marekani

  1. Ritz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Iran wamesema hakuna makubaliano yeyote yaliyofikiwa kati yake na Marekani makubaliano yoyote lazima yakidhi mahitaji yake ya msingi,

    Wanaukumbi. 🇮🇷 Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imekataa madai ya Rais Trump kwamba pande zote zimeidhinisha makubaliano yaliyopendekezwa kati ya Marekani na Iran. Maafisa mjini Tehran walisema: ❌ "Hakuna makubaliano yaliyofikiwa." ❌ "Hakuna mtu aliyekubali makubaliano hayo." Iran inasema...
  2. Q

    JamiiForums Tanzania Full Text: Mabadiliko ya Muswada wa Senate ya Marekani kuhusu Tanzania ni wa moto zaidi

    Baraza la Seneti limegundua yafuatayo: Tanzania ni nchi inayoendelea kugandamiza, uhuru wa demokrasia, uhuru wa wanaharakati, uhuru wa watu wake na uhuru wa dini Tanzania inatishia maslahi ya Marekani ya uwekezaji. Baada ya uchaguzi na mauaji ya oktoba 29, bado Tanzania inaendelea kuteka...
  3. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Ukweli wa Muswada wa Marekani kuhusu Tanzania Wazi!

    Upotoshaji wa akina Maria Sarungi, Liberatus, na wenzao (Misinformation from commercial activist). Leo Maria Sarungi na genge lake wameibuka na upotoshaji kuwa mswada kuhusu Tanzania unaotarajiwa kuwasilishwa katika Bunge la Seneti la Marekani Juni 17 mwaka huu haujafanyiwa marekebisho. Ukweli...
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi ndivyo vipengele vya Iran vs Marekani

    Baadhi ya vipengele muhimu vya makubaliano hayo ni; Kusitishwa kwa mapigano kwa siku 60 katika nyanja zote, ikiwemo nchini Lebanon. Mlango bahari wa Hormuz kufunguliwa mara moja, bila Iran kutoza ada zaidi kwa meli, na usafirishaji kupitia mlango huo kurudi viwango vya awali kabla ya vita...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kimya cha wanaharakati wa Tanzania na CHADEMA kuhusu mwamuzi wa Afrika aliyekataliwa kuingia Marekani

    Katika siku za karibuni, dunia ya michezo imeshuhudia tukio lililozua mjadala mkubwa baada ya mwamuzi wa Somalia, Omar Abdulkadir Artan, kuzuiwa kuingia Marekani licha ya kuwa miongoni mwa waamuzi walioteuliwa na FIFA kuchezesha Kombe la Dunia la 2026. Tukio hili limeibua maswali mengi kuhusu...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Chadema inategemea Marekani na ulaya kuwasaidia? Wasahau

    Kama Isreal na Marekani wanafanya watakavyo katika dunia hii hakuna kuulizwa, sio Fifa, sio UNO Wasitegemee Chadema kupata haki katika dunia hii ambayo imejaa double standard
  7. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania MAREKANI: Urusi imefungiwa na Marekani kucheza Kombe la Dunia?

    Kama USA imemrudisha refa wa Somalia, basi ile ni isue ndogo sana kwa Marekani, hili la Urusi Gen Z na millenia hamjui. Urusi haishiriki Kombe la Dunia la 2026 kwa sababu FIFA iliweka kizuizi rasmi kinachozuia timu hiyo kushiriki katika mashindano yake yote tangu mwezi Februari 2022. Hali hii...
  8. Yoyo Zhou

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwamuzi wa Somalia wa Kombe la Dunia akataliwa kuingia nchini Marekani

    Gazeti la New York Times hivi karibuni limetoa ripoti ikisema, mwamuzi wa Kombe la Dunia la mwaka 2026 ambaye ni raia wa Somalia Omar Artan, amekataliwa kuingia nchini Marekani. Artan alikuwa mmoja wa waamuzi 7 wa Afrika waliochaguliwa kwa Kombe la Dunia la mwaka 2026 litakalofanyika nchini...
  9. dronedrake

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Helikopta ya Kijeshi ya Marekani yatunguliwa na Jeshi la Irani

    Helikopta ya Kijeshi ya Marekani, maarufu kama Apache Helicopter, iliyokuwa inaranda maeneo ya mlango bahari wa Hormuz, imetunguliwa na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran mapema tarehe 08/06/2026 Rais Donald Trump amedhibitisha kutunguliwa kwa helikopta hiyo na Marekani imesema...
  10. Waufukweni

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwamuzi wa Somalia, Omar Artan, azuiwa kuingia Marekani, kuchezesha Kombe la Dunia 2026

