cuba

Cuba ( (listen) KEW-bə, Spanish: [ˈkuβa] (listen)), officially the Republic of Cuba (Spanish: República de Cuba [reˈpuβlika ðe ˈkuβa] (listen)), is a country comprising the island of Cuba, as well as Isla de la Juventud and several minor archipelagos. Cuba is located in the northern Caribbean where the Caribbean Sea, Gulf of Mexico and Atlantic Ocean meet. It is east of the Yucatán Peninsula (Mexico), south of both the U.S. state of Florida and the Bahamas, west of Hispaniola, and north of both Jamaica and the Cayman Islands. Havana is the largest city and capital; other major cities include Santiago de Cuba and Camagüey. The official area of the Republic of Cuba is 109,884 km2 (42,426 sq mi) (without the territorial waters). The main island of Cuba is the largest island in Cuba and in the Caribbean, with an area of 104,556 km2 (40,369 sq mi). Cuba is the second-most populous country in the Caribbean after Haiti, with over 11 million inhabitants.The territory that is now Cuba was inhabited by the Ciboney Taíno people from the 4th millennium BC until Spanish colonization in the 15th century. From the 15th century, it was a colony of Spain until the Spanish–American War of 1898, when Cuba was occupied by the United States and gained nominal independence as a de factocode: lat promoted to code: la United States protectorate in 1902. As a fragile republic, in 1940 Cuba attempted to strengthen its democratic system, but mounting political radicalization and social strife culminated in a coup and subsequent dictatorship under Fulgencio Batista in 1952. Open corruption and oppression under Batista's rule led to his ousting in January 1959 by the 26th of July Movement, which afterwards established communist rule under the leadership of Fidel Castro. Since 1965, the state has been governed by the Communist Party of Cuba. The country was a point of contention during the Cold War between the Soviet Union and the United States, and a nuclear war nearly broke out during the Cuban Missile Crisis of 1962. Cuba is one of a few extant Marxist–Leninist socialist states, where the role of the vanguard Communist Party is enshrined in the Constitution.
Under Castro, Cuba was involved in a broad range of military and humanitarian activities throughout both Africa and Asia..
Culturally, Cuba is considered part of Latin America. It is a multiethnic country whose people, culture and customs derive from diverse origins, including the Taíno Ciboney peoples, the long period of Spanish colonialism, the introduction of enslaved Africans and a close relationship with the Soviet Union in the Cold War.
Cuba is a founding member of the United Nations, the G77, the Non-Aligned Movement, the Organisation of African, Caribbean and Pacific States, ALBA and the Organization of American States. It has currently one of the world's only planned economies, and its economy is dominated by the tourism industry and the exports of skilled labor, sugar, tobacco, and coffee. According to the Human Development Index, Cuba has high human development and is ranked the eighth highest in North America, though 72nd in the world in 2019. It also ranks highly in some metrics of national performance, including health care and education. It is the only country in the world to meet the conditions of sustainable development put forth by the WWF. Cuban government policies have largely eradicated hunger and poverty according to the World Food Programme and Cuba boasts the lowest malnutrition death rate in Latin America as a result.International non-governmental organizations and experts consider Cuba as an authoritarian regime, without free and fair multi-party competitive elections and have accused Cuban government of numerous human rights abuses, including short-term arbitrary imprisonment and jailing of political opponents, purges and curtailed press freedom.

View More On Wikipedia.org
  1. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Baada ya Trump kukosa points Iran sasa anataka kuzipata kwa Cuba?

    Trump alijua vita ya Iran itamuongezea points na MAGA wenzake kuelekea uchaguzi wa wabunge na magavana mwezi Novemba. Kilichotokea ni amepoteza points nyingi. Sasa juzi serikali yake imemfungulia mashtaka Raul Castro kwamba mwaka 1996 akiwa waziri wa ulinzi kwenye serikali ya Fidel Castro...
  2. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Sasa ni zamu ya cuba! Step by step wafadhili ugaidi wote duniani wanaondolewa

    Meli za kivita zimewasili hapo carribean, zikijiandaa kumuondoa castro na utawala wake wa unyama. Iran bado anapikwa, magaidi naijeria wanaoua wakristo wanaungua, etc. Ahsante Trump
  3. 100 others

    JamiiForums Tanzania Mapokezi ya Putin nchini China, Je, Huu ni Ujumbe kwa Marekani na NATO?

