marekani

  1. B

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa CCM walia chonde chonde marekani hilo rungu la Donald Trump lisitufikie, waomba waende Marekani kujieleza bunge la senate / congress

    26 May 2026 CCM Parliament Dodoma Tanzania 13th Parliament 3rd Session, 37th Session today May 26, 2026 Tanzanian parliament session : How a CCM MP Ms. Mariam Anzuruni Mungula was deeply Disturbed by the US's Agitation for severe Sanctions on Tanzanian Government Leaders...
  2. Q

    JamiiForums Tanzania Walifikiri Marekani inatania, vilio vimeanza kusikika ndani na nje ya bunge

    Kiongozi wa dini wa mchongo eti anaitaka serikali ya Marekani iwakemee Maseneta mara moja utadhani anamwamlisha mke wake, hivi huyu anamjua Trump.
  3. Yoda

    JamiiForums Tanzania Wazalendo tunasimama upande gani katika mnyukano kati ya CCM na Marekani?

    Kuna huu mnyukano unaoendelea kati ya CCM na Marekani kufuatia muswaada wa Maseneta wawili wa Marekani kuhusu Tanzania ukiangazia mambo mbalimbali Wazalendo tunasimama wapi ukizingatia kila upande katika mnyukano huo unaendeshwa kwa maslahi yao binafsi zaidi kuliko umma mpana wa Watanzania?
  4. R

    JamiiForums Tanzania Sheikh Alhad: Marekani iheshimu serikali yetu inayoendeshwa kwa misingi ya Kikatiba, wanatuonea wivu tumevuka salama na Oktoba 29

    Akizungumza na Waandishi wa Habari leo Mei 26, 2026, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano Tanzania (JMAT) Taifa, Sheikh Alhad Mussa Salum, amesema; "Kwenye uchochezi wowote wa namna yoyote ile, uwe wa kidini uwe wa kisiasa hatutaukubali. Hatutaukubali kama Watanzania. Watanzania wanasimama na...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Trump ametufumbua Macho kuhusu nguvu ya Kijeshi ya Marekani

    Kwa matambo ya Trump hakuna mtu angeamini kuwa angepigana vita na Iran kwa kipindi chote hiki na kushindwa kupata ushindi. Hii imeonesha kuwa, Nguvu ya kijeshi ya Marekani sio kubwa kama wanavyo inadi ila inapropaganda nyingi sana kuliko uhalisia. Kwa sasa Trump anahaha kutembelea Ulaya na...
  6. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Leo Nape unaipiga mkwara Marekani?

    Kwa yeyote aliyekusikia Leo ukichangia hoja kwenye bajeti (whatsoever) ya Wizara ya mambo ya nje umepiga mkwara Marekani wasiwajadili Kwa vile vyie ni Nchi huru? Uhuru wenu ndo uwanyime Uhuru wengine kujadili Mambo yao? Kujifafanya vipofu na viziwi wapumbavu àmbao mnatetea Unyama uliofanyika...
  7. Chachu Ombara

    JamiiForums Tanzania Sheikh Alhad Mussa: Marekani iwakemee maseneta waliosema Tanzania si salama na baadhi ya dini zinakandamizwa

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano Tanzania (JMAT) Taifa, Sheikh Alhad Mussa Salum ameitaka Serikali ya Marekani kuwakemea maseneta wawili waliosema kuwa Tanzania si salama na kuwa baadhi ya dini zinakandamizwa, akiongea katika mkutano wa Jumuiya hiyo na waandishi wa habari, Alhad ameitaka...
  8. P

    JamiiForums Tanzania Marekani yaishambulia kwa makombora Iran kwa walichokiita ni hali ya kujilinda dhidi ya vitisho vya Iran

    Jeshi la Marekani usiku huu wa tarehe 26/05/2026 limefanya mashambulizi ya kijeshi kwenye sites za kurushia makombora za Iran na boti ambazo wamedai zilikuwa zinajaribu kusimika mabomu baharini ========== US military says it struck southern Iran in 'self-defence' The US military said it...
  9. L

    JamiiForums Tanzania Bajeti ya Ulinzi ya Iran pamoja na bajeti ya Ulinzi ya Marekani kwa mwaka 2025

    Supapawa wa Dunia akishirikiana na supapawa wa Middle East Israel wakipigana na nchi iliyowekewa vikwazo na kutengwa na Dunia kwa miaka zaidi ya 40 Iran. Sasa tuangalie bajeti zao za ulinzi kwa mwaka 2025. Iran Iran's official military and security budget for the 2024–2025 period was set at...
  10. Ritz

    JamiiForums Tanzania Iran Yakataa Masharti ya Marekani Kuhusu Fidia:

    Wanaukumbi. 🇮🇷 Iran Yakataa Masharti ya Marekani Kuhusu Fidia: 🇮🇷 Iran yasema Marekani haiwezi kuamua fidia ya kifedha kwa upande mmoja katika makubaliano yoyote ya amani. Tehran inadai: Kuondolewa mara moja kwa mali zote za Iran Kuondolewa kabisa kwa vikwazo vya mafuta 🇮🇷Iran inaweza kupata...
  11. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Iran kaanza kutepeta mbele ya Marekani!!

