Je, ni kweli Israel ilipiga na kuteka mataifa ya Kiarabu kwa siku sita? Sasa inashindwa nini kuwamaliza kikundi kidogo cha Hamas?

TAJIRI MKUU WA MATAJIRI

JF-Expert Member
Dec 1, 2010
5,720
10,216
Vita vya Siku Sita, pia vinajulikana kama Vita vya Juni, 1967 kati ya nchi za Kiarabu na Israeli, au Vita ya Tatu vya Waarabu na Israeli, vilipiganwa kati ya 5 na 10 Juni 1967 kati ya Israeli na Jordan, Syria, na Misri. Uhusiano kati ya Israeli na majirani zake haukuwekwa sawa baada ya Vita vya Kiarabu na Israeli vya 1948.

Israeli ilijengwa na muundo wake kuelekezwa na vita. Kila mzozo wa mapigano, makubwa na madogo, uliacha alama yake.

Lakini ni vita vifupi zaidi, vya Siku Sita vya Juni 1967, ambavyo vinaonekana kusikika zaidi kuliko vingine vyote.

Swali:-
Imekuwaje Israel imepoteza uwezo huo mbele ya Hamas, ili vita ya siku sita ni porojo tu na propaganda za Wazayuni?

Angalizo:-
Huu sio mjadala wa kidini.
 
Vita vya Siku Sita, pia vinajulikana kama Vita vya Juni, 1967 kati ya nchi za Kiarabu na Israeli, au Vita ya Tatu vya Waarabu na Israeli, vilipiganwa kati ya 5 na 10 Juni 1967 kati ya Israeli na Jordan, Syria, na Misri. Uhusiano kati ya Israeli na majirani zake haukuwekwa sawa baada ya Vita vya Kiarabu na Israeli vya 1948.

Israeli ilijengwa na muundo wake kuelekezwa na vita . Kila mzozo wa mapigano , makubwa na madogo, uliacha alama yake.

Lakini ni vita vifupi zaidi, vya Siku Sita vya Juni 1967, ambavyo vinaonekana kusikika zaidi kuliko vingine vyote.
Swali:-
Imekuwaje Israel imepoteza uwezo huo mbele ya Hamas, ili vita ya siku sita ni porojo tu na propaganda za Wazayuni?

Angalizo:-
Huu sio mjadala wa kidini.
Vita ya siku sita ilikuwa rahisi kwa Israel sababu Israel ilisaidiwa na Mungu.

Hii vita na Hamas imekuwa ngumu sana kwa Israel sababu Israel inasaidiwa na Marekani.

Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu na moyoni mwake amemwacha Mungu
 
Kiuhalisia ni kuwa ,mataifa manne ikiwemo USA, Uingereza, French na Israeli yalitumia taarifa zilizovujishiwa na Morocco kama msaliti wa nchi 3 za kiarabu yaani Jordan, Misri na Syria kushinda vita kiurahisi. Haikuwa nchi zoote za kiarabu, wala haikuwa Israeli peke yake . Leo hii kuna utandawazi kila kitu kama uwanja wa mpira mnavyofuatilia ndo maana ukweli unajulikana.
 
Kiuhalisia ni kuwa ,mataifa manne ikiwemo USA, Uingereza, French na Israeli yalitumia taarifa zilizovujishiwa na Morocco kama msaliti wa nchi 3 za kiarabu yaani Jordan, Misri na Syria kushinda vita kiurahisi. Haikuwa nchi zoote za kiarabu, wala haikuwa Israeli peke yake . Leo hii kuna utandawazi kila kitu kama uwanja wa mpira mnavyofuatilia ndo maana ukweli unajulikana.
Vita hii tulidanganywa mambo mengi sana
 
Vita ya siku 6 imekuzwa mno kuliko uhalisia labda pengine utandawazi haukushamiri kama kupiti cha sasa ila kiuhalisia hakukuwa na vita pale ..

Stori ilikuwa hivi mataifa ya kiarabu walikuwa tayari stand by kupambana na makombora ,jeshi nk yakiwa katika hali ya kusubiria order ya kuvamia ,sasa wakaanza kujadilia kuwa waanze wao au waache Israel aanzishe mashambulizi ? ikatoka Rai kuwa wakianza wao Marekani na wenzake wanaweza kuwageuzia kibao na hawana ubavu wa kupambana nao.

Hapo viongozi wa majeshi wakawa katika relax mode kusubiri kama hawapo katika Hali ya vita ,taarifa zikapenya kwa Israel mahali ambapo vikosi vyote na silaha za wapinzani zilipo wakateact chap wakati wenzao wamelala na kuripua military base ,silaha nk bila upinzani wowote ,sasa kama mpinzani Hana silaha na wewe Una vinu vya maana huku umeupiga shambulizi zito la kustukiza unategemea nini ?

Kwa ufupi hakukuwa na confrontation za maana zozote zaidi ya Israeli kuotea potential Airstrike against his opponents kitu ambacho hata Maghayo na bange zake anaweza kufanikisha ,ukitaka kujua uhalisia angalia October war waliopigana kavu kavu groundini alikumbana na madhila mazito..
 