    Katika hii ziara ambapo Putin ameenda China naona mambo hayakuwa kiofisi tu kama Trump alivyo karibishwa, Xi na Putin wameonekana wakipika pamoja vyakula vya asili vya China, wakinywa pombe , na wamekula pamoja, wamesafiri pamoja kwa treni ya mwendokasi, wameangalia michezo pamoja. Nimekaa hapa...
  4. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Rais wa Cuba, Miguel amesema Taifa lake liko tayari kupambana na Marekani

    Rais wa Cuba, Miguel Díaz-Canel, amesema Taifa lake liko tayari kupambana endapo Marekani itachukua hatua za Kijeshi, licha ya kusisitiza kuwa hawatamani vita. Akizungumza katika mkutano mkubwa wa kuadhimisha miaka 65 ya Mapinduzi ya Kisoshalisti, Díaz-Canel amesema hali ya sasa ni ngumu na...
  5. I

    JamiiForums Tanzania Cuba inavyozidi kurudi kwenye zama za mawe

    Cuba ilitumbukia gizani kwa mara ya pili katika muda wa chini ya wiki moja Jumamosi, Machi 21, baada ya mtandao wake wa kitaifa wa nishati kushindwa tena, ukiwa umeathiriwa na miundomsingi iliyozeeka na kizuizi cha mafuta kilichowekwa na Marekani. Usiku ulipoingia, mitaa ya Havana mara nyingi...
  6. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Cuba yakubali kuanza mazungumzo na Marekani

    HAPA KATI MH TRUMP ALISEMA BAADA YA IRAN KITUO KINACHOFWATA CUBA SASA RAIS MIGUEL KAONA ISIWE TABUU HERI...NUSI SHARI KULIKO SHARI ZIMA KITUO KINACHOFWATA KIMEGOMA UNAHISI NANI ANAFWATA ??CUBA KACHOMOA BETRI """ Rais wa Cuba, Miguel Díaz-Canel, ametoa tangazo la kushtua kupitia televisheni ya...
  7. R

    JamiiForums Tanzania Trump atishia kuichukua Cuba, anadai nchi haina hela wana hali tete

    Rais wa Marekani, Donald Trump, ameashiria kuwa serikali yake bado inalenga kuiondoa madarakani serikali ya Cuba, licha ya vita vinavyoendelea kati ya Israel na Marekani dhidi ya Iran kuingia wiki ya pili sasa tangu Februari 28, 2026. Akizungumza Jumatatu, Trump alisema Wizara ya Mambo ya Nje ya...
  8. P

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya Polepole yajazwa, Luteni Jenerali Mathew Edward Mkingule apangiwa kuwa Balozi nchini Cuba

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uhamisho na kuwapangia vituo mabalozi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, mabalozi waliopangiwa vituo ni kama ifuatavyo:- (i) Balozi Togolani Edriss Mavura...
  9. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Kama Security details ya Nicolas Maduro ilikuwa na raia wa Cuba , basi sishangai kilichompata

    Kila nikifikiria hili swala la Maduro kunyakuliwa usiku wa maanane ikulu ,basi bila shaka alikuwa hawaamini "My fellow county men" mpaka akaamua kuwakodisha wa Cuba kama Walinzi wake. Sasa wa Venezuela wenzake wakaamua "kumuuza" kwa bei ya jioni kabisa kwa Baba Baron 😂😂😂.
  10. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Hivi hawa Delta force waliwafanya nini walinzi wa Maduro maana wanarudishwa kwao Cuba kwenye vibox vidogo vidogo🤔

  11. stakehigh

    JamiiForums Tanzania Tamko la Cuba kwa Marekani baada ya kuvamia Venezuela na kumkamata Rais Maduro

    President Miguel Diaz-Canel issued a sharply worded condemnation on social media, accusing Washington of carrying out a “criminal attack” against Venezuela and calling for an urgent international response. In a post on X, Diaz-Canel said Cuba’s so-called “zone of peace” was being “brutally...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Nani anawatumia Gen z kutaka kuangusha dola? Au ndio Mapinduzi kama ya Cuba?

