Search results

  1. Informer

    Waandishi wa Habari Dennis Msacky na Aboubakary Liongo walamba teuzi ndani ya CCM

    Vyanzo vyangu ndani ya CCM vinadokeza kuwa wanahabari wawili, Dennis Joe Msacky na Aboubakary Liongo wamelamba teuzi. Dennis Joe Msacky kateuliwa kuwa Msaidizi wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel John Nchimbi. Naye Aboubakary Liongo kateuliwa kuwa Mkuu wa Mawasiliano...
  2. Informer

    Zanzibar: Kifo cha utata cha Katibu wa ACT-Wazalendo Jimbo la Chaani chaibua minong'ono

    ACT-Wazalendo wataka uchunguzi ufanyike. Chama Cha ACT Wazalendo, Tunalitaka Jeshi la Polisi Kuhakikisha, Linawakamata na Kuwafikisha Katika Vyombo Vya Sheria, Wote Waliohusika na Kifo Cha Katibu wa ACT Wazalendo, Jimbo la Chaani, Ndugu ALI BAKARI ALI Chama cha ACT Wazalendo, tumepokea kwa...
  3. Informer

    TBC: Mfanyakazi aliyesoma habari kuhusu Meli ya MV Mwanza amechukuliwa hatua

    Vongozi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) unapenda kutoa fafanuzi kuhusu sehemu ya maudhui ya matangazo mbashara ya hafla ya ushushaji wa Meli ya MV Mwanza, Ziwa Victoria iliyofanyika tarehe 12 Februari, 2023 kwamba mtangazaji alichokusudia kukisema ni kuwa MV Mwanza itasafirisha mizigo...
  4. Informer

    Tanga: Mjamzito adaiwa kufa baada ya kuwekewa damu kimakosa, Watano wasimamishwa kupisha uchunguzi

    Watumishi watano wa Kituo cha Afya cha Mikanjuni kilichopo Jijini Tanga wamesimamishwa kazi kupisha uchunguzi baada ya kufanya uzembe uliosababisha kifo cha Mama mjamzito Fatuma Mussa Suleiman (36) Mkazi wa Magaoni, aliyefariki baada ya kuwekewa damu ambayo hakustahili kupewa na hakuwa na...
  5. Informer

    Zanzibar: Serikali yalaani vitendo vya unyanyasaji wa kidini vinavyoendelea visiwani

    Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imehimiza katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhan kutenda mema na kudumisha amani, umoja na mshikamano miongoni mwa wananchi. Zanzibar ni nchi yenye historia kongwe ya uvumilivu wa kidini ambapo Uislamu na Ukristo uliingia mapema kuwa sehemu muhimu ya utamaduni...
  6. Informer

    Majeshi ya kulinda Amani ya EAC yatimuliwa DRC. Waangalizi wa Uchaguzi wa EAC wagomewa...

    Kama kuna kitu kimeshangaza watu wengi ni uamuzi wa DRC kuyatimua majeshi ya kulinda amani ya EAC. Ilitarajiwa kuwa kikosi hicho cha EAC ndio kingekuwa mhimili katika shughuli za kuhakikisha amani inarejea mashariki wa DRC. Lakini nchi hiyo imechoshwa na kikosi hicho kilichokaa nchini humo...
  7. Informer

    Hatma ya ndoa ya EAC na DRC mikononi mwa Kagame?

    Wakati Jamhuri ya Kidemorasia na Kongo (DRC) ilipokubaliwa kujiunga na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) mwaka 2022 watu wengi waliamini kuwa hatua hiyo inaweza kusaidia kumaliza machafuko yaliyodumu kwa muda mrefu katika eneo la mashariki mwa DRC. Ilidhaniwa kuwa DRC ikiwa mwanachama wa EAC...
  8. Informer

    KLM waripoti Tanzania kuna 'civil unrest'. Hii ina maana gani?

    Mamlaka zimeshtukia kitu? Nini kinaendelea?
  9. Informer

    KLM waripoti Tanzania kuna 'civil unrest'. Hii ina maana gani?

    Wakuu, Nini kinaendelea? Nimeikuta hapa > https://www.klm.co.tz/information/travel-alerts === Latest alerts and rebooking policies Tanzania - Civil unrest Due to civil unrest in Tanzania from Friday 27 January up to and including Monday 30 January 2023, some of our flights to, from or via...
  10. Informer

    Makao Makuu ya JamiiForums yako wapi?

