vichaa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Majirani zetu Kenya na Uganda wana bodaboda wasiyozingatia Sheria kama Tanzania?

    Wakati mashindano ya AFCON yalipokuwa yanafanyika huko Ivory Coast, nilimsikia mmoja wa wanahabari aliyekuwa huko akituhabarisha kilichokuwa kinaendelea akisema boda boda wa huko wana nidhamu sana. Wakifika kwenye taa za barabarani wanasimama mpaka pale taa ya kijani itakapowaruhusu kuendelea...
  2. K

    Vichaa wa siku hizi wamekuwa legelege sana, wapole na wavivu

    Naomba niandike kitu kama pumba flani lakini inafikirish kidogo. Nakumbuka zamani nilipokuwa mdogo kule kijijini kwetu msinga-kibosho marehemu bibi yangu (ndo nilikuwa nikiishi nae, wazazi wangu na wadogo zangu wao waliishi Dar) alikuwa akiniasa wakati akinituma, "usipite mtaa ule kuna kichaa...
  3. N

    Maajabu ya vichaa: Wanakula vichafu lakini hawaumwi

    Hivi wakuu, ni sayansi au ni kitu gani au wana kipi special wendawazimu na vichaa, kiasi kwamba wanakula vyakula vibovu majalalani, lakin kamwe hawaumwi typhod fever wala cholera, Jana nilikuwa Morogoro kule hospitali ya mkoa nikakutana na kichaa mmoja, yule kichaa tangu utoto wetu,mpaka sasa...
  4. Mganguzi

    Baadhi ya wizara zinahitaji kuongozwa na vichaa! Sio makaratasi mengi, kwani tumeishiwa watu vichaa!

    Alipata kusema hayati JPM.. Sasa inaonekana wazi kuongoza nchi kwa kuwapapasa papasa watu ni ngumu sana kufanikiwa! Kalemani alikaribia kumaliza tatizo la umeme! Kama ilivyo kawaida ya siasa tunaongoza kwa kujuana ! Akatumbuliwa bila kashfa yoyote! Akaja anaejiita msomi na rais ajaye na kalamu...
  5. Librarian 105

    Vichaa katu hawaungani!

    Vichaa 100 wanaweza kulindwa na mlinzi mmoja tu mwenye silaha. Na mlinzi akawa na amani kabisa ya kutoundiwa uasi wowote. Hili funzo kwenye maisha yetu ya kifamilia na kijamii. Familia inaweza kuwa na ukoo mkubwa usio na faida ila tu kipindi cha misiba na harusi ndo wanakaa pamoja kushirikiana...
  6. benzemah

    Hivi huyu mtu anayejiita Mfalme Zumaridi anatuchukuliaje?

    Nimetizama mahojiano ya huyu anayejiita mfalme Zumaridi na Mtangazaji wa Clouds, Millard Ayo na nimebaki na maswali mengi sana lakini kubwa ni kwamba ANATUCHUKULIAJE WATANZANIA? Zumaridi anasema akiwa darasa la 3 alitokewa na Mungu akiwa na umbo la jua lakini usiku, kwa hiyo yeye aliweza...
  7. BARD AI

    TAHADHARI: Wagonjwa wa akili 150-250 wanapokelewa Mirembe kila siku

    Idadi hiyo imetajwa katika Idara ya Huduma za Nje ambapo kati yao, Wagonjwa 30 hadi 70 hupewa Matibabu na kuondoka huku Wagonjwa 9 hadi 15 wakilazwa. Daktari wa Vyanzo vya Akili, Veronica Lyimo amesema tatizo hilo linazidi kukua nchini na asilimia kubwa ya Wagonjwa hukutwa na sababu za...
  8. N

    Video: Shabiki wa Simba achoma moto jezi zote, pole Vunja Bei vichaa wameharibu sana

    Sisi ni mashahidi tu acha tuitwe majina ya kila aina maana hata tukipiga kelele mazoezi ya Bunju yasiwe ya wazi tunaitwa washamba. Narudia tena hiyo october wakati simba anafumuliwa 4-0 na yanga patatokea vurugu kubwa sana hapo taifa kubwa mno kiasi kwamba viongozi wa simba na wachezaji...
  9. N

    Augustine Okrah kauzwa USD 150,000, usisikilize wasioelewa

    Sasa mtu analazimisha kabisa kwa confidence zote kwamba jamaa yuko kwa mkopo simba anabishana na hadi na club husika ya huko Ghana na media za Ghana, agh aiseee ====== Tanzanian giants Simba SC have reached agreement with Bechem United for the transfer of winger Augustine Okrah...
  10. Replica

    Afande Sele: Spika aombe Mirembe wapeleke mabasi yao Bungeni wachukue vichaa wao, waliopo Milembe wana msongo wa mawazo

    Mwanamuziki mkongwe wa bongo wa muziki wa kizazi kipya maarufu kama Afande Sele amemuomba spika wa Bunge, Tulia Ackson awaombe hospitali ya Mirembe iliyopo mjini Dodoma wapeleke usafiri bungeni na kuchukua watu wao akidai waliopo Mirembe ni wazima ila wana msongo wa mawazo wa maisha magumu...
  11. B

    Msaada kwa anayejua utaratibu wa kumpeleka mtu kwenye wodi ya vichaa

    Wakuu heshima kwenu, Nina ndugu yangu yupo Mwanza mjini. He is a black sheep in our family. MATENDO Na vituko anavyo vifanya tumejidhihirisha kwamba ana matatizo ya akili. Amevuta bangi Kwa Muda mrefu Sana ( Thanks God hatumii cocaine) Huko Mwanza ni Kwa Bibi kizaa mama. Nyumbani kwetu ni Dar...
  12. Kiboko ya Jiwe

    Baadhi ya viongozi wa serikali ni 'vichaa', wakiondolewa ndipo Watanzania watapata ahueni

    Habari za asubuhi! Leo kuna mtu alipost jambo humu akanikumbusha jambo, nikaingia library kupekua nikakutana na picha za matukio kadhaa ya nyuma yaliyofanywa na viongozi wetu. Hebu icheki hii picha chini kisha utagundua kuwa tuna baadhi ya viongozi vichaa katika Taifa hili. Hawa watu wenye...
  13. Mshana Jr

    Vichaa huona nini?

    Naumia sana ninapomuona mtu mwenye matatizo ya akili'(ufahamu), wengine huita vichaa ama wendawazimu. ... Baadhi yetu tuna tabia ya kuwafukuza na wakati mwingine kuwapiga kabisa. KUMBUKA! Hawa nao ni binadamu wenye ndugu jamaa na marafiki! Wengine wana watoto... Ni jambo la kijamii...
Back
Top Bottom