kuwamaliza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GENTAMYCINE

    Ali Kamwe: Tumebadili mtindo wa Kutambulisha Wachezaji wetu wakitua nchini kwakuwa kuna Timu ina Kijicho nao na Kuwamaliza

    "Hatutambulishi tena Wachezaji wetu wa Kigeni wakitua tu Uwanjani kama zamani kwani kuna Timu moja ina Jicho la Husuda huwa inawamaliza Kimpira" msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe. Chanzo: Sports Bundle ya U-FM jana Saa 3 Asubuhi. Kudadadeki zenu na hata huyu mpya nae tutamroga zaidi ya Hafidh Konkon
  2. Nyankurungu2020

    Kinachowaponza CHADEMA ni kukataa kuwa hili taifa lina wanyonge. Paul Makonda ndio anapitia hapo hapo na kuwamaliza

    Mnyonge katika nchi yoyote ile ni raia ambae ili apate haki zake lazima asaidiwe kwa nguvu ziada. Hapa nazungumzia haki za kupata huduma za jamii, haki za kisheria na hata tendo la ndoa. Alipokuwepo hayati JPM raia wanyonge walimkubali sababu karata kubwa kwake ilikuwa ni kuhakikisha raia...
  3. Richard

    Israeli yaelekea kushindwa kuwamaliza na kuwateketeza kundi la Hamas kama walivyoahidi

    Israeli yaelekea kushindwa kuwamaliza kwa kuwaua wapiganaji wa kundi la Hamas kama walivyoitangazia dunia. Ni siku 90 (miezi mitatu) imepita tangu Israeli iingize majeshi yake ya ardhini ndani ya Ukanda wa Gaza huku wizara ya afya ya Gaza ikisema kuwa wapalestina wapato 22,000 wamepoteza maisha...
  4. TAJIRI MKUU WA MATAJIRI

    Je, ni kweli Israel ilipiga na kuteka mataifa ya Kiarabu kwa siku sita? Sasa inashindwa nini kuwamaliza kikundi kidogo cha Hamas?

    Vita vya Siku Sita, pia vinajulikana kama Vita vya Juni, 1967 kati ya nchi za Kiarabu na Israeli, au Vita ya Tatu vya Waarabu na Israeli, vilipiganwa kati ya 5 na 10 Juni 1967 kati ya Israeli na Jordan, Syria, na Misri. Uhusiano kati ya Israeli na majirani zake haukuwekwa sawa baada ya Vita vya...
  5. NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

    Sheria mpya ya usalama wa taifa ni mwiba KWA walioitunga.

    CCM chama changu HUWA mnakurupuka sana,sijui akili zenu HUWA mnamwazima nani wakati wa kupitisha SHERIA tata kama hizo. Hivi mnajua baada ya hapo mnatakiwa muwe makini mnapokosoa serikali!!?yaani mwenye serikali akichukia tu anatuma hao vipepeo na kumaliza KAZI bila hata wasiwasi! Kama ni...
  6. figganigga

    Asante BAVICHA Mkoa wa Tanga kwa Kuwamaliza Watu Wasiojulikana

    Salaam Wakuu, Kama mnakumbuka, Baraza la Taifa vijana la CHADEMA Mkoa wa Tanga, Walitoa siku nne Watu wasiofahamika Waliompiga risasi Lissu Wajitokeze. Na Wasipojitokeza Watasoma Albadir. Baada ya siku nne kuisha Wasiojulikana hawakujitangaza wakakaa kimya. Hivyo Albadir baada ya siku nne...
  7. mtwa mkulu

    Baada ya Kuwamaliza vigogo wa Al-Quaeda Sasa tuwageukie Magaidi wavaa suti wa Washington

    Osama bin laden- Founder Hamza bin laden- Hero Ayman al zawahiri -Technician Al Baghdad- Friend Murra Omari- father in law Abu-ibadah Al bashir- fonder of Al quaeda second in command killed in MV bukoba crush Nadhani tumewamaliza wengi kwa upande huu Sasa ni zamu ya Magaidi wa washing ton kama...
  8. mtwa mkulu

    Nitoe ushauri wangu hapa kuwamaliza kabisa panya Road

    Naomba niwape ushauri wa kuwamaliza hawa viumbe. Kwanza kabisa mfumo wa dar umekaa tofauti sana na mikoani, ndio maana huwezi kuona magenge haya ya waharifu katika mikoa mingine, watu wanao tamba bara barani na kufanya uharifu. Ingekuwa ni mkoani tungetumia mbinu ya sungusungu kumaliza hili...
  9. M

    Kibamia ni neno linalotumika kuwatisha wanaume ili kuwamaliza nguvu wajione hawawezi kuridhisha mwanamke

    Wanawake wengi wanatumia hili neno kama kinga ili kuwatisha wanaume kuwa hawana uwezo kurishisha mwanamke ili hali sio kweli. Utakuta mwanamke akigombana na mpenzi wake anamtukana kwanza una kibamia Unakuta wanawake wanajadili juu ya wanaume na kudai hawapendi vibamia lakini hata wakipata...
  10. D

    Alama ya Nyundo na Jembe kwenye bendera ya CCM ni ya kuwamaliza Wakulima?

    Alama ya nyundo na jembe kwenye bendera ya CCM ni ya kuwamaliza Wakulima. Nyundo inawagonga kichwani na jembe linawafukia kabisa. Marais Wastaafu wanajengeana nyumba baada ya kugawana nyumba za serikali na kupeana benzi, wakulima wamesahaauliwa. Mama yetu tafadhali sikia kilio cha Wakulima...
Back
Top Bottom