Kumtambua Rais Samia kama Mama wa Taifa ni kujenga familia (nchi) imara

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Apr 10, 2019
2,590
4,601
Nimefarijika sana kuona kile nilichokuwa natamani kifanywe muda mrefu sasa kinakwenda kufanywa na kikiwa kimesemwa na viongozi wa kiroho na kiimani, ni ishara jambo hilo ni la kiimani zaidi.

Ni muda mrefu nilikuwa nawaza Kwa mazuri anayofanya Rais Samia ni vyema atambuliwe rasmi kama Mama wa Taifa. Tangu alipoingia madarakani ametenda kama Mama anavyotakiwa kufanya Kwa familia na hapa familia ni nchi yetu.

Nikizungumza kwa mifano, mama ni mtu wa karibu sana kwa watoto na hapa ndio wazo la kumtambua Rais Samia kama Mama wa Taifa liliponijia baada ya ishara hii. Rais Samia amekuwa karibu sana na vijana ambao ni kama watoto kwenye familia. Rais Samia ndiye kiongozi aliyeteua vijana wengi uongozini na pia anatoa ajira nyingi na kuwawezesha vijana wengi kiuchumi kwenye maeneo mbalimbali, yaani kajitoa sana Kwa ajili ya wanawe( vijana). Kwetu vijana tunajisikia fahari kubwa Rais Samia kutambuliwa kama Mama wa Taifa.

Baada ya Rais Samia kutambuliwa kama Mama wa Taifa sasa ni dhahiri familia hii(Tanzania) itakuwa imepata muunganiko wa kiroho wenye nguvu zaidi.

Mama wa Taifa ni heshima kubwa katika kutambua mchango mkubwa alionao Rais Samia katika ujenzi wa nchi yetu kama kiongozi wa kwanza mwanamke na shujaa wa uchumi na maendeleo.
 
Kuna watu kuitwa baba/mama ni kumkosea Mungu. Ndo maana ndoa nyingi zinavunjika maana wanaondoa wengi wamekalia kushaaabikia mambo ya kijinga.

Mimi niliuliza, kwa hiyo Mama Maria Nyerere tumuite nani. Hivi vikundi njaa vinavyotanguliza shida mbele ndo vimesababisha Tanzania imeshindwa kupiga hatua.

Wengi wao ni walamba midomo utadhani wanakula ice-cream za Azam kumbe matumbo yao yamejaa njaa.
 
Nimefarijika sana kuona kile nilichokuwa natamani kifanywe muda mrefu sasa kinakwenda kufanywa na kikiwa kimesemwa na viongozi wa kiroho na kiimani, ni ishara jambo hilo ni la kiimani zaidi.
Baada ya Rais Samia kutambuliwa kama Mama wa Taifa sasa ni dhahiri familia hii(Tanzania) itakuwa imepata muunganiko wa kiroho wenye nguvu zaidi.
JamiiForums-2061425574.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kwani lazima tuwe na mama?

Kwa uelewa wangu mzazi ni founder, na Nyerere aliitwa baba kwakuwa ni founder wa taifa hili. Pia nafahamu fika kuwa Nyerere hakushirikiana na mwanamke yeyote katika kupambania uhuru na kuanzisha taifa hili. Kwahiyo kama taifa tuna baba ila hatuna mama, si Samia wala Maria (Maria ni mama wa wanawe akina Makongoro nk.).

Then tukiwa na baba si lazima tuwe na mama, hata Brooklyn Beckham ana baba pekee, hana mama na anadunda tu.

Kwakuwa ni taifa la waj!n9a na waqumbavu, acha tuendelee kupoteza muda kwa mambo yasiyokuwa na faida yoyote huku wenzetu wakikimbizana na muda kufanya mambo ya maana.

Ningekuwa kiongozi huu ujin9a ujin9a kama friends of...., chawa wa...., baba wa.... ningekuwa nayakataa na kuyakemea kwa nguvu zote. Shida ni kuwa viongozi wetu wanapenda sifa ndo maana wasaka vyeo wapvvzi huanzisha haya.

