wahubiri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    TANESCO ndilo shirika linalochukiwa zaidi Tanzania kwa mwaka 2023, hadi wahubiri wawaomba waumini kuwasamehe

    Tatizo la umeme lilianza January Makamba aliitisha kongamano kubwa la matajiri na viongozi mbalimbali kwa fedha nyingi za serikali. Tatizo la TANESCO lilipanuka pale ambapo wanasiasa akiwemo Naibu WAZIRI Mkuu Biteko alipoanza kufanya siasa na kuacha kusema kweli kuhusu undani wa tatizo Tatizo...
  2. Pascal Mayalla

    Serikali iingilie kati Makanisa ya Miujiza? Watanzania masikini wa kutupwa wanakamuliwa mamilioni kwa utapeli huku wahubiri wakigeuka mamilionea

    Wanabodi Kama kawa kila nipatapo fursa huja na makala zangu elimishi za kwa maslahi ya taifa. Topic ya leo, ni kutoa wito kwa Serikali yetu kuingilia kati kitu kinachoendelea kwenye baadhi ya makanisa ya wakovu yanayojinasibu kufanya miujiza, kutoa mapepo, kutoa uchawi na kufanya miujiza ya...
  3. GoldDhahabu

    Wahubiri wangu wa mfano Tanzania

    Wa Kimataifa/ toka Mataifa mengine ni hawa: 1. Kenneth Hagin 2. Kenneth Copeland 3. Smith Wigglesworth 4. Dr. David Oyedepo 5. Pastor Chris Oyakilome 6. Uebert Angel 7. T. L. Osborn 8. Gloria Copeland 9. F. F. Bosworth 10. Charles Capps 11. Norvel Hayes 12. Andrew Wommack 13. E. W. Kenyon 14...
  4. R

    Jina la Yesu wanalotumia wahubiri wengi si jina la Yesu wa kweli

    Jina la Yesu Kristo linapotamkwa kutatua jambo kama ugonjwa, mauti, au kutoa pepo hutamkwa mara moja TU na jambo lile likatendeka. Iko mifano mingi kwenye Agano Jipya, mmojawapo ni ule wa Petro kumponya kiwete pale kwenye mlango wa hekalu. Hawa wahubiri wetu wa siku hizi wa kulitaja jina la Yesu...
  5. X

    Ifike wakati Wahubiri dini wamuogope Mungu japo kidogo

    Mtu na akli zake timamu kabisa anaenda kupanga foleni kupewa nguvu za kiume na muhubiri dini. Hizi dini zinazidi kupoteza maana sababu ya tamaa za wanadamu.
  6. GENTAMYCINE

    Rais Samia, Tanzania ina wahubiri wengi wendawazimu na wabaya kuliko huyo mmoja wa Kenya

    Mwanao GENTAMYCINE nakuomba kimya kimya agiza watu wako (hasa wa system) wafuatilie, nakuhakikishia Mheshimiwa Rais utaletewa taarifa za ajabu na za kusikitisha kuliko hata aliyoyafanya huyo Mhubiri mmoja mpumbavu, muhuni, mwendawazimu na gaidi wa Kenya. Kuna mmoja anawaambia mabinti wapakae...
  7. K

    Ipo haja ya vinywa vya wahubiri kufungiwa speed governor?

    Nimepita mahala muda sio mfupi na kumkuta mtumishi mmoja wa bwana akitoa mahubiri yenye ukakasi kwelikweli huku akishangiliwa kwelikweli na hadhara yake,nimemsikia kwa masikio yangu mawili eti akisema wanawake wa sasa hivi wamekuwa mercenaries Hii ni sawa kweli kumfananisha mwanamke na Wagner...
  8. benzemah

    Hivi huyu mtu anayejiita Mfalme Zumaridi anatuchukuliaje?

    Nimetizama mahojiano ya huyu anayejiita mfalme Zumaridi na Mtangazaji wa Clouds, Millard Ayo na nimebaki na maswali mengi sana lakini kubwa ni kwamba ANATUCHUKULIAJE WATANZANIA? Zumaridi anasema akiwa darasa la 3 alitokewa na Mungu akiwa na umbo la jua lakini usiku, kwa hiyo yeye aliweza...
  9. R

    Hizi sadaka ambazo wahubiri wakristo wanazipigia debe mpaka mapovu yanawatoka ni kwa sababu zinaingia mifukoni mwao?

    Huwa najiuliza maana siku hizi huko kwenye redio na mikutano ya kikristo msisitizo mkubwa ni sadaka. Ingekuwa sadaka hizi haziwanufaishi hawa wahubiri( wao husema mtolee Mungu), wangekuwa kweli na bidii ya kutengeneza mafundisho haya (aghalabu mengi ni ya uongo na matisho tu) yenye msisitizo wa...
  10. GENTAMYCINE

    Sisi ambao hatutekwi na Wahubiri Waongo wa Miujiza ndiyo hatuna Akili au waliotekwa nao ndiyo hawana kabisa Akili?

    Rejea zako tu Kichwa cha Habari hapo juu kisha anza Kutiririka na Kuserereka zako. Otherwise Asante Padre ( Kasisi ) wangu wa Misa ( Ibada ) ya Kikatoliki ya leo Saa 12 na Nusu Asubuhi hadi Saa 2 Kamili tu katika Kanisa la Mtakatifu Mikaela ( Michael ) Kawe ambapo hata CDF Mabeyo na Mkewe...
  11. M

    Mambo machache niliyojifunza kutoka kwa Wahubiri wa FAITH, LOVE and MIRACLES hapa Mkoani Dar es Salaam

    1. Hawajisifu balip humsifia sana Kristo na Baba Muumba ( Mungu ) 2. Wanahubiri Kiustaarabu na hawapigi Kelele kama Walevi wa Gongo wa Kunduchi Mtongani au wa Kawe kwa Mapupu 3. Wanaenda mno na muda na Wanathamini sana Ratiba za Watu nje ya Ibada 4. Hawatuhimizi kila mara kutoa Sadaka bali...
  12. Elitwege

    TB Joshua hakupendwa na wahubiri wenzake

    Baada ya kuwazidi nguvu na kanisa lake kufurika watu, wahubiri wenzake wa Nigeria walimchukia TB Joshua bila sababu ya msingi. Licha ya kutompenda lakini alizidi kuwa moto wa kuotea mbali duniani kote, kama ilivyokuwa kwa Magufuli hapa Tanzania baada ya wanafiki Chadema kujitokeza kutompenda...
Back
Top Bottom