Ali Kamwe: Tumebadili mtindo wa Kutambulisha Wachezaji wetu wakitua nchini kwakuwa kuna Timu ina Kijicho nao na Kuwamaliza

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,689
109,117
"Hatutambulishi tena Wachezaji wetu wa Kigeni wakitua tu Uwanjani kama zamani kwani kuna Timu moja ina Jicho la Husuda huwa inawamaliza Kimpira" msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe.

Chanzo: Sports Bundle ya U-FM jana Saa 3 Asubuhi.

Kudadadeki zenu na hata huyu mpya nae tutamroga zaidi ya Hafidh Konkon
 
"Hatutambulishi tena Wachezaji wetu wa Kigeni wakitua tu Uwanjani kama zamani kwani kuna Timu moja ina Jicho la Husuda huwa inawamaliza Kimpira" msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe.

Chanzo: Sports Bundle ya U-FM jana Saa 3 Asubuhi.

Kudadadeki zenu na hata huyu mpya nae tutamroga zaidi ya Hafidh Konkon
Simba ni wachawi jamani, dah
 
"Hatutambulishi tena Wachezaji wetu wa Kigeni wakitua tu Uwanjani kama zamani kwani kuna Timu moja ina Jicho la Husuda huwa inawamaliza Kimpira" msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe.

Chanzo: Sports Bundle ya U-FM jana Saa 3 Asubuhi.

Kudadadeki zenu na hata huyu mpya nae tutamroga zaidi ya Hafidh Konkon
Mnawaita Wasemaji kumbe waropokaji.
 
Back
Top Bottom