NB: sijalisoma gazeti lako kama nisivyoyasoma magazeti yako mengine, huwa nasoma ID, nascroll ili kuhakikisha umeweka namba ya simu pale chini kisha napita hivi. Nasikitika tu leo umesahau namba ya simu, na ndo sababu nikacomment ili nipate wasaa wa kuiweka. Weka namba tafadhali, kuna mikeka mingi inakuja braza!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ujinga mtoa mada KP, Mpe nchi Kagame mwaka mmoja umeme, maji, mafuta mbolea miundombinu, rushwa, kuteua vilaza ingekuwaje?

Angalia matokeo ya kazi zake. Usingekuwa na haja kutafuta teuzi kwa uchawa. Ungepata teuzi kwa kuchapa kazi.
 
Nimefarijika sana kuona kile nilichokuwa natamani kifanywe muda mrefu sasa kinakwenda kufanywa na kikiwa kimesemwa na viongozi wa kiroho na kiimani, ni ishara jambo hilo ni la kiimani zaidi.

Ni muda mrefu nilikuwa nawaza Kwa mazuri anayofanya Rais Samia ni vyema atambuliwe rasmi kama Mama wa Taifa. Tangu alipoingia madarakani ametenda kama Mama anavyotakiwa kufanya Kwa familia na hapa familia ni nchi yetu.

Nikizungumza kwa mifano, mama ni mtu wa karibu sana kwa watoto na hapa ndio wazo la kumtambua Rais Samia kama Mama wa Taifa liliponijia baada ya ishara hii. Rais Samia amekuwa karibu sana na vijana ambao ni kama watoto kwenye familia. Rais Samia ndiye kiongozi aliyeteua vijana wengi uongozini na pia anatoa ajira nyingi na kuwawezesha vijana wengi kiuchumi kwenye maeneo mbalimbali, yaani kajitoa sana Kwa ajili ya wanawe( vijana). Kwetu vijana tunajisikia fahari kubwa Rais Samia kutambuliwa kama Mama wa Taifa.

Baada ya Rais Samia kutambuliwa kama Mama wa Taifa sasa ni dhahiri familia hii(Tanzania) itakuwa imepata muunganiko wa kiroho wenye nguvu zaidi.

Mama wa Taifa ni heshima kubwa katika kutambua mchango mkubwa alionao Rais Samia katika ujenzi wa nchi yetu kama kiongozi wa kwanza mwanamke na shujaa wa uchumi na maendeleo.
Hamna kazi za kufanya!? Kwni ni ushujaa kuitwa "chawa" wa mama? Hamna vya kimaendeleo vya kupendekeza!? Yaani, hadi inatia kinyaa
 
Nimefarijika sana kuona kile nilichokuwa natamani kifanywe muda mrefu sasa kinakwenda kufanywa na kikiwa kimesemwa na viongozi wa kiroho na kiimani, ni ishara jambo hilo ni la kiimani zaidi.

Ni muda mrefu nilikuwa nawaza Kwa mazuri anayofanya Rais Samia ni vyema atambuliwe rasmi kama Mama wa Taifa. Tangu alipoingia madarakani ametenda kama Mama anavyotakiwa kufanya Kwa familia na hapa familia ni nchi yetu.

Nikizungumza kwa mifano, mama ni mtu wa karibu sana kwa watoto na hapa ndio wazo la kumtambua Rais Samia kama Mama wa Taifa liliponijia baada ya ishara hii. Rais Samia amekuwa karibu sana na vijana ambao ni kama watoto kwenye familia. Rais Samia ndiye kiongozi aliyeteua vijana wengi uongozini na pia anatoa ajira nyingi na kuwawezesha vijana wengi kiuchumi kwenye maeneo mbalimbali, yaani kajitoa sana Kwa ajili ya wanawe( vijana). Kwetu vijana tunajisikia fahari kubwa Rais Samia kutambuliwa kama Mama wa Taifa.

Baada ya Rais Samia kutambuliwa kama Mama wa Taifa sasa ni dhahiri familia hii(Tanzania) itakuwa imepata muunganiko wa kiroho wenye nguvu zaidi.