Ni aina mbili tofauti za vita, hamas kwasasa hawavai uniform na wanajificha miongoni mwa wananchi, labda Israel iamue kuua kila mtu gaza bila kujali.
Mbona hoja yako ya kipumbuvu sana Israel si kaawamisha raia wa Gaza kusini na Kaskazini kule wamebakiia Hamas na yeye kapelleka vifaru lakini kameza bungo mapema tu wanaondoka Gaza baada kichapo, usiwe punguani Hamas wanavaa sale zao tunaona propaganda za Israel kutaka kuuwa raia nikuulize swali wale watoto zaid ya 9000 waliouwa Hamas walikuwa wamejificha nyuma yao? Na mabomu yakija yanachagua wakuuwa?
 
Kiuhalisia ni kuwa ,mataifa manne ikiwemo USA, Uingereza, French na Israeli yalitumia taarifa zilizovujishiwa na Morocco kama msaliti wa nchi 3 za kiarabu yaani Jordan, Misri na Syria kushinda vita kiurahisi. Haikuwa nchi zoote za kiarabu, wala haikuwa Israeli peke yake . Leo hii kuna utandawazi kila kitu kama uwanja wa mpira mnavyofuatilia ndo maana ukweli unajulikana.
Morocco 🇲🇦 iliwasaliti nduguze ili wapate nini?
 
Vita vya Siku Sita, pia vinajulikana kama Vita vya Juni, 1967 kati ya nchi za Kiarabu na Israeli, au Vita ya Tatu vya Waarabu na Israeli, vilipiganwa kati ya 5 na 10 Juni 1967 kati ya Israeli na Jordan, Syria, na Misri. Uhusiano kati ya Israeli na majirani zake haukuwekwa sawa baada ya Vita vya Kiarabu na Israeli vya 1948.

Israeli ilijengwa na muundo wake kuelekezwa na vita . Kila mzozo wa mapigano , makubwa na madogo, uliacha alama yake.

Lakini ni vita vifupi zaidi, vya Siku Sita vya Juni 1967, ambavyo vinaonekana kusikika zaidi kuliko vingine vyote.
Swali:-
Imekuwaje Israel imepoteza uwezo huo mbele ya Hamas, ili vita ya siku sita ni porojo tu na propaganda za Wazayuni?

Angalizo:-
Huu sio mjadala wa kidini.
Nikweli vilikuwa vita vya siku 6 ila vilikuwa vita vya wanasiasa zaidi siyo vya wananchi ...wanasiasa ni watu wa pesa pesa na kamwe uwezi kushindana na mabeberu kama wewe ni mwanasiasa wanakununua tu na kukutumia kwa njia mbali mbali .....mabeberu wa nato na USA awajawai kushinda vita vyovyote dhidi ya wananchi wazalendo...
 
Vita vya Siku Sita, pia vinajulikana kama Vita vya Juni, 1967 kati ya nchi za Kiarabu na Israeli, au Vita ya Tatu vya Waarabu na Israeli, vilipiganwa kati ya 5 na 10 Juni 1967 kati ya Israeli na Jordan, Syria, na Misri. Uhusiano kati ya Israeli na majirani zake haukuwekwa sawa baada ya Vita vya Kiarabu na Israeli vya 1948.

Israeli ilijengwa na muundo wake kuelekezwa na vita . Kila mzozo wa mapigano , makubwa na madogo, uliacha alama yake.

Lakini ni vita vifupi zaidi, vya Siku Sita vya Juni 1967, ambavyo vinaonekana kusikika zaidi kuliko vingine vyote.
Swali:-
Imekuwaje Israel imepoteza uwezo huo mbele ya Hamas, ili vita ya siku sita ni porojo tu na propaganda za Wazayuni?

Angalizo:-
Huu sio mjadala wa kidini.
Kihistoria Israel ni taifa la vita, wamepigana vita nyingi tu hivyo hakuna cha ajabu kuwa ilizikung'uta nchi za kiarabu kwa siku 6. Kama ambavyo inaweza kuuwa mahasimu wao walio Iran, Lebanon n.k na watu wakashangaa sana inawezekanaje.

Kwa taarifa tu bado kuna vita kubwa sana 2 ambapo katika vita mojawapo Israel itapigana na mataifa ya kiislamu na russia ikiwemo na mataifa mengine
Vilevile mfano Libya na sehemu kubwa tu ya nchi za afrika na still mataifa hayo yatashindwa so jiandae kushangaa na hii!!!
Kuna vita nyingine inakuja Israel itapambana na sehemu kubwa sana ya dunia jumuia ya ulaya ikiwemo na nchi za kiislamu zikiwemo russia, china na zingine zikiwemo na bado Israel itashinda na vita hii itachukua miaka 3.5 au zaidi sasa kama umeshangaa hii vita ambayo hata miezi 6 haijafika basi jiandae kushangaa na hii ya miaka 3.5 na pengine zaidi!
sio lazima kuwa eti kama vita hii ilichukua siku 6 basi vita nyingine ichukue siku fulani vita sio hesabu za cross multiplications. Ndo maana russia pamoja na nguvu kubwa ya kijeshi mpaka leo anastruggle huko ukraine.

MUHIMU Ikumbukwe kuwa katika vita hizi Mungu Yehova, Yesu ndiye msaada wa Isrrael kushinda na sio kwa nguvu zao wenyewe. Ikumbukwe pia kuwa ukiona Israel iko vitani mara nyingi jua ni vita kati ya Mungu na shetani.
 
Back
Top Bottom