Dunia yakoo
Senior Member
- Nov 23, 2019
- 139
- 214
Alama ya nyundo na jembe kwenye bendera ya CCM ni ya kuwamaliza Wakulima. Nyundo inawagonga kichwani na jembe linawafukia kabisa.
Marais Wastaafu wanajengeana nyumba baada ya kugawana nyumba za serikali na kupeana benzi, wakulima wamesahaauliwa.
Mama yetu tafadhali sikia kilio cha Wakulima. Hawana huduma za ugani, hawapati pembejeo kwa wakati. Vyuo vya Kilimo havina fedha za utafiti wa mbegu bora na namna ya kukabiliana na magonjwa ya mimea na mifugo.
Marais Wastaafu wanajengeana nyumba baada ya kugawana nyumba za serikali na kupeana benzi, wakulima wamesahaauliwa.
Mama yetu tafadhali sikia kilio cha Wakulima. Hawana huduma za ugani, hawapati pembejeo kwa wakati. Vyuo vya Kilimo havina fedha za utafiti wa mbegu bora na namna ya kukabiliana na magonjwa ya mimea na mifugo.