Mama wa Taifa ni heshima kubwa katika kutambua mchango mkubwa alionao Rais Samia katika ujenzi wa nchi yetu kama kiongozi wa kwanza mwanamke na shujaa wa uchumi na maendeleo.
🥱🥱🥱🥱🥱🥱
 
Nimefarijika sana kuona kile nilichokuwa natamani kifanywe muda mrefu sasa kinakwenda kufanywa na kikiwa kimesemwa na viongozi wa kiroho na kiimani, ni ishara jambo hilo ni la kiimani zaidi.

Ni muda mrefu nilikuwa nawaza Kwa mazuri anayofanya Rais Samia ni vyema atambuliwe rasmi kama Mama wa Taifa. Tangu alipoingia madarakani ametenda kama Mama anavyotakiwa kufanya Kwa familia na hapa familia ni nchi yetu.

Nikizungumza kwa mifano, mama ni mtu wa karibu sana kwa watoto na hapa ndio wazo la kumtambua Rais Samia kama Mama wa Taifa liliponijia baada ya ishara hii. Rais Samia amekuwa karibu sana na vijana ambao ni kama watoto kwenye familia. Rais Samia ndiye kiongozi aliyeteua vijana wengi uongozini na pia anatoa ajira nyingi na kuwawezesha vijana wengi kiuchumi kwenye maeneo mbalimbali, yaani kajitoa sana Kwa ajili ya wanawe( vijana). Kwetu vijana tunajisikia fahari kubwa Rais Samia kutambuliwa kama Mama wa Taifa.

Baada ya Rais Samia kutambuliwa kama Mama wa Taifa sasa ni dhahiri familia hii(Tanzania) itakuwa imepata muunganiko wa kiroho wenye nguvu zaidi.

Mama wa Taifa ni heshima kubwa katika kutambua mchango mkubwa alionao Rais Samia katika ujenzi wa nchi yetu kama kiongozi wa kwanza mwanamke na shujaa wa uchumi na maendeleo.
1. Kwa Mzee Hafidh alikuwa mke wa mwisho huko (sijui wa 04) halafu leo ndo aje awe Mama wa Taifa!

2. Ni mambo mangapi na yakipekee aliyoyafanyia taifa au jumuiya ya kimataifa kama Mwalimu Nyerere hadi aitwe Mama wa Taifa?

Punguzeni kujikomba
 
"The Father of the Nation is an honorific title given to a person considered the driving force behind the establishment of a country, state, or nation" - Pater Patriae
Nimefarijika sana kuona kile nilichokuwa natamani kifanywe muda mrefu sasa kinakwenda kufanywa na kikiwa kimesemwa na viongozi wa kiroho na kiimani, ni ishara jambo hilo ni la kiimani zaidi.

Ni muda mrefu nilikuwa nawaza Kwa mazuri anayofanya Rais Samia ni vyema atambuliwe rasmi kama Mama wa Taifa. Tangu alipoingia madarakani ametenda kama Mama anavyotakiwa kufanya Kwa familia na hapa familia ni nchi yetu.

Nikizungumza kwa mifano, mama ni mtu wa karibu sana kwa watoto na hapa ndio wazo la kumtambua Rais Samia kama Mama wa Taifa liliponijia baada ya ishara hii. Rais Samia amekuwa karibu sana na vijana ambao ni kama watoto kwenye familia. Rais Samia ndiye kiongozi aliyeteua vijana wengi uongozini na pia anatoa ajira nyingi na kuwawezesha vijana wengi kiuchumi kwenye maeneo mbalimbali, yaani kajitoa sana Kwa ajili ya wanawe( vijana). Kwetu vijana tunajisikia fahari kubwa Rais Samia kutambuliwa kama Mama wa Taifa.

Baada ya Rais Samia kutambuliwa kama Mama wa Taifa sasa ni dhahiri familia hii(Tanzania) itakuwa imepata muunganiko wa kiroho wenye nguvu zaidi.

