Jina la Yesu wanalotumia wahubiri wengi si jina la Yesu wa kweli

raslimali

JF-Expert Member
Nov 4, 2014
1,344
1,012
Jina la Yesu Kristo linapotamkwa kutatua jambo kama ugonjwa, mauti, au kutoa pepo hutamkwa mara moja TU na jambo lile likatendeka. Iko mifano mingi kwenye Agano Jipya, mmojawapo ni ule wa Petro kumponya kiwete pale kwenye mlango wa hekalu. Hawa wahubiri wetu wa siku hizi wa kulitaja jina la Yesu mara kumi, ishirini, thelathini....... kutoa pepo wanatumia jina la Yesu yupi? Obviously siyo Yesu Kristo, maana hata Yesu alisema wapo watu wanaotoa pepo kwa nguvu za Belzebuli.
 
Mnahangaika bure tu huwezi ponya chochote kwa kutaja jina lolote hakuna kitu ya namna hiyo, nyinyi watu wa Imani mmshezoea kujidanganya na kudanganya na hata fikra zenu zinatumia hisia na mmejazwa uoga!.

Maisha ni uhalisia ukiumia au ukiumwa usitegemee muujiza wa jina sijui la nani nani huko!!..
Tunaishi kwa utashi na ndio maana Kuna fani mbalimbali ili tu tukidhi mahitaji yetu kulandana na matakwa yetu.. ukiumwa tutakupeleka hospitali ukachomwe sindano za tako mpk upone,vile inavyowezekana.

Kama ingekuwa watu wanaponywa kwa kutumia jina basi kusingekuwa na mtu anakimbilia hospitalini nawakati Kuna mponyaji wa haraka..
Ndugu zanguni fungukeni fikra zenu mtaliwa mno,jitahidini kuwaza muone hata nje ya box kiduchu tu.
 
Jina la Yesu Kristo linapotamkwa kutatua jambo kama ugonjwa, mauti, au kutoa pepo hutamkwa mara moja TU na jambo lile likatendeka. Iko mifano mingi kwenye Agano Jipya, mmojawapo ni ule wa Petro kumponya kiwete pale kwenye mlango wa hekalu. Hawa wahubiri wetu wa siku hizi wa kulitaja jina la Yesu mara kumi, ishirini, thelathini....... kutoa pepo wanatumia jina la Yesu yupi? Obviously siyo Yesu Kristo, maana hata Yesu alisema wapo watu wanaotoa pepo kwa nguvu za Belzebuli.
Wengi hawana MAMLAKA ya kutumia jina HILO.
 
Jina la Yesu Kristo linapotamkwa kutatua jambo kama ugonjwa, mauti, au kutoa pepo hutamkwa mara moja TU na jambo lile likatendeka. Iko mifano mingi kwenye Agano Jipya, mmojawapo ni ule wa Petro kumponya kiwete pale kwenye mlango wa hekalu. Hawa wahubiri wetu wa siku hizi wa kulitaja jina la Yesu mara kumi, ishirini, thelathini....... kutoa pepo wanatumia jina la Yesu yupi? Obviously siyo Yesu Kristo, maana hata Yesu alisema wapo watu wanaotoa pepo kwa nguvu za Belzebuli.
Basi ndugu nifanyie Mimi maombi kwa jina la yesu vile uwezavyo nipone maana ninaumwa hapa nilipo...
Ikifanyika hivyo naapa nitakuwa wakwanza kuja kutoa ushuhuda hapa nakwengineko sitolaza damu walahi...😅
 
Mnahangaika bure tu huwezi ponya chochote kwa kutaja jina lolote hakuna kitu ya namna hiyo, nyinyi watu wa Imani mmshezoea kujidanganya na kudanganya na hata fikra zenu zinatumia hisia na mmejazwa uoga!.

Maisha ni uhalisia ukiumia au ukiumwa usitegemee muujiza wa jina sijui la nani nani huko!!..
Tunaishi kwa utashi na ndio maana Kuna fani mbalimbali ili tu tukidhi mahitaji yetu kulandana na matakwa yetu.. ukiumwa tutakupeleka hospitali ukachomwe sindano za tako mpk upone,vile inavyowezekana.

