urais wa marekani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. L

    JamiiForums Tanzania Rafiki wa Rais Samia kugombea Urais wa Marekani 2028. Akishinda lazima Rais Samia aalikwe kama Mgeni wa heshima katika uapisho wake mbele ya Dunia

    Ndugu zangu Watanzania, Rafiki wa Rais Wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Kamala Harris Ameweka Wazi nia yake ya kufikiria Uamuzi Wa Kugombea Urais wa Marekani Mwaka 2028. Ambapo Mgombea huyo Mwanamama hodari ,Mahiri ,shupavu, Madhubuti na mwenye uwezo mzuri wa...
  2. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Kumbe urais wa Marekani ni kama ufalme?

    Jana, rais mteule Donald Chizz Trump, aliwateua vivyele vyake yaani mkwe wa mwanae wa mwisho Tiffany mwarabu aitwaye Boulos kuwa mshauri wake wa masuala ya mashariki ya kati na mkwe mwingine wa binti yake Bianca, aitwaye Charles Kushner kuwa balozi wa Marekani nchini Ufaransa. Hapa Trump...
  3. britanicca

    JamiiForums Tanzania Donald Trump ashinda Urais wa Marekani kwa 51.05% dhidi ya Harris Kamala aliyepata 47.46%

    Imetangazwa dakika chache zilizopita na vyombo vya Habari ===== UPDATES: ===== Rais wa zamani Donald Trump kutoka chama cha Republican, ameshinda Uchaguzi wa Marekani. Chanzo: Spectator Index Donald Trump ameoa mara tatu, Ivana na Marla Maples, mke wa kwanza na wa pili mtawalia ambao wote...
  4. politics observer

    JamiiForums Tanzania Je, wajua wananchi wa Marekani hawaamui matokeo ya Rais wa Marekani?

    Ndio, lile n taifa la vibopa bwana. Sio wazee wa tshirt na vitenge mixer kubebwa kwny vichanja kwenda kuunga mkono juhudi. Yani USA Mchakato wa raisi huamuliwa na vibopa 538 tuu, na bunge la congress ambao n vibopa wenzao ndo umuidhinisha rais mteule. Hii imewekwa ili kulinda maslai y mgombea...
Back
Top Bottom