Ni kosa kubwa kuua wananchi wako kisa madaraka, hawatalisaidia Jeshi na taasisi zingine wakati wa majanga...
CCM walijijengea tabia mbaya kutosikiliza ushauri watu, sasa wajiandae kutengwa
Kama kuna mtu binafsi aliewahi kuathirika na vikwazo vya Marekani au kama kuna taifa lililowahi kutikisika kwasababu tu ya vikwazo vya Marekani, litaje.
Ile hua ni danganya toto tu ya kuwaplease wafuata mkumbo wanaojipendekeza kwa Marekani, but at the end hakunaga athari zozote zaidi ya kufanya...
Mamia ya Meli za Mafuta Zinazohusishwa na Iran Bado Zinafanya Kazi Licha ya Vikwazo vya Marekani
Kampuni ya kijasusi ya baharini ya Marekani TankerTrackers inaripoti kwamba idadi kadhaa ya meli za mafuta zinazohusishwa na Iran ambazo bado hazijawekewa vikwazo na Marekani zinaendelea kusafiri...
BRICS = Brazi, Russia, India, China, South Africa
Kaandika kwenye ukurasa wake wa Twitter
Wazo kwamba nchi za BRICS zinajaribu kuachana na Dola ya Marekani huku tumekaa na kuwatazama LIMEKWISHA! Tunahitaji ahadi kutoka kwa nchi hizi kwamba hawataunda Sarafu mpya ya BRICS, wala kuunga mkono...
Ni swali ambalo nimejiuliza kwa muda kidogo. Tunapataje uwiano katikati ya mambo haya?!
Bepari atanuna, but na sisi tuko non aligned, Sijui tinafanyaje
Mkitaka kujua anaye pigana vita hi kati ya Israel na Hamas, pamoja na Hezbullah ni US. Leo US eti anaipiga sunction Hezbullah, nimecheka kweli kweli, toka lini Hezbullah ana biashara na US. Wacha US hata UN aipige Hezbullah sunction kipigo kinaendelea huko Israel.
US kisha changan'yikiwa...
Marekani ilitangaza Jumatano kuwa inaweka vikwazo kwa maafisa wanne wa Jeshi la Polisi la Uganda kutokana na tuhuma za kuhusika katika ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu.
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imewawekea vikwazo makamanda wa polisi, Bob Kagarura, Alex Mwine, Elly Womanya, na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.