usalama wa taifa

Idara ya Usalama wa Taifa
The Tanzania Intelligence and Security Service (TISS) is the national intelligence and security agency of Tanzania. The Agency works closely with other National and International intelligence agencies and securities organs in the promotion and maintenance of peace, safety and security in and outside Tanzania’s borders.

----

Idara ya usalama wa Taifa (TISS) imeundwa kwa sheria ya bunge namba 15 ya mwaka 1996 (Tanzania Intelligence and Security Service act No. 15 of 1996) iliyosainiwa na Rais Benjamin Mkapa tarehe 20 mwezi Januari mwaka 1997. Sheria hiyo ndio inayoipa mamlaka Idara ya Usalama wa Taifa kufanya kazi zake ndani na nje ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na pia ina ainisha majukumu, mamlaka na mipaka ya idara ya usalama wa Taifa. Kutokana na kuwepo kwa sheria hiyo siyo rahisi kwa idara hiyo kufanya mauaji ya raia wasio kuwa na hatia kwani idara itakuwa inavunja sheria na kukiuka mamlaka iliyopewa na Bunge.

View More On Wikipedia.org | Ifahamu Idara ya Usalama wa Taifa
  1. R

    JamiiForums Tanzania David Djumbe: Nilipewa taarifa na mtu ndani ya mfumo kuwa natafutwa na ndani ya siku 3 ningepotezwa

    Msaidizi binafsi wa Mwenyekiti wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA), Tundu Lissu, David Djumbe, amefunguka kuhusu mazingira yaliyomfanya akimbie nchini Tanzania baada ya kupokea taarifa za siri kutoka ndani ya mfumo zilizomwonya kuwa alikuwa hatarini kutekwa na kuuawa ndani ya siku...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Siamini kabisa Riz One anatumia madaraka yake ya waziri mwenye kusimamia Usalama wa Taifa kwa ajili ya taifa bali familia yake na kundi la mtandao

    Ni vigumu sana mtu yeyote kunishawishi kwamba Riz One aliteuliwa kuwa waziri katika ofisi ya raisi mwenye kusimamia Usalama wa Taifa kwa ajili ya usalama wa taifa. Ninaamini kwa dhati kabisa kwamba Riz One kawekwa katika nafasi hii kwa kazi maalum, na kazi hiyo kwa kiasi kikubwa si ya maslahi ya...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Wewe kama ni TISS fikiria yafuatayo kisha uone aibu na ujipime kama uzalendo wako unatosha

    1. Watu wanatekwa wewe upo upo tu. 2. Fedha za nchi yetu zinaibiwa wewe upo upo tu. 3. Watu wanachochea udini na kuanzisha magenge ya kihalifu wewe upo upo tu. 4. Mahakama inadharaulika wewe upo upo tu. Cc: Aione DGIS ili aone aibu zaidi