Mama wa Taifa ni heshima kubwa katika kutambua mchango mkubwa alionao Rais Samia katika ujenzi wa nchi yetu kama kiongozi wa kwanza mwanamke na shujaa wa uchumi na maendeleo.
Sifa ya mtu kupewa heshima hii huendana na kuasisiwa kwa taifa, dola ama nchi kwa mara ya kwanza, ndiyo maana hutumika sambamba na "founder of the nation", yaani mwanzilishi wa vugugugu za kisiasa za taifa fulani zilizopelekea kupate uhuru na madaraka kamili kutoka kwa wakoloni.

Sioni mantiki yeyote ile kwa Rais SSH kupewa hadhi ya Mama wa Taifa. Kwa sababu Tanzania ni nchi huru na ina madaraka yake kamili. Wako wanawake wengi wa shoka na waliofanya mambo makubwa katika nchi zao baada ya kupata uhuru lakini hawakuitwa Mama wa Taifa.

Indira Gandhi, Margret Thatcher, n.k. katika nyakati tofauti walitikisa siasa za kukanda na kimataifa kutokana na uongozi wao, lakini kamwe hatukusikia wakitukuzwa kwa sifa hiyo. Kwa nini? Hapakuwa na sababu za kufanya hivyo kwa nyakati zao, nchi zao zilikwishwa kupata uhuru na madaraka kamili.

Vi vyema watu wawe wanatafuta mantiki nyuma ya sifa fulani ili kujenga misingi halisi iendanayo na hadhi hiyo. Ni vyema tukafanya mambo kuendana na viwango vya kimataifa.

Haiwezekani watu wasio kuwa na ujuzi au wenye mzaha mingi, wakakurupuka na kutuletea ushauri unaokinzana na uhalisia, na sisi kama taifa tukakubaliana nao, eti tu kwa kutaka kumfurahisha mtawala. Muda umefikia sasa, kwa viongozi wetu kujitambua ili wakwepe sifa ambazo hawazistahili.
 
Nimefarijika sana kuona kile nilichokuwa natamani kifanywe muda mrefu sasa kinakwenda kufanywa na kikiwa kimesemwa na viongozi wa kiroho na kiimani, ni ishara jambo hilo ni la kiimani zaidi.

Ni muda mrefu nilikuwa nawaza Kwa mazuri anayofanya Rais Samia ni vyema atambuliwe rasmi kama Mama wa Taifa. Tangu alipoingia madarakani ametenda kama Mama anavyotakiwa kufanya Kwa familia na hapa familia ni nchi yetu.

Nikizungumza kwa mifano, mama ni mtu wa karibu sana kwa watoto na hapa ndio wazo la kumtambua Rais Samia kama Mama wa Taifa liliponijia baada ya ishara hii. Rais Samia amekuwa karibu sana na vijana ambao ni kama watoto kwenye familia. Rais Samia ndiye kiongozi aliyeteua vijana wengi uongozini na pia anatoa ajira nyingi na kuwawezesha vijana wengi kiuchumi kwenye maeneo mbalimbali, yaani kajitoa sana Kwa ajili ya wanawe( vijana). Kwetu vijana tunajisikia fahari kubwa Rais Samia kutambuliwa kama Mama wa Taifa.

Baada ya Rais Samia kutambuliwa kama Mama wa Taifa sasa ni dhahiri familia hii(Tanzania) itakuwa imepata muunganiko wa kiroho wenye nguvu zaidi.

Mama wa Taifa ni heshima kubwa katika kutambua mchango mkubwa alionao Rais Samia katika ujenzi wa nchi yetu kama kiongozi wa kwanza mwanamke na shujaa wa uchumi na maendeleo.
Wakitqka kuiba na kuhalalisha wizi, na kutunyamazisha, wanatuletea hisia, za umama,
Ili tusiwababue kwa wizi,
Apige kazi, ikimshinda asitulazimishe kuwa mama yetu, kutaka, awe mama yetu, ni matusi,
Ye ye ni rais, akiiba tunampa makavu tu
 
Hivi huu upuuzi uliishia wapi?
Jee na yule askofu wetu aliyekuja na wazo hilo hadharani anajisikiaje mtumishi kuona maono yake yamepuuzika kwa kiwango hiki?
 
Back
Top Bottom