    Mbona taarifa za zilipo ofisi zipo mtandaoni wazi? JamiiForums 0743 440 000 https://maps.app.goo.gl/wetF4VvKXhhWCPpP7 Hadi namba ya simu imewekwa.
  11. Informer

    TANZANIA: How serial pension fund plunderers avoided Magufuli’s anti-corruption drive

    NOTE: This article was written in 2017 After more than a year in power, Tanzanian President John Magufuli had not managed to address corruption in the power sector, and corrupt pension funds, including the National Social Security Fund (NSSF) also successfully escaped his dragnet. Pension...
  12. Informer

    TANZIA Mwanahabari mkongwe, Dkt. Gideon Shoo afariki dunia

    MWANAHABARI nguli na mkongwe wa siku nyingi Dkt.Gideon Shoo ambaye pia alikuwa mchambuzi wa masuala mbalimbali ya kisiasa, kijamii na kiuchumi ndani na nje ya Tanzania amefariki. Kwa mujibu wa taarifa za awali zilizoifikia DIRAMAKINI zinaeleza kuwa, Dkt.Shoo amefariki Julai 9, 2022 wakati...
  13. Informer

    Uber yasitisha huduma zake Tanzania, yazitaja nauli elekezi Latra kama sababu. Itarejea kanuni zikibadilishwa

    Wakuu, Usiku huu Uber wametuma ujumbe unaosomeka hivi: 👇🏾 Huduma ambayo ilianza kama wazo tu — la kutumia simu yako kupata usafiri ndani ya dakika chache— Mfumo wa Uber umeenea duniani kote na zaidi ya safari milioni 15 hufanyika kila siku kupitia kwenye mfumo huu. Imekuwa ni heshima kubwa...
  14. Informer

    Utafiti: Mtu 1 kati ya 6 duniani huumwa kichwa

    Watafiti wamebaini takriban 7% ya watu wote duniani hupata Kipandauso, na angalau 9% hupata maumivu ya kichwa siku yoyote Prof. Lars Jacob Stovner wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Norway anasema matatizo ya maumivu ya kichwa huweza kusababisha vitu mbalimbali ikiwemo matatizo ya...
  15. Informer

    Manchester United mbioni kumtangaza Erik Ten Hag wa Ajax kuwa kocha wao mpya

    Taarifa kutoka ndani ya Manchester United ni kuwa klabu hiyo ipo kwenye hatua za mwisho kukamilisha mchakato wa kumtangaza Erik Ten Hag kuwa kocha wao mkuu alitokea Ajax ya Uholanzi. Man United imeamua kumpa nafasi kocha huyo atakayeanza majukumu msimu ujao kutoka katika listi ya makocha...
  16. Informer

    Convicted serial murderer Rosemary Ndlovu in court for allegedly plotting murders of three more people

    > Rosemary Ndlovu will be back in court on 20 April over allegations that she plotted the murders of three people Two of the people she allegedly wanted killed are her former boss and the investigating officer in the case of the six people whose murders she was convicted of The third person is...
  17. Informer

    Shirika la Ndege la Kenya Airways lapata hasara kubwa, Serikali kupitisha panga kwa wafanyakazi, kupunguza safari

    Shirika la Ndege la Kenya Airways (KQ) linatarajiwa kufanya mabadiliko makubwa katika utendaji kazi wake ikiwemo kupunguza safari na kuwaondoa kazini wafanyakazi kutokana na tatizo la fedha Maamuzi hayo yametangazwa na Serikali ya Kenya kutokana na Shirika kujiendesha kwa hasara, hivyo maamuzi...
  18. Informer

    Microsoft says it disrupted cyber attacks by Russian state - backed hacking group

    By Hannah Murphy in San Francisco Microsoft said it uncovered attempts by a Russian state-backed hacking group to hack into US and EU government institutions to conduct cyber espionage as part of supporting Russia’s ground invasion of Ukraine. In a blog post on Thursday, Microsoft said it had...
  19. Informer

    Microsoft says it disrupted cyber attacks by Russian state - backed hacking group

    By Hannah Murphy in San Francisco Microsoft said it uncovered attempts by a Russian state-backed hacking group to hack into US and EU government institutions to conduct cyber espionage as part of supporting Russia’s ground invasion of Ukraine. In a blog post on Thursday, Microsoft said it had...
  20. Informer

    Fake News: US says Hushpuppi didn't commit fraud in prison

    The US government has dismissed claims that the detained Nigerian influencer Ramon Abbas, known as Hushpuppi, executed a $400,000 (£304,000) internet fraud from prison. Hushpuppi, 37, was arrested in the United Arab Emirates in 2020 for crimes that cost victims almost $24m and is currently in a...
Back
Top Bottom