Mnyika, kuunguruma Channel 10, 3/3/2024 usiku atathibitisha maridhiano yamesaidia, CHADEMA inayatambua matokeo ya uchaguzi, na kumtambua Mbunge 1 Tuu!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,502
113,610
Wanabodi

Kupitia kipindi changu kipya cha KMT, kinachorushwa hewani na Channel Ten, kila siku za Jumapili saa 3:00 usiku, namarudio Jumatano Saa 9:30 alasiri, Jumapili hii ni Katibu Mkuu wa Chadema, JJ. Mnyika, kuunguruma.

Katika kipindi hicho, JJ. Mnyika atathibitisha jinsi maridhiano na CCM yalivyo isaidia Chadema, ambapo mwanzo waligoma kuutambua uchaguzi na kuyatambua matokeo, lakini kupitia maridhiano sasa Chadema inautambua uchaguzi, inayatambua matokeo ya uchaguzi, na kumtambua Mbunge wake mmoja tuu, Aida Kenani.

Pia JJ Mnyika atajibu hoja mbalimbali za mwandishi Pasco Mayalla, zikiwemo hoja kuhusu wale wabunge wake 19, likiwemo jibu la swali ”Kwanini Chadema mpaka leo haijaripoti polisi kuhusu jinai ya kughushi ya wabunge hao 19?”.

Jiunge nami hiyo saa 3:00, kipindi hiki ni recorded, na kwa vile Channel Ten haina live streaming kwa vipindi vya kawaida, mimi nitakuleta live stream kupitia Channel yangu, kisha nitatuma link jf ili hata wasio na TV, waweze kufuatilia kupitia live stream na mitandao ya kijamii.

Kipindi kilichopita nilizungumza na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Salim Mwalimu na Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa Chadema.

Vipindi vijavyo, kwa Chadema, nitamtafuta Tundu Lissu na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe,kwa ACT Wazalendo ,nitamtafuta Zitto na OMO, na kwa CCM Makonda atatosha.

Usikose!.
Paskali
 
Wanabodi

Kupitia kipindi changu kipya cha KMT, kinachorushwa hewani na Channel Ten, Katibu Mkuu wa Chadema, JJ. Mnyika, Kuunguruma Kuanzia Saa 3:00 Usiku.

Katika kipindi hicho, JJ. Mnyika atathibitisha jinsi maridhiano na CCM yalivyo isaidia Chadema, ambapo mwanzo waligoma kuutambua
uchaguzi na kuyatambua matokeo, lakini kupitia maridhiano sasa Chadema inautambua uchaguzi, inayatambua matokeo ya uchaguzi, na kumtambua Mbunge wake mmoja tuu, Aida Kenani.

Pia JJ Mnyika atajibu hoja mbalimbali za Mwandishi Pascal Mayalla, zikiwemo hoja kuhusu wabunge wake 19,
Kwanini Chadema mpaka leo haijaripoti polisi kuhusu jinai ya kughushi ya wabunge hao 19.

Jiunge nami hiyo saa 3:00 nitakuleta live kupitia hapa if na kupitia mitandao ya kijamii.

Kipindi kilichopita nilizungumza na Salim Mwalimu na Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa Chadema

Vipindi vijavyo, nitamtafuta Tundu Lissu na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe.

Usikose!.
Paskali
Tuombe Mungu kama kitakuwepo
 
Wanabodi

Kupitia kipindi changu kipya cha KMT, kinachorushwa hewani na Channel Ten, Katibu Mkuu wa Chadema, JJ. Mnyika, Kuunguruma Kuanzia Saa 3:00 Usiku.

Katika kipindi hicho, JJ. Mnyika atathibitisha jinsi maridhiano na CCM yalivyo isaidia Chadema, ambapo mwanzo waligoma kuutambua
uchaguzi na kuyatambua matokeo, lakini kupitia maridhiano sasa Chadema inautambua uchaguzi, inayatambua matokeo ya uchaguzi, na kumtambua Mbunge wake mmoja tuu, Aida Kenani.