Kama ingekuwa watu wanaponywa kwa kutumia jina basi kusingekuwa na mtu anakimbilia hospitalini nawakati Kuna mponyaji wa haraka..
Ndugu zanguni fungukeni fikra zenu mtaliwa mno,jitahidini kuwaza muone hata nje ya box kiduchu tu.
Umenena vema kwa kiasi fulani. Hata kama miujiza ipo haikusudiwi kuwa namna ya maonyesho fulani kama ilivyo leo. Inakuwa na kusudi maalumu. Ndiyo maana tumepewa akili ya kutatua changamoto mbalimbali kama zile za kiafya. Ila sasa kumejaa wahuni wanaotumia miujiza feki kutapeli watu.
 
Mnahangaika bure tu huwezi ponya chochote kwa kutaja jina lolote hakuna kitu ya namna hiyo, nyinyi watu wa Imani mmshezoea kujidanganya na kudanganya na hata fikra zenu zinatumia hisia na mmejazwa uoga!.

Maisha ni uhalisia ukiumia au ukiumwa usitegemee muujiza wa jina sijui la nani nani huko!!..
Tunaishi kwa utashi na ndio maana Kuna fani mbalimbali ili tu tukidhi mahitaji yetu kulandana na matakwa yetu.. ukiumwa tutakupeleka hospitali ukachomwe sindano za tako mpk upone,vile inavyowezekana.

Kama ingekuwa watu wanaponywa kwa kutumia jina basi kusingekuwa na mtu anakimbilia hospitalini nawakati Kuna mponyaji wa haraka..
Ndugu zanguni fungukeni fikra zenu mtaliwa mno,jitahidini kuwaza muone hata nje ya box kiduchu tu.

Ukikaa ukatafakari sana imani huwa ni kama upuuzi fulani hivi,dini ni ugonjwa mbaya wa akilu kuwahi kuikumba dunia.
 
Mnahangaika bure tu huwezi ponya chochote kwa kutaja jina lolote hakuna kitu ya namna hiyo, nyinyi watu wa Imani mmshezoea kujidanganya na kudanganya na hata fikra zenu zinatumia hisia na mmejazwa uoga!.

Maisha ni uhalisia ukiumia au ukiumwa usitegemee muujiza wa jina sijui la nani nani huko!!..
Tunaishi kwa utashi na ndio maana Kuna fani mbalimbali ili tu tukidhi mahitaji yetu kulandana na matakwa yetu.. ukiumwa tutakupeleka hospitali ukachomwe sindano za tako mpk upone,vile inavyowezekana.

Kama ingekuwa watu wanaponywa kwa kutumia jina basi kusingekuwa na mtu anakimbilia hospitalini nawakati Kuna mponyaji wa haraka..
Ndugu zanguni fungukeni fikra zenu mtaliwa mno,jitahidini kuwaza muone hata nje ya box kiduchu tu.
Una hasira sana master,yan hili bomu ni km ulikua ushalitega unasubir wakumtupia aingie mtegoni,ulijua kabsa jumapili leo humkosi mtu
 
Mnahangaika bure tu huwezi ponya chochote kwa kutaja jina lolote hakuna kitu ya namna hiyo, nyinyi watu wa Imani mmshezoea kujidanganya na kudanganya na hata fikra zenu zinatumia hisia na mmejazwa uoga!.

Maisha ni uhalisia ukiumia au ukiumwa usitegemee muujiza wa jina sijui la nani nani huko!!..
Tunaishi kwa utashi na ndio maana Kuna fani mbalimbali ili tu tukidhi mahitaji yetu kulandana na matakwa yetu.. ukiumwa tutakupeleka hospitali ukachomwe sindano za tako mpk upone,vile inavyowezekana.

Kama ingekuwa watu wanaponywa kwa kutumia jina basi kusingekuwa na mtu anakimbilia hospitalini nawakati Kuna mponyaji wa haraka..
Ndugu zanguni fungukeni fikra zenu mtaliwa mno,jitahidini kuwaza muone hata nje ya box kiduchu tu.
Huna tofauti na kipofu. Jina la Yesu lina nguvu sana hata Baba yenu wa uongo shetani huamini na kutetemeka.
 
kwani yesu mwenyewe alimuomba Mungu kwa Jina gani...?

