marekani

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kitaeleweka si muda mrefu: Marekani yaonya uwezo wa kujilinda wa Israel dhidi ya Makombora ya Iran

    Kamanda mkuu wa jeshi la Marekani nchini Ulaya, Jenerali Alexus Grynkewich, ameionya Pentagon kwamba Jeshi la Wanamaji la Marekani linaweza hivi karibuni kushindwa kuendelea kuilinda Israel dhidi ya mashambulizi ya makombora ya balistiki ya Iran kutokana na uhaba wa meli za kivita aina ya...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Mpaka sasa, Iran katupia missiles ngapi huko Marekani mpaka aelekee kushinda vita,?

    Wana jamvi hamjamboni? Kunazo tarifa lukuki zikitokea Iran ya Madale kuwa, Tayari huko vita vya Beberu mkuu na Iran ya wairan wanaouumia ukiachana na wairan wa Miswe, eti viko mwishoni mwishoni kuimalizika huku Iran akiwa ndiye mshindi wa vita kwa kumchakaza Marekani kisawasawa Swali langu ni...
  3. zitto junior

    JamiiForums Tanzania Marekani yamaliza 65% ya makombora kwenye vita ya Iran

    Tathmini mpya za wataalamu wa masuala ya ulinzi wa Center for Strategic and International studies (CSIS) zinaonyesha kuwa Marekani imetumia zaidi ya asilimia 65 ya makombora yake ya Patriot Interceptor missiles (PC2 na PC3) pamoja na sehemu kubwa ya makombora ya THAAD katika operesheni za hivi...
  4. Fbn

    JamiiForums Tanzania Matokeo ya mifumo mibovu ya Africa ,Kila muafrica anataka kufika Ulaya na Marekani

    Mi nitazungumzia kwa bara letu ,Siwezi kuzungumzia mpaka Asia. Mumeona idadi ya wahamiaji haramu wakijaribu kuingia spain na hii rekodi ni kubwa kwa masaa 24. Tuache wale wa kila siku.Hii inaleta picha gani ?. Na wengine kama viongozi wa afrika nao wanaamia huko sababu wakale maisha mazuri...
  5. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Vita Vya Iran na Marekani: Vita Vinazidi Kupanuka

    https://youtu.be/2ta-ASJ-c8E?si=36Vh9lhh4B2KocWQ
  6. Yoyo Zhou

    JamiiForums Tanzania “Haki za binadamu”, ushuru wa Marekani umepata kisingizio kipya

    Serikali ya Marekani hivi karibuni imetangaza mpango mpya wa ushuru dhidi ya bidhaa zinazoagizwa kutoka nchi za nje. Kulingana na mpango huo, viwango vya ushuru vinaanzia asilimia 10 hadi 12.5, na kuhusisha karibu washirika wakuu wake wote wa kibiashara, ikiwa ni pamoja na China, Umoja wa Ulaya...
  7. Brother Depo

    JamiiForums Tanzania Netanyahu Na Trump Wakiwa Ndani ya Ikulu Ya Marekani

    Jabali wa vita, nguli, mwamba Benjamin Netanyahu Bibi tayari kishatua ndani ya ikulu ya marekani, tayari kwa mazungumzo kabambe na Trump. Netanyahu alisafiri Jana kwenda marekani kwa ajili ya kikao chake na trump. Kikao ambacho akitoka huko atakuja na operation endgame(jiandaeni maana huwa...
  8. ERTUGRUL BEY

    JamiiForums Tanzania Siku za mwisho za Saddam Hussein na Maombolezo ya askari wa Marekani

    Ndo ile ukisikia adui yako kawa rafiki yako ndio hii sasa, Baghdad, Iraq Ni wanajeshi 12 miongoni mwa askari 551 amboa walijulikana kama "Super twelve' walipewa jukumu la kumlinda raisi Saddam Hussein mwisho mwisho wa uhI wake kabla hajanyongwa Mmoja wao Barden Werper ameandika kitabu...
  9. Msanii

    JamiiForums Tanzania Bunge la Marekani laikosoa ripoti ya Chade, lataka Samia afikishwe ICC

    https://vt.tiktok.com/ZS4J6KuBH/ Soon veri soon....
  10. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu wa Israel aenda Marekani kuonana na Trump!!

    Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu ameondoka kwenda Washington. Kabla ya kupaa alisema: Kutokana na uzoefu wangu kama Waziri Mkuu, katika nyakati hizi ngumu lazima tuchukue hatua kwa azimio kubwa na hekima kubwa. Tutajadili masuala yote kwenye ajenda, kwanza kabisa, Iran. Ninaanza safari...
  11. U

    JamiiForums Tanzania Ndege ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, imeanza safari kuelekea Marekani muda huu

    Hatimaye komandoo Benjamin netanyau yuko hewani muda huu ndani ya ndege maalumu ya kisasa anaenda kuonana na TRUMP ikulu ya white house. Wadau kaeni mkao wa kula kwani yajayo ya afurahishwa! . msiwe na hofu taarifa zote za huko white house nitakuwa nawaletea 🔴 🛑...
  12. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Daniel Adongo, Mchezaji wa Zamani wa NFL, Ahamishwa kutoka Marekani hadi Kenya

    Daniel Ogama Adongo, mchezaji wa zamani wa Ligi ya Soka ya Marekani (NFL) na raia wa Kenya, amehamishwa kutoka Marekani hadi Kenya na mamlaka ya uhamiaji ya nchi hiyo baada ya kukiuka masharti ya visa yake. Kwa mujibu wa mamlaka ya U.S. Immigration and Customs Enforcement (ICE), Adongo...
  13. U

    JamiiForums Tanzania BILL CLINTON Aliwapa Wapalestina ardhi yote ya GAZA na asilimia 97 ya Ukingo wa Magharibi lakini hawakutaka kuwa na nchi yao bali kuua Wayahudi!

    RAIS WA ZAMANI WA MAREKANI BILL CLINTON ADAI KUWA Aliwapa Wapalestina ardhi yote ya GAZA na asilimia 97 ya Ukingo wa Magharibi wa mto Jordani (West Bank) lakini kiuhalisia Wapalestina hawakutaka kabisa kuwa na nchi yao wenyewe bali walichokitaka ni kuendelea kuua wayahudi
  14. Richard

    JamiiForums Tanzania Marekani yapanga kufanya mashambulizi dhidi ya magaidi wa JINM nchini Mali

    Bwana Sebastian Gorku akizungumza na waandishi wa habari. Raisi Donald Trump amekuwa akishauriana na watu mbalimbali ndani ya utawalal wake nai pia kufikiria ombi la nchi ya Mali kusaidiwa kuondoa magaidi wa JNIM ambao wana mahusiano na kundi la Al Qaeda. JINM ambao kirefu chake ni Jama’at...
  15. Brother Depo

    JamiiForums Tanzania Netanyahu Kukutana na Trump Ikulu ya Marekani Siku ya Jumanne Tarehe 28. Neyanyahu Anakuja na Operation Endgame

    Mbabe wa vita jabali nguli mwamba Benjamini Netanyahu Bibi mwanzoni MWA wiki ijayo siku ya jumanne atakutana na Trump huko marekani kwenye ikulu ya marekani. Natanyahu anatarajiwa kuja na operation mpya aliyoiita Kwa jina la "Operation Endgame", hii Kwa watoto wa uswahili tunaiita kata funua...
  16. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Vita Vya Iran na Marekani: Maandamano Kuwait

    https://youtu.be/9Tu2kZDvP70?si=c4sXeugiSESEo-V3
  17. Ritz

    JamiiForums Tanzania Egypt, Turkey. Canada, Panama, United States, hawa wote kupita kwao lazima ulipe Tozo kwa nini Marekani hawataki Iran walipwe Tozo

    Wanaukumbi. Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Arakçi: "Misri inatoza kati ya $200,000 na $700,000 kwa kila njia inayopitia Mfereji wa Suez; kwa meli kubwa za makontena au meli za mafuta, takwimu hii inaweza kuzidi dola milioni 1. Uturuki inatoza ada ya njia kwa Mlango-Bahari wa Istanbul...
  18. Brother Depo

    JamiiForums Tanzania AL Jazeera wanahoji kwanini Iran inashambulia nchi za Kiarabu lakini wanaogopa kuishambulia Israel na Meli za Kivita za Marekani?

    Siku chache niliweka Uzi wenye kuhoji kama hivi ambavyo al Jazeera wamehoji. Wairan wa tandale walikuja na maneno mengi, haya Al Jazeera nao wamekuja na huo mshangao. Kwenye hii taarifa ya al Jazeera wanaohoji kwa Nini Iran wanaikwepa Israel ikiwa Kuna ndege za marekani zinaruka kutokea Ben...
  19. funaku

    JamiiForums Tanzania Marekani kutumia trilioni 98.9 Tzs katika vita dhidi ya Irani hadi mwezi Septemba 26

    Haya ndio makadirio ya gharama ya vita vinavyoendelea dhidi ya Irani. Unaweza kuona ni namna gani duniani tunavyotifautiana na hivyo tusipende kukopi na kupaste yaliyopo nje na kutaka yatumike hapa kwetu. Bado tunayo safari ndefu ya kujipanga na kutekeleza. KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA! ==...
  20. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Mamlaka ya Mapato ya Marekani (IRS) kukata kodi kwenye zawadi ya Dola milioni 50 za Hispania za Kombe la Dunia

    Uhispania ilisherehekea ushindi wa kihistoria wa Kombe la Dunia, lakini zawadi yao ya dola milioni 50 inakuja na bili ya kodi huku Mamlaka ya Mapato ya Marekani (IRS) ikidai sehemu ya mapato yaliyopatikana katika ardhi ya Marekani. Wataalamu wa kodi wanasema matokeo ya mwisho hayangebadilisha...
Back
Top Bottom