mganga

Mganga (mganga wa kienyeji) ni mtu anayehudumia watu kwa njia za kienyeji ikiwemo kutibu.
  1. M

    JamiiForums Tanzania Natafta mganga wa kuagua wa ukweli.

    Sikubali haiwezekani mtoto afikishe miaka mitatu anaongea vizuri,alikua anabwabwaja maneno chungu nzima gafla tu akaanza kua na kigugumizi Toka hapo Yani anateseka sana kwenye kuongea hadi utamuonea huruma. Hua najiuliza ni nini kilitokea sijawahi pata jibu.Hivyo natafta mganga amuague pengine...
  2. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Zahanati ya Kata ya Itundu, Wilaya ya Urambo - Tabora, Mganga Mfawidhi anaenda kazini anapojisikia

    Zahanati ya Kata ya Itundu, Wilaya ya Urambo katika Mkoa wa Tabora, Mganga Mfawidhi anakuja kazini anapojisikia ni kama Mganga Mkuu wa Wilaya ameshindwa cha kufanya. Kwa wiki anaweza kuna mara moja au hasije kabisa hali hii ibasababisha wananchi wasipate huduma stahiki. Kwa utaratibu anatakiwa...
  3. Montania

    JamiiForums Tanzania Mganga anayeweza kurejesha mpenzi aliyejizima data

    Kama kuna mganga ambae unamjua anaweza rejesha mahusiano kuwa shwari, weka namba apa turuke nayo.
  4. Montania

    JamiiForums Tanzania Mwenye namba ya mganga ambae sio tapeli. Na ambae hana garama za ovyo. Dondosha namba yake apa

    Kama unamjua mganga ambae hana vipengele wala hana garama, ila ni mtaalam kweli kweli dondosha apa namba zake wadau waruke nazo. Hakikisha hana vipengele.
  5. DodomaTZ

    JamiiForums Tanzania Mganga Mkuu wa Mkoa, Dkt. Omary Sukari: Geita ina kiwango kikubwa cha uzazi hiyo inafanya uzazi wa mpango kuwa kipaumbele kikubwa

    Mganga Mkuu wa Mkoa wa Geita (RMO), Dkt. Omary Sukari, alieleza jinsi mradi wa Scaling up Family Planning (SuFP) ulivyosaidia mkoa huo katika kuboresha mifumo ya takwimu na utoaji wa huduma za uzazi wa mpango. Haya ndiyo mambo makuu aliyoyazungumza Juni 18, 2026 Jijini Dodoma: 1. Mafunzo na...
  6. Tajiri Tanzanite

    JamiiForums Tanzania Namtafuta mganga mzuri wa ‘kunitengenezea’ biashara yangu

    Hapo vip! Jamani nina tatizo sereous,ninabiashara sehemu kila nikiweka mtaji then mtaji unakata..na nauza kidogo na pale ni stand kabisa ila majira wanauza na biashara zao haziyumbi kabisa. Mimi nipo Arusha ila nikimpta mganga mzuri wa kujija kunisindikia eneo langu la biashara itakuwa poa...
  7. Kevzy

    JamiiForums Tanzania Tuheshimianeni humu ndani, nyuzi zangu hazina muendelezo leo nikisema mimi polisi, kesho kutwa mganga.. nisiulizwe

    Hamjambo nyie waja Binafs sitaki niulizwe, yaani ukute leo nimetoa uzi mimi mwizi, kesho kutwa mimi askofu au sheikh sitaki niulizwe au nikumbushiwe Uwa nawa replesent watu wangu wa karibu, sasa mkiniuliza mimi nilikuwa mlevi vipi leo naswalisha sitak maswali ya hivyo Humu kuna watu...
  8. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Mganga gani anaweza Baki na Maini na Kichwa cha mtu siku zote hizo Huku akijua wenzake Wamekamatwa ? Hakuogopa kutajwa? Kukimbia ? Kuvifukia?

    Kuna Movie inachezwa na "Mfumo" kuhakikisha wananipa Nguvu Ripoti Uchwara ya CHANDE !!. Watanzania Shtukeni !!.
  9. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Mpumbavu hawez kua na Akili, Temba kauwawa wanasingizia 'Mganga', Mfanyabiashara Kauwawa 'Mwili umekutwa kwa ' Mganga'. Fumbueni Macho!

    Hawa Jamaa ni wapumbavu sana!! Kwao Kuua si kitu chochote Tena. Kuweni Makini , Kwasasa Kuna Mauaji yanafanyika na yataendelea kufanyika ni MIILI AU MAUAJI HAYO YATATENGENEZEWA MAZINGIRA YA KUHUSISHA NA 'USHIRIKINA" !!. Baada ya Kutafakari kwa kina, na kupitia rejea kadhaa kadhaa za Wauaji...
  10. Etwege

    JamiiForums Tanzania Kuna tofauti kubwa kati ya mganga wa kienyeji na mchawi ila jamii imepotoshwa

    Kuna tofauti kubwa kati ya mganga wa kienyeji na mchawi ila jamii imepotoshwa na sasa haina uwezo wa kuwatofautisha tena na sasa inaishia kuwaweka kaput moja!! 1. Mganga wa kienyeji ni daktari wa asili ambae ametumika kuitibu na kuikinga jamii dhidi ya mabalaa mbalimbali kwa maelfu ya miaka...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Unaweza kukubali utajiri wa masharti wa kuoga mara 1 tu kwa mwezi ?