Everything is myth human brain create it all
1 Fear
2 Hope
 
Mnahangaika bure tu huwezi ponya chochote kwa kutaja jina lolote hakuna kitu ya namna hiyo, nyinyi watu wa Imani mmshezoea kujidanganya na kudanganya na hata fikra zenu zinatumia hisia na mmejazwa uoga!.

Maisha ni uhalisia ukiumia au ukiumwa usitegemee muujiza wa jina sijui la nani nani huko!!..
Tunaishi kwa utashi na ndio maana Kuna fani mbalimbali ili tu tukidhi mahitaji yetu kulandana na matakwa yetu.. ukiumwa tutakupeleka hospitali ukachomwe sindano za tako mpk upone,vile inavyowezekana.

Kama ingekuwa watu wanaponywa kwa kutumia jina basi kusingekuwa na mtu anakimbilia hospitalini nawakati Kuna mponyaji wa haraka..
Ndugu zanguni fungukeni fikra zenu mtaliwa mno,jitahidini kuwaza muone hata nje ya box kiduchu tu.

Mimi ningekua wewe. Ningechagua kukaa kimya. Kwa sababu si kila jambo la kulizungumzia.
 
Mimi ningekua wewe. Ningechagua kukaa kimya. Kwa sababu si kila jambo la kulizungumzia.
Kwasababu wewe hujui kufikiri umeshikwa akili,hamnamo kitu humo Kuna vitu vyakukalia kimya lakini sio hivi mnavyopigiwa ndugu zanguni fumbukeni fikra.
 
Mnahangaika bure tu huwezi ponya chochote kwa kutaja jina lolote hakuna kitu ya namna hiyo, nyinyi watu wa Imani mmshezoea kujidanganya na kudanganya na hata fikra zenu zinatumia hisia na mmejazwa uoga!.

Maisha ni uhalisia ukiumia au ukiumwa usitegemee muujiza wa jina sijui la nani nani huko!!..
Tunaishi kwa utashi na ndio maana Kuna fani mbalimbali ili tu tukidhi mahitaji yetu kulandana na matakwa yetu.. ukiumwa tutakupeleka hospitali ukachomwe sindano za tako mpk upone,vile inavyowezekana.

Kama ingekuwa watu wanaponywa kwa kutumia jina basi kusingekuwa na mtu anakimbilia hospitalini nawakati Kuna mponyaji wa haraka..
Ndugu zanguni fungukeni fikra zenu mtaliwa mno,jitahidini kuwaza muone hata nje ya box kiduchu tu.
haujawahi kusikia mtu kaenda hospital akaambiwa wamemshindwa aende upande wa pili akajaribu
 
haujawahi kusikia mtu kaenda hospital akaambiwa wamemshindwa aende upande wa pili akajaribu
Serious mkuu unakichwa kinachowaza kweli...??
Usijekusema nakutukana ila nawasiwasi na uwezo wako wa kufikiri kama hili ni swali ulilouliza!
 
Mnahangaika bure tu huwezi ponya chochote kwa kutaja jina lolote hakuna kitu ya namna hiyo, nyinyi watu wa Imani mmshezoea kujidanganya na kudanganya na hata fikra zenu zinatumia hisia na mmejazwa uoga!.

Maisha ni uhalisia ukiumia au ukiumwa usitegemee muujiza wa jina sijui la nani nani huko!!..
Tunaishi kwa utashi na ndio maana Kuna fani mbalimbali ili tu tukidhi mahitaji yetu kulandana na matakwa yetu.. ukiumwa tutakupeleka hospitali ukachomwe sindano za tako mpk upone,vile inavyowezekana.

Kama ingekuwa watu wanaponywa kwa kutumia jina basi kusingekuwa na mtu anakimbilia hospitalini nawakati Kuna mponyaji wa haraka..
Ndugu zanguni fungukeni fikra zenu mtaliwa mno,jitahidini kuwaza muone hata nje ya box kiduchu tu.
Kuna aina mbili za magonjwa ya kiroho na ya kimwili.
Ya kiroho hayaponyeki hospitalini
 
Back
Top Bottom