania “Haki za binadamu”, ushuru wa Marekani umepata kisingizio kipya

    Serikali ya Marekani hivi karibuni imetangaza mpango mpya wa ushuru dhidi ya bidhaa zinazoagizwa kutoka nchi za nje. Kulingana na mpango huo, viwango vya ushuru vinaanzia asilimia 10 hadi 12.5, na kuhusisha karibu washirika wakuu wake wote wa kibiashara, ikiwa ni pamoja na China, Umoja wa Ulaya...
  17. Brother Depo

    JamiiForums Tanzania Netanyahu Na Trump Wakiwa Ndani ya Ikulu Ya Marekani

    Jabali wa vita, nguli, mwamba Benjamin Netanyahu Bibi tayari kishatua ndani ya ikulu ya marekani, tayari kwa mazungumzo kabambe na Trump. Netanyahu alisafiri Jana kwenda marekani kwa ajili ya kikao chake na trump. Kikao ambacho akitoka huko atakuja na operation endgame(jiandaeni maana huwa...
  18. Ertugrul Bey

    JamiiForums Tanzania Siku za mwisho za Saddam Hussein na Maombolezo ya askari wa Marekani

    Ndo ile ukisikia adui yako kawa rafiki yako ndio hii sasa, Baghdad, Iraq Ni wanajeshi 12 miongoni mwa askari 551 amboa walijulikana kama "Super twelve' walipewa jukumu la kumlinda raisi Saddam Hussein mwisho mwisho wa uhI wake kabla hajanyongwa Mmoja wao Barden Werper ameandika kitabu...
  19. Msanii

    JamiiForums Tanzania Bunge la Marekani laikosoa ripoti ya Chade, lataka Samia afikishwe ICC

    https://vt.tiktok.com/ZS4J6KuBH/ Soon veri soon....
  20. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu wa Israel aenda Marekani kuonana na Trump!!

    Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu ameondoka kwenda Washington. Kabla ya kupaa alisema: Kutokana na uzoefu wangu kama Waziri Mkuu, katika nyakati hizi ngumu lazima tuchukue hatua kwa azimio kubwa na hekima kubwa. Tutajadili masuala yote kwenye ajenda, kwanza kabisa, Iran. Ninaanza safari...
Back
Top Bottom