kumtambua

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Lady Whistledown

    Siku Ya Uelewa wa Usonji Duniani. Je, unawezaje Kumtambua Mtoto mwenye Usonji?

    Usonji ni changamoto ya Ukuaji ambayo hutokea pale ambapo Ubongo hufanya kazi kwa namna tofauti. Mtoto hupata changamoto hii anapokuwa tumboni na dalili huonekana kuanzia Umri wa Miaka Mitatu na kuendelea Watu wenye Usonji hupata changamoto hasa za Kuwasiliana Kijamii. Kasi ya kukua kiakili...
  2. Pascal Mayalla

    Mnyika, kuunguruma Channel 10, 3/3/2024 usiku atathibitisha maridhiano yamesaidia, CHADEMA inayatambua matokeo ya uchaguzi, na kumtambua Mbunge 1 Tuu!

    Wanabodi Kupitia kipindi changu kipya cha KMT, kinachorushwa hewani na Channel Ten, kila siku za Jumapili saa 3:00 usiku, namarudio Jumatano Saa 9:30 alasiri, Jumapili hii ni Katibu Mkuu wa Chadema, JJ. Mnyika, kuunguruma. Katika kipindi hicho, JJ. Mnyika atathibitisha jinsi maridhiano na CCM...
  3. OMOYOGWANE

    Njoo hapa ujifunze namna ya kumtambua mganga feki na mganga konki

    Ukiona mganga yeyote anakufuata akutatulie changamoto yako haijalishi kakufuata pm au ana kwa ana basi jua huyo ni tapeli.waswahili wanasema mwenye shida humfuata mganga. Kama yeye kakufuata basi wewe ndio mganga. Mganga yeyote anayeweka bango kwenye nguzo ya umeme, kwenye magazeti, kwenye...
  4. K

    Kumtambua Rais Samia kama Mama wa Taifa ni kujenga familia (nchi) imara

    Nimefarijika sana kuona kile nilichokuwa natamani kifanywe muda mrefu sasa kinakwenda kufanywa na kikiwa kimesemwa na viongozi wa kiroho na kiimani, ni ishara jambo hilo ni la kiimani zaidi. Ni muda mrefu nilikuwa nawaza Kwa mazuri anayofanya Rais Samia ni vyema atambuliwe rasmi kama Mama wa...
  5. MrWings

    Jinsi gani unaweza kumtambua mdada anae danga( mdangaji )?

    Habari za mda huu wakuu, Leo nimeamua kulileta suala Hili ili tupeane experience ya jinsi Gani unaweza kumtambua mdada kuwa ni mdangaji au Malaya. Kwa mimi binafsi huangalia vitu vifuatavyo, 1.nywele huwa Wana zibreach 2.huvaa vile viskin vya kubana, kirefu au kifupi 3.huvaa Yale masuruali ya...
  6. O

    Wakili Kibatala, Shahidi walivyochuana taratibu za kumtambua mtuhumiwa

    Dar es Salaam. Kesi ya mauaji inayomkabili mjane wa aliyekuwa mfanyabiashara na tajiri wa madini mkoani Arusha, Erasto Msuya maarufu kama Bilionea Msuya imeendelea kuunguruma Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, huku wakili wa utetezi na shahidi wakikabana koo kuhusu gwaride la utambuzi...
  7. Mamujay

    Njia nyepesi kumtambua jini

    Hakuna mbambamba let's go directly on point Kumtambua jini haraka hizi hapa 1.chek mikono 2.cheki mguu 3.cheki kiini Cha macho Sasa nataka like 100 nichambue kimoja baada ya kingine Kama Kuna mtu anazijua ruksa leta nondo hapo chini Mimi mpakq nipate like 100 ndio nitaleta
  8. D

    Kichaa cha kulogewa huonesha kosa ulilofanya

    Ukipita pita huko mtaani angaza! 1. Vichaa wengi walioiba nguo wanapenda kukaa uchi huku wakiwa na furushi mgongoni. 2. Kichaa aliyeiba bodaboda hakosi ELEMET kichwani au koti/refrecta. 3. Kichaa aliyekula mke wa mtu muda wote mbele za watu akifika hukata mauno au kupampu kiuno mwanzo mwisho...
  9. Uhakika Bro

    Mbinu mbadala ya kumtambua potential 'soul mate' kwa kutumia vidole!

    Achana na nyota sijui nini mara nge mara ndoo sijui maji/moto etc!! , kule tena mbali sijui herufi za majina mara sijui jina la mama, kabila etc............ kuna njia rahisi sana ya tena inayogundulika mapema ya kumjua potential soulmate wako. Kabla sijaendelea naomba niweke wazi vile...
  10. May Day

    Je, unaweza kumtambua huyu?

    Ni mmoja wa Wanasiasa Wakongwe. Hapa akifunga ndoa, ni enzi hizo wengi bado kuzaliwa.
  11. Kibenje KK

    Nani ni mteja wako? Mbinu za kumtambua mteja wa biashara yako

    Mfano umepanga Kukutana na mtu ambaye humjui sura kwa jambo la msingi Stend ya Mabus ya Magufuli,Mbezi. Baada ya kupanga kuwa mtakutana pale, ghafla ukapoteza simu na namba yake huijui. Kwakua tayari mlikuwa mmepanga kuonana unaamua kwenda tu. Baada ya kufika, unakuta kuna watu wengi...
  12. N

    Bifu linaendelea, Mume wa Waziri Gwajima akana kumtambua Mathias Gwajima kama Baba yake

    Picha ya Marehemu Mzee Stiven Gwajima. Huyu ndiye alikuwa Mkwe wa Waziri wa Afya Dorothy Gwajima. Mzee Stiven Gwajima alifariki dunia tarehe 30/9/2019 jijini Dar es Salaam. Mtoto wake Mwanasheria Msomi Methusela Gwajima amezungumza na #KitengeTV na kusema huyo ndio alikuwa Baba yake na Mkwe wa...
  13. Alvin A.

    Namna ya kumtambua mwanamke mpumbavu

    Habari wadau, Leo naleta hii nondo makinikeni 1. Anamkomoa mumewe 2. Analala mapema kabla ya mumewe 3. Anachelewa kuamka kabla ya mumewe 4. Mbishi, anahisi kuonewa muda wote 5. Anadhani kumnyima mumewe unyumba ni kumkomoa 6. Mmekaa sebuleni anahadithia tu mafanikio ya familia za wa2 wakati ye...
Back
Top Bottom