    Kuna siku nikiwa nikiwa mdogo nilikuwa namsifia mzee mmoja ni tajiri lakini yupo simple, mavazi yake huwezi kumdhania ni tajiri. Nikaambiwa huyo anafuata masharti maalum ya kuoga, haruhusiwi kuoga oga akikiuka pesa zote zinapotea Swali la kizushi kwenu Tuchukulie ingekuwa kweli kama...
  12. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Jinsi Nilivyomtapeli Mganga wa Kienyeji: Simulizi ya "Mjanja Aliyekutana na Mwerevu"

    Watu wengi husema mganga wa kienyeji ni mtu wa kuogopwa. Wanasema ana macho yanayoona mbali na majini yanayompa taarifa za kila anayemtembelea. Lakini siku hiyo, niliamua kuthibitisha kuwa hata "nguvu za giza" hupigwa na giza la njaa na tamaa. Mtego wa Kisaikolojia Mganga huyu, ( jina kapuni")...
  13. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Tuhuma za Mganga Mkuu Serengeti, asimamishwe na kuchunguzwa

    kwa muda mrefu kumekuwa na tuhuma ambazo zinathibitika za mganga mkuu wa halmashauri ya wilaya ya serengeti nashangaa mamlaka zake mkoa ,Tamisemi na wizara zikikaa kimya pasipo kutusaidia watumishi. Ofisi imegeuka sehemu ya madili na kosa aonekane mtu anaenda kinyume ni anapewa uhamisho...
  14. M16_kwaoz

    JamiiForums Tanzania Wezi wananifilisi

    Habari wanajamvi... Kwamuda wa mwaka na miezi kadhaa,nimekuwa nasumbuliwa na wezi kuiba kwenye sehemu ninapofanyia shughuli zangu za uzalishaji wa kipato cha kila leo. Ninafanya shuguhuli za bustani ya mazao ya kilimo haswa michikichi na miti(matunda) na ya kawaida..Wezi wamekuwa wakiniibia...
  15. A

    JamiiForums Tanzania KERO Alichosema Jaji Mkuu hutasikia Mganga Mkuu wa Serikali anakisema kwa niaba ya wadau wake

    Yote aliyosema Jaji mkuu yanaakisi Mmomonyoko wa uwajibikajo kwa taasisi nyingi na Baadhi ya Sekta na Wizara,, hususa Wizara ya Afya na Sekta ya Afy. Nchi imekua na utendaji mbovu kutokana na watumishi kutopewa stahiki zao, kubadilishiwa Miundo ya Mishahara kulingana na hali ya kiuchumi...
  16. Arsenal Gunner

    JamiiForums Tanzania Wazee anayejua mganga mzuri, nimeibiwa tofali zangu site

    Nilipeleka site tofali 500 miezi mitano iliyopita Leo nimetoka kutembelea nimekuta hazipo majirani nawauliza wanasema walisafiri kwamba hawakuwepo hivyo natafuta mganga wa kuweza kufanya hii kazi kikamilifu aiwezekani mtu ujibane Kwa ajili ya ujenzi halafu mijitu inakuja kubeba tu tofali zangu...
  17. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania Ni nani anasema kwenda kwa mganga wa kienyeji ni dhambi !? Huo ni upotoshaji

    Kuna mafundisho ktk dini zetu hizi haswa walokole wanawapoteza watu , sioni kama kuna tatizo kwa mtu ambaye ana matatizo ya kiafya kwenda kutafuta tiba kwa waganga wa kienyeji hakuna ubaya wowote wala dhambi. Tiba za kienyeji ni uumbaji wa Mungu kuwasaidia watu kuondokana na maradhi mbali...
  18. Its Tesha

    JamiiForums Tanzania Video: Tangazo la uchaguzi kama uchawi, Oktoba tunatoka hakuna mganga zaidi ya wananchi

    Amkeni watanzania Bongo Movie ya CCM imetoka Rami ebu watuache kidogo hahahahahahahahahaah
  19. Kikubwa Pumzi

    JamiiForums Tanzania Nisaidieni kumpata mganga mzuri wa kuinua nyota na kufungua riziki kiuchumi

    Mambo yangu ya kimaisha yamekuwa magumu sana, mambo hayaendi vitu havifunguki watu wamejiweka pembeni na mimi. Nahitaji taji spiritual support. Maisha yangu yamekuwa ya kuangaika kwa miaka na miaka sipati nafuu ya life. Toka ujana mpaka naingia utu uzima. Naomba mwenye mganga konki kabisa wa...
  20. Stability

    JamiiForums Tanzania Mwamba kajichanga pesa za uganga, huyooo! Sasa hivi kanunua basi. MGANGA HAJIGANGI KWELI??🤣

Back
Top Bottom