tajiri

  1. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Tajiri anamsihi mwanae kuwa ngono holela inapelekea magonjwa na nzao za hovyo. Masikini anamsihi mwanae kuwa ngono holela inaua nyota na roho yake

    Akili yako ndio ulimwengu wako.
  2. Zee la madawa

    JamiiForums Tanzania Zacharia Hans Poppe: Tajiri ameondoka na mali zake

    Kitengo cha Biashara cha Mahakama Kuu ya Tanzania jijini Dar es Salaam, kimetupilia mbali maombi yaliyowasilishwa na kampuni ya ZH Poppe Limited pamoja na wasimamizi wa mali za Marehemu Mfanyabiashara Zacharia Hans Poppe waliokuwa wakitaka kuizuia Benki ya Biashara Tanzania (TCB) kuuza kwa mnada...
  3. Dr Arshavin

    JamiiForums Tanzania Tajiri wa Kesho: Mchakato wa Mafanikio

    TAJIRI WA KESHO YUKO KWENYE MCHAKATO LEO! Usifikirie uko nyuma fikiri uko njiani. Kila hatua unayoichukua leo ni tofauti kati ya wewe wa sasa na tajiri utakayekuwa kesho. Mchakato Unauma Lakini Unabadilisha Mohammed Dewji leo anaitwa bilionea mdogo zaidi Afrika. Lakini kabla ya hapo...
  4. Baba mtakatifu91

    JamiiForums Tanzania Kila mtu ana nafasi ya kuwa tajiri

    Nimeona jamaa anatuandikia nyuzi ndefu lakini ukiangalia hamna point hata moja nilitegemea nyuzi zake ziwe zinatoa suluhisho kwa kijana na mtu yoyote anayetaka kufanikiwa Niliitegemea awaambie hivi. 1.Mtumishi wa serikali/Private usiache kazi ila fanya saving ili baadaye ufungue duka, miamala...
  5. C

    JamiiForums Tanzania Hivi nini maana ya neno "Tajiri"

    Habari wanaJF Hili ni moja ya neno mtambuka na lenye utata sana. Mtu amepata vihela kidogo hata havizidi million 100 utasikia ni tajiri. Je utajiri ni kuendesha gari,kujenga ,afya ama nini?
  6. Candela

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Bandari wanazuia mizigo ya watu kama bidhaa ulizoleta zinafanana na za tajiri fulani

    Kumekuwa na tetesi kwamba baadhi ya matajiri wanazuia mizigo ya watu kupitia maafisa wa bandari wasio waaminifu. Iko hivi kama unaleta kontena ya viatu basi tajiri alieshika viatu hapa bongo anawaelekeza bandari wasitoe mzigo wako. Unawekewa ushuru mkubwa ambao hata ukiulipa hutaweza kuuza huo...
  7. Mstahiki Mea

    JamiiForums Tanzania Nifanye nini ili niwe tajiri number 1 duniani?

    Anayejua pakuanzia wadau natamani sana siku namimi niandikwe forbers kama tajiri number moja duniani naomba ushauri nadhani mimi ni mtanzania wapili baada ya ule kijana mwingine wa madale tunaomba ushauri kufanikisha ndoto zetu japo sijui pakuanzia
  8. figganigga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Talaka ni kwa tajiri, kwa Masikini Utasikia Mke alikimbia

    Palac anakuambia kwamba, Wanawake hawajawahi kujua wanataka nini ndo maana talaka ni kwa matajiri maskini utaskia mke alinikimbia.🤣🤣
  9. DR VRM

    JamiiForums Tanzania Elimu rasmi sio kigezo pekee au cha mtu kuwa tajiri kihalali, lakini ni nyenzo thabiti sana inayoweza kurahisisha kukuza utajiri

    Unaweza kumfundisha mtoto wako kutafuta na kutumia pesa kwa kuanza kumjengea tabia ya kuweka akiba, kuelewa thamani ya kazi kupitia shughuli ndogo za nyumbani, na kumshirikisha katika maamuzi ya kifamilia ili kueleza tofauti kati ya matakwa na mahitaji ya msingi Kujenga akili ya kifedha...
  10. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Ukiambiwa 'Hivi vina pesa utakuwa tajiri', jihadhari unaweza kuishi maisha yote ukisubiri mafanikio yasiyokuja

    Hizi ni sehemu wengi wanapoteza muda na pesa wakidhani ni fursa.... lakini ukweli wake huu hapa: 1. Forex Watu wanaona screenshots za profit na motivation, wanaingia kwa pupa. Kwa Tanzania, wanaopata pesa consistent kwenye forex wengi wao sio traders — ni wauzaji wa kozi, signals, au...
  11. tpaul

    JamiiForums Tanzania Kuna faida gani kuwa tajiri?

