Ndugu zangu katika kupambana na maisha kijana mwenzenu hatimaye nimepata IST na nimekamilisha taratibu zote za kuanza kufanya kazi ya Uber na Bolt. Gari ni yangu japo si mpya sana ila bado nzima kabisa nimefunga na AC.
Sasa kwa kuwa ndio naanza najua kuna mengi natakiwa kujifunza. Ningeomba...
Unajua asilimia 90% ya madereva wa Uber na Bolt husababisha hasara na uharibifu wa magari....
•Je Dereva wako msumbufu kwenye kuleta hesabu?
•Je hauna muda wa kusimamia service ya Gari yako?
•Je unahisi kuchoshwa na kukataa tamaa na bishara ya usafirishaji?
•Je unatamani kupata dereva...
Kampuni ya huduma za usafiri kwa njia ya mtandao ya Uber Limited, imetangaza kuresha huduma zake rasmi baada ya kuisimamisha huduma hiyo tangu Aprili 2021.
Kampuni hiyo hiyo iliyositisha huduma zake Aprili 2022, ikipinga kanuni mpya za usafiri wa teksi mtandaoni zilizotangazwa na Mamlaka ya...
Habari zenu wakuu,
Nahitaji kukodi gari zifuatazo, kwa ajili ya mizunguko ya hapa na pale ndani ya jiji la Dar es Salaam.
Yoyote mwenye moja kati ya hizi gari au zote kwa pamoja naomba aipost gari hapa tujadili au anicheki kupitia +255627315218 niione gari, kisha tuanze jadili gharama na...
Uber)
mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 napatikana dar es salaam
Natafuta gari ya hesabu kwa ajili ya Bolt little, paisha. Ninazo account zote za kuendesha tax online (Uber, Bolt, Paisha, Little, Moovn etc) Nipo tayari kwa kazi nachohitaji ni gari tu. Mawasiliano 0743974343
Habari zenu wanajamvi
Kwa wale wenzangu na mimi wazee wa kusakata rhumba usiku kucha hususani weekend mtakuwa na uzoefu kama wangu juu ya usafiri wa hili jiji la Dar. Juzi nlikuwa na wana kwa party Kurasini, Kilwa road mtaa wa Loliondo. Tulikuwa wana kama wote, vile tunamimina maji toka saa 4...
Arusha. Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (Latra) imesema, kampuni za usafiri kwa njia ya mtandao Bolt na Uber zinatarajia kurejea kutoa huduma za usafiri nchini Tanzania.
Hayo yamesemwa leo Jumatatu, Septemba 12, 2022 na Mkurugenzi Mkuu wa Latra, Habibu Suluo wakati akizungumza na...
Wakuu habari
Kama wengi tulizoea kutumia huduma za Bolt au Uber katika kuingiza kipato. Ningependa kufahamu baada ya hizi app mbili maarufu kusitisha huduma maisha yanasongaje kwa kutumia app zingine?
App ama Paisha, Tantax, Indrive,Little Ride,Taxify....nk zina faida nzuri? Au watu...
Naitwa Ayoub, Natafuta gari ya hesabu kwa ajili ya Bolt na Uber. Ninazo account zote za kuendesha tax online (Uber, Bolt, Paisha, Little, Moovn etc)
Nipo tayari kwa kazi nachohitaji ni gari tu.
Mawasiliano 0767553726
Tunajua Serikali inataka kupata mapato lakini kuna huduma mhimu kama usafirishaji na nishati nashauri zisingeguswa!
Mfano Bolt miezi michache iliyopita mtu ukiwa na 20,000 unaweza kufanya safari 5 au 6 , kwa sasa 20,000 ni safari 1 tu na chenji inabaki kidogo ambayo huwezi itumia kwa safari...
Majuzi juzi hapa nilisikia uber wamefunga biashara Tanzania kutokana na sheria kandamizi, za kutaka wachukue 20% ya mapato ya dereva na wao wanataka 25% kama sijakosea.
Jana Uber wamenitumia meseji kwa kuniapa offer za safari za mjini kwa discount kubwa tu.
Swali langu, je uber wamerudi...
Both the taxi businesses serve in the USA and Canada. The only difference between the two is the pricing. So, how would you claim which is cheaper? There is no fixed answer as there is no fixed pricing per ride. I have tried both apps, and I like both too.
Coming to the companies who were...
Great thinker
Kama kichwa kinavyosema, ni siri/stori gani hutasahau uliyokutana nayo ukiwa kazini.?
Hiki kisa kilimtokea mdogo wangu alikuja nihadithia kama mwezi baada ya kutokea
Miaka kama miwili nyuma, alimbeba dada mmoja kutoka club, alikua kalewa ila kwa nje alionekana mtaratibu sana...
Uber wamesitisha huduma kutokana na regulations mpya za LATRA. Binafsi ingekuwa jambo la busura kuacha market forces kudetermine wanataka nini. Kama Uber wanachukuwa 25% na wewe unaona ipo juu basi nenda to another operator.
At the moment quality of services being provided by remaining...
Bora Uber wamesitisha hii huduma. Maana wengi wa madereva hawajielewi. Uelewa, huduma kwa wateja, usafi SIFURI
**Unamkuta dereva ananuka harufu Kama hajaoga miaka na hapo anataka ratings nzuri.
"***Ni vyema Hawa madereva wakafunzwa kabla ya kupewa magari
Hata hivyo Wabongo wabahiri sana, unaweza kuona jamaa na suti yake amebanana kwenye daladala, hajali shombo linalotokana na wamama wanaokwenda kuuza samaki Kivukoni.....
Middle-class ni wachache na waliopo ni wabahiri kweli kweli hawapendi kutumia hela, uchumi hauwezi kukuzwa na ubahiri, unakuta...
Wakuu,
Usiku huu Uber wametuma ujumbe unaosomeka hivi:
👇🏾
Huduma ambayo ilianza kama wazo tu — la kutumia simu yako kupata usafiri ndani ya dakika chache— Mfumo wa Uber umeenea duniani kote na zaidi ya safari milioni 15 hufanyika kila siku kupitia kwenye mfumo huu. Imekuwa ni heshima kubwa...
Madereva wa taxi za mitandao (Uber na Bolt) wameamua kuandamana mpaka makao makuu ya Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhnj(LATRA), kudai kupandishwa kwa bei elekezi ambazo licha ya kupandishwa wahusika bado hawazifanyii kazi hali hiyo inatokana na kuendelea kupanda kwa bei ya mafuta
Source: Dar...
Mimi ni dereva nina uzoefu mkubwa wa kutosha natafuta gari nifanyie kazi ya
Uber/bolt
Gari ndogo.
Hesabu au mkataba vyote sawa
Kwa yeyote Alie nayo
Napatikana Temeke
Mawasiliano: 0717285828
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.