    Ripoti mpya ya Axios inasema makubaliano yanayoibuka kati ya utawala wa Trump na Iran yanaweza kujumuisha Tehran kutoa akiba yake ya urani iliyoruyubishwa, kusimamisha urutubishaji wa urani kwa muda mrefu, na kufungua tena Mlango-Bahari wa Hormuz. Kulingana na Axios, maafisa wa Marekani...
  12. L

    JamiiForums Tanzania Iran yaonesha miundombinu ya kijeshi 228 ya Marekani ilipigwa vibaya sana mashariki ya kati. Marekani ilificha

    Picha za satellite za Iran zilionesha uharibifu mkubwa na hasara kubwa sana Marekani ilipata kutokana na kipigo Cha Iran kilichofanywa katka makambi (bases) za Supapawa Marekani huko mashariki ya kati. Makambi mengi yalipigwa, na ndani ya makambi hayo yalikua ni Kambi za ndege,meli,rada...
  13. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Vita Vya Iran na Marekani: Yanayoelezwa na Mitandaoni

    https://youtu.be/Ptjr5nBRPGw?si=nZy37faqqA-UFxu4
  14. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Kisa Ebola, Kikosi cha DR Congo cha Kombe la Dunia kukaa Karantini kwa Siku 21 ili kuruhusiwa kuingia Marekani

    Kikosi cha Kombe la Dunia cha DR Congo kitalazimika kujitenga kwa uangalizi maalum wa afya nchini Ubelgiji kwa siku 21 mfululizo ili kuruhusiwa kuingia Marekani. Hatua hiyo ya kiusalama imewekwa na maafisa wa Marekani kutokana na mlipuko unaoendelea wa ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya...
  15. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Vikwazo vya Marekani havijawahi kua na athari zozote za moja kwa moja kwa mtu binafsi au kwa taifa lolote husika duniani

    Kama kuna mtu binafsi aliewahi kuathirika na vikwazo vya Marekani au kama kuna taifa lililowahi kutikisika kwasababu tu ya vikwazo vya Marekani, litaje. Ile hua ni danganya toto tu ya kuwaplease wafuata mkumbo wanaojipendekeza kwa Marekani, but at the end hakunaga athari zozote zaidi ya kufanya...
  16. Q

    JamiiForums Tanzania Madhara ya nchi itakapowekewa vikwazo na Marekani

    Nchi inapowekewa vikwazo na Marekani hukabiliwa na uhaba mkubwa wa fedha za kigeni, kuporomoka kwa sarafu yake, na uhaba wa bidhaa muhimu kama dawa na vyakula. Kisiasa, nchi hiyo hutengwa kimataifa, hupoteza ushawishi kwenye diplomasia, na huingia katika hatari ya machafuko ya ndani kutokana na...
  17. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Eti Marco Rubio, kwani Mwafwele alikua amepanga kuizuru Marekani sio hata mumzuie?

    Kwa asivyo na mambo mengi, sidhani kama huyo muungwana alikua anafikiria au hata kuizuru Burundi au Uganda tu kwenye maisha yake yake yote humu duniani, sembuse Marekani? For sure, Marco Rubio umekurupuka Mzee baba kwa kupotoshwa na vibaraka wako.🐒 Mungu Ibariki Tanzania
  18. I

    JamiiForums Tanzania Mafwele marufuku kukanyaga Marekani.

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imeweka vikwazo vya usafiri kwa Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Faustine Jackson Mafwele. Taarifa iliyotolewa na waziri wa mambo ya nje wa Marekani Marco Rubio imesema kuwa kutokana na taarifa za kuaminika, Mafwele alihusika katika ukiukaji mkubwa wa...
  19. Influenza

    JamiiForums Tanzania Mafwele azuiwa kuingia Marekani. Ahusishwa na Utekaji, ukiukwaji wa haki za binadamu

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imemtaja Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi Tanzania (TPF), Faustine Jackson Mafwele, chini ya Kifungu cha 7031(c), ikisema kuna taarifa za kuaminika zinazomhusisha na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu. Uamuzi huo unamzuia Mafwele kuingia nchini...
  20. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Hakuna na wala hapatakuwepo na mgogoro wa kidiplomasia baina ya Tanzania, Marekani na EU, Puuzeni upotoshaji wa wafuata mkumbo waliokosa agenda.

    Uhusiano wa Tanzania na washirika wake wa maendeleo na kidiplomasia kote ulimwenguni ikiwa ni pamoja na serikali ya Marekani, Umoja wa Ulaya EU, Urusi, Japan, China n.k ni mzuri sana na unaendelea kuimarika kila uchwao kwa maslahi mapana ya wananchi wa nchi zote husika. Porojo na upotoshaji...
Back
Top Bottom