Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,471
- 6,947
Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi maarufu Mr. II, Sugu amemvaa Spika wa Bunge na Mbunge wa Mbeya Mjini, Tulia Ackson, akidai kuwa ameshindwa kuendeleza mazuri mengi ambayo aliyaanzisha kipindi cha ubunge wake.
Mbilinyi alisisitiza kwamba kuna mambo mengi yaliyokuwa na manufaa kwa wananchi ambayo hayajapewa kipaumbele, na kuwa inasikitisha kuona Spika akishindwa kutekeleza majukumu yake ipasavyo.
Mbilinyi alisisitiza kwamba kuna mambo mengi yaliyokuwa na manufaa kwa wananchi ambayo hayajapewa kipaumbele, na kuwa inasikitisha kuona Spika akishindwa kutekeleza majukumu yake ipasavyo.