Jina la Yesu Kristo linapotamkwa kutatua jambo kama ugonjwa, mauti, au kutoa pepo hutamkwa mara moja TU na jambo lile likatendeka. Iko mifano mingi kwenye Agano Jipya, mmojawapo ni ule wa Petro kumponya kiwete pale kwenye mlango wa hekalu. Hawa wahubiri wetu wa siku hizi wa kulitaja jina la Yesu mara kumi, ishirini, thelathini....... kutoa pepo wanatumia jina la Yesu yupi? Obviously siyo Yesu Kristo, maana hata Yesu alisema wapo watu wanaotoa pepo kwa nguvu za Belzebuli.