    Rais Samia alisema akiwa anawahutubia wazee wa Dar. Kuwa tar 29 oktoba kuna watu walipanga kuangusha dola. Ndio maana nguvu kubwa ikatumika kuua watu wasio na hatia. Nani anataka kuchukua kiti cha urais kupitia Gen z? Je , haya yanayonukia sio mapinduzi kama ya Cuba ili kuondo mafisadi...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Muungano umeshapitwa na wakati; Ulishinikizwa na Wamarekani na mabepari wakiogopa kuenea kwa ushawishi wa Urusi kuigeuza Zanzibar iwe kama Cuba

    Muungano uliingiwa kwa hofu, baada ya vita vya pili vya dunia kulikuwa kunanukia vita ya tatu Maandalizi ya kimya kimya ya vita ya tatu ilikuwa na pande mbili Mabepari - nchi kama Marekani, Uingereza, Ufaransa, n.k. wasoshalisti - mataifa makubwa kama Urusi na China waliokuwa wakieneza mfumo...
  14. G

    JamiiForums Tanzania Kwanini hakuna kiongozi yoyote anayehoji wala kufuatilia suala la mzee wa Cuba?

    Humphrey kwenye wasilisho lake la mwisho alisema kuna wazee wameshanunuliwa na wameuza utu na heshima Yao kwa shetani Alisema wanajiandaa kwa maridhiano feki na akasema atarudi tena kufafanua zaidi, alionekana akiongea kwa haraka na mashaka. Baada ya wasilisho lile umma wa watanzania hawajapata...
  15. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Humphrey Polepole: Niliambiwa Rais Samia ameagiza nifukuzwe kazi nikiwa Cuba na mafao yangu yote nisipewe

    Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Balozi aliyejiuzulu, Humphrey Polepole, akizungumza kwa njia ya mtandao, Septemba 18, 2025, amesema amesikia kuhusu kuitwa na Jeshi la Polisi lakini bado kuna tatizo Serikalini kwa sababu walipaswa kuihoji Serikali kwanini haijanirejesha nchini baada ya mimi...
  16. R

    JamiiForums Tanzania Giza totoro Cuba nzima kwa Kukosa umeme Septemba 10, 2025

    Kwa mara nyengine, Cuba imekosa umeme nchi nzima kutokana na uchakavu wa miundombinu na uhaba wa mafuta kwenye mitambo ya nishati katika taifa hilo la Karibiki. Tukio hilo la jana ni la pili kwa mwaka huu, likitanguliwa na matukio ya aina hiyo mwaka jana. Wizara ya Nishati na Madini imeandika...
  17. Think2

    JamiiForums Tanzania Unakubaliana na Polepole kwamba Lita ya Petrol Cuba ni Tsh 300 au ndio ile unabisha ulikuepo?

    Kwanini bei ya petrol tz iwe juu ukilinganisha na Cuba au hata Malawi petrol yao ipo chini 1300 na ushee bongo lita moja buku tatu. Malawi anapata petrol kupitia kwetu kwanini bei iwe tofauti kwamba sisi iwe juu kwao kidogo?
  18. chiembe

    JamiiForums Tanzania Manguli wa uchambuzi waendelea kumpumulia Polepole, Majjid Mjengwa naye asema gesi ya Tanzania ni bei rahisi kuliko Cuba

    Hakika njia ya mwongo ni fupi, pole pole anaumbuka hadharani.
  19. Kabende Msakila

    JamiiForums Tanzania Polepole: Tanzania tuna kaya 14,152,803 kwa bei ya Cuba mtungi wa gesi wa 10Kgm tunahitaji tzs 28.3B

    Team, Salaam! Sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 inaonesha Tanzania ina kaya 14,152,803. Sasa kama tungekuwa na bei ya kununua mtungi wa gesi wa 10kgm kwa tzs 2,000 kama ilivyo nchini Cuba basi kaya zote hapa nchini tungetumia tzs 28,305,606,000/=. Sasa kwa kuwa na gesi inayouzwa...
  20. Money Penny

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mpenzi toka Cuba 🇨🇺 ♥️

    Haiyaaaa Ayaaa! Nimerudi 😂😂😂😂 KAMA UNAITAKA HII HADITHI COMMENT NAITAKA NATAKA COMMENTS 200 KWANZA ZINAZOTAKA NILETE HADITHI, NDIO NILETE HADITHI KWA MNAO NIFAHAMU MNANIFAHAMU KWA MNAOPENDA SAUTI YANGU MTANGULIE YOUTUBE CHANNEL YANGU https://youtu.be/RJMpeYwifEU?si=DVBj_N5wTlWHx9_d
Back
Top Bottom