    Mwamuzi mashuhuri wa soka kutoka Somalia, Omar Artan, amezuiwa kuingia Marekani licha ya kuwa miongoni mwa waamuzi 52 walioteuliwa na Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) kuchezesha mechi za Kombe la Dunia 2026 litakalofanyika nchini Marekani, Canada na Mexico. Artan, ambaye angekuwa Mwamuzi wa...
  11. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Vita Vya Iran na Marekani: Zimetimu Siku 100

    https://youtu.be/X3fwMLuxl1Y?si=rLRYL_eeUQ-SpxJv
  12. Q

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Marekani imetangaza vikwazo kwa maafisa 100 wa Nicaragua na familia zao kufuatia kiongozi wa upinzani kufia gerezani

    Serikali ya Marekani imetangaza vikwazo vya visa dhidi ya zaidi ya maafisa 100 wa Nicaragua na familia zao kufuatia kifo cha Brooklyn Rivera, kiongozi wa kiasili wa watu wa Miskito aliyekuwa akizuiliwa na utawala wa Rais Daniel Ortega. Rivera, mwenye umri wa miaka 73 na aliyewahi kuwa mbunge...
  13. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania Msikilize/ mtazame Fatou Bensouda akizungumzia jinsi vikwazo alivyowekewa na Marekani vilivyoathiri maisha yake na familia yake

    Hakuna ubishi. Kwa sasa super power pekee iliyopo duniani ni Marekani tu. U super power wa Marekani haupo kwenye masuala ya kijeshi tu. Bali, hawa jamaa wanadhibiti, kwa kiasi kikubwa, mifumo itumikayo kuendesha uchumi wa dunia. Ukisikia wamemuwekea mtu flani vikwazo, basi kwanza ujue...
  14. Superbug

    JamiiForums Tanzania Superbug natarajia kwenda kutembelea fensi ya ikulu ya Marekani nitaleta picha humu

    Ni kawaida raia wa marekani na hata wageni kutembelea ikulu ya marekani aidha pale nje kwenye fensi au ndani kabisa Kwa kibali maalumu unachoomba mapema ili maombi yachakatwe. Binafsi kibali changu hakitahusika na mchakato huo ila Mimi nitapekuliwa kidogo pale viunga vya white house.
  15. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Wanaharakati wetu na Marekani: Kwanini?

    Kwanini wanaharakati wa Tanzania kama Mange Kimambi, Maria Sarungi na wanachama wote wa Chadema, wako upande wa nchi za Magharibi kama Marekani licha ya kwamba iko wazi kwamba Marekani ndio mvinjifu namba moja duniani wa haki za binadamu? Umewahi kujiuliza kwanini?
  16. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama Ebola Facility Ni Salama, Mbona Marekani Haitaki Kuijenga Nyumbani?

    Mjadala kuhusu mpango wa kujenga Ebola quarantine facility nchini Kenya unaendelea kushika kasi huku Wakenya wengi wakijiuliza swali moja kuu: Kama facility hii ni salama, kwa nini Marekani isiijenge kwao? Maafisa wa Marekani wanasema kuwa kuweka kituo hicho Kenya kutasaidia Americans...
  17. bless on

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kila Rais wa Marekani: Lazima aondoke na kichwa kimoja

    KILA RAIS WA MAREKANI LAZIMA AONDOKE NA KICHWA KIMOJA Unapokuwa rais wa nchi yoyote ile ni kwamba unafuata kile ambacho watu fulani wanataka ukifuate, unaweza kuja na mipango yako na isifanye kazi. Unawekewa mkakati kwamba tunakuweka wewe ila tunataka ufanye hili na lile, unatakiwa kufuata...
  18. Fascinating

    JamiiForums Tanzania Marekani yapunguza Vituo vya kuomba Viza Afrika kutoka 50 mpaka 20, Tanzania tumepona

    Kuna mabadiliko makubwa kwenye sera za Marekani kuhusu utoaji wa visa barani Afrika. Marekani imepunguza idadi ya balozi na ofisi za ubalozi zinazoshughulikia maombi ya visa kutoka 50 hadi 20 pekee. Hatua hii inatajwa kuathiri safari na mahusiano ya kidiplomasia kwa nchi nyingi. Kwa mujibu wa...
  19. Q

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ameenda Urusi kuitisha Marekani?

    Dunia imegawanyika katika pande kuu mbili, mataifa ya Magharibi (US, EU, UK) na Mashariki (Urusi, China, North Korea, nchi za Kiarabu. Kila upande una mitazamo yake kiuchumi, kiulinzi na kidemokrasia. Wakati wa vita vya kiuchumi au vita halisi, Wamarekani huwa wana msemo wao. "Either you are...
  20. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Marekani kupunguza balozi zake Afrika zinazotoa visa

    Marekani inapanga kupunguza kwa kiasi kikubwa idadi ya balozi zake barani Afrika zinazoshughulikia maombi ya visa, hatua inayotarajiwa kuongeza udhibiti kwa wanaotafuta vibali vya kuingia nchini humo. Kwa mujibu wa taarifa ya Shirika la Habari la Associated Press (AP), mpango huo utaifanya...
Back
Top Bottom