Pia JJ Mnyika atajibu hoja mbalimbali za Mwandishi Pascal Mayalla, zikiwemo hoja kuhusu wabunge wake 19,
Kwanini Chadema mpaka leo haijaripoti polisi kuhusu jinai ya kughushi ya wabunge hao 19.

Jiunge nami hiyo saa 3:00 nitakuleta live kupitia hapa if na kupitia mitandao ya kijamii.

Kipindi kilichopita nilizungumza na Salim Mwalimu na Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa Chadema

Vipindi vijavyo, nitamtafuta Tundu Lissu na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe.

Usikose!.
Paskali
kwahiyo Mmeamua kutufanya wapumbafu ?Kama ni hivyo siyo CCM wala CHADEMA wa kukaa madarakani ila bado mzungu ana mandatory ya kututawala direct coz nyote hamjielewi.
 
Wanabodi

Kupitia kipindi changu kipya cha KMT, kinachorushwa hewani na Channel Ten, Katibu Mkuu wa Chadema, JJ. Mnyika, Kuunguruma Kuanzia Saa 3:00 Usiku.

Katika kipindi hicho, JJ. Mnyika atathibitisha jinsi maridhiano na CCM yalivyo isaidia Chadema, ambapo mwanzo waligoma kuutambua
uchaguzi na kuyatambua matokeo, lakini kupitia maridhiano sasa Chadema inautambua uchaguzi, inayatambua matokeo ya uchaguzi, na kumtambua Mbunge wake mmoja tuu, Aida Kenani.

Pia JJ Mnyika atajibu hoja mbalimbali za Mwandishi Pascal Mayalla, zikiwemo hoja kuhusu wabunge wake 19,
Kwanini Chadema mpaka leo haijaripoti polisi kuhusu jinai ya kughushi ya wabunge hao 19.

Jiunge nami hiyo saa 3:00 nitakuleta live kupitia hapa if na kupitia mitandao ya kijamii.

Kipindi kilichopita nilizungumza na Salim Mwalimu na Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa Chadema

Vipindi vijavyo, nitamtafuta Tundu Lissu na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe.

Usikose!.
Paskali
Safii sana japo hakuwatendea haki wafuasi wao kuwajulisha kua walishatema ndoano kitambo!
 
Wanabodi

Kupitia kipindi changu kipya cha KMT, kinachorushwa hewani na Channel Ten, Katibu Mkuu wa Chadema, JJ. Mnyika, Kuunguruma Kuanzia Saa 3:00 Usiku.

Katika kipindi hicho, JJ. Mnyika atathibitisha jinsi maridhiano na CCM yalivyo isaidia Chadema, ambapo mwanzo waligoma kuutambua
uchaguzi na kuyatambua matokeo, lakini kupitia maridhiano sasa Chadema inautambua uchaguzi, inayatambua matokeo ya uchaguzi, na kumtambua Mbunge wake mmoja tuu, Aida Kenani.

Pia JJ Mnyika atajibu hoja mbalimbali za Mwandishi Pascal Mayalla, zikiwemo hoja kuhusu wabunge wake 19,
Kwanini Chadema mpaka leo haijaripoti polisi kuhusu jinai ya kughushi ya wabunge hao 19.

Jiunge nami hiyo saa 3:00 nitakuleta live kupitia hapa if na kupitia mitandao ya kijamii.

Kipindi kilichopita nilizungumza na Salim Mwalimu na Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa Chadema

Vipindi vijavyo, nitamtafuta Tundu Lissu na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe.

Usikose!.
Paskali
Paskali tunakuheshimu sana ujue! Sasa live gani iliyokwisha kurekodiwa na baadhi ya maswali amekujibu na watazamaji watarajiwa umeshatujibu?
 
Back
Top Bottom