    Ngoja niingie kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha. Nikitazama maisha wanayoishi matajiri nikalinganisha na maisha wanayoishi maskini, nashindwa kuona tofauti ya kimsingi iliyopo kati yao. Fikiria matajiri kama Dangote, MO29 au Bakhressa wanamiliki utajiri uliotapakaa nchi nzima na baadhi...
  12. Think2

    JamiiForums Tanzania Sijawahi kuona tajiri ameanguka kwa mapepo kanisani

    Siijawahi kuona tajiri akiangushwa na mapepo kanisani ila masikini na wenye viator vya kati sasa 😂 😂 😂 Automatically ukiwa masikini unamapepo 😂 Vipi mdau umeshawahi ona tajiri anaangushwa na mapepo?
  13. Doyi

    JamiiForums Tanzania KERO Tajiri wa gari za Loliondo kuwa serious na service ya gari zako

    Abiria tunatoka kanda ya ziwa kuelekea Arusha na Moshi tumekwama hapa Shinyanga gari imekatika spring T646 EKS ya kutoka Tarime kwenda Moshi so tupo kwa mafundi wa kilocal wanachomelea hizo spring tangu saa nne na sasa ni saa tisa usiku. Unaenda kuua jina la biashara yako uliojenga kwa muda...
  14. E

    JamiiForums Tanzania Demokrasia kwa tajiri maana yake ni kumnyonya mwananchi wa kawaida sio kuwa na utawala wa sheria

    Matajiri wote wanaopigania demokrasia maana yake wawe na uhuru wa kupanga bei za bidhaa bila hata kuangalia mnyororo wa udhalishaji. Moja wapo ya njia hizo ni kutengeneza cartels. Matajiri wanakubalia bei ya soko ili kusiwe na ushindani makampuni ya mtandao ya simu ni mfano mzuri.
  15. M

    JamiiForums Tanzania Unaweza kukubali utajiri wa masharti wa kuoga mara 1 tu kwa mwezi ?

    Kuna siku nikiwa nikiwa mdogo nilikuwa namsifia mzee mmoja ni tajiri lakini yupo simple, mavazi yake huwezi kumdhania ni tajiri. Nikaambiwa huyo anafuata masharti maalum ya kuoga, haruhusiwi kuoga oga akikiuka pesa zote zinapotea Swali la kizushi kwenu Tuchukulie ingekuwa kweli kama...
  16. W

    JamiiForums Tanzania Kitila Mkumbo: Kama unataka kuwa tajiri usiombe kazi Serikalini

    Imeelezwa kuwa wakati Tanzania ikiwa na nguvu kazi kubwa ya watu milioni 33, sekta ya umma imeajiri chini ya watu milioni moja, jambo linalothibitisha kuwa serikali haiwezi kuwa injini kuu ya uzalishaji wa ajira. Hayo yamefafanuliwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof...
  17. Bwege2030

    JamiiForums Tanzania Tajiri hununua mali, maskini hununua hisia

    TAJIRI HUNUNUA MALI,MASKINI HUNUNUA HISIA Tofauti ya utajiri na umaskini haipo kwenye kiasi cha mshahara,bali kwenye Akili ya Kuwekeza (Investor Mindset). Utajiri wa kweli haupimwi kwa pesa unazopokea,bali kwa mali zinazokulipa hata ukiwa umelala. Mtego wa Hisia dhidi ya Mali Watu wengi...
  18. Mstahiki Mea

    JamiiForums Tanzania Ashinda milion 30 aapa kuwa tajiri ndani ya mwaka mmoja

    Jamaa kashinda bet kaamua kununua zake bajajj, toyo na boda zake mbili.. anaona maisha kayapatia kishenzi.. anasema tumpe mwaka mmoja tu atakuja kutuajiri kwenye kampuni yake.. watu wazima wanamcheka tu, wanamwambia maisha siyo rahisi hivyo..sasa ninajiuliza dogo amekosea wapi?
  19. a sinner saved by Christ

    JamiiForums Tanzania Utajiri na mafanikio ya hali na mali

    Tajiri ..!
  20. Red black

    JamiiForums Tanzania Usijipe stress kama kila siku unapata hizi items 5 wewe ni tajiri Money is an illusion

    Money is an illusion kama kila siku hizi items 5 unazipata wewe ni tajiri usijipe stress.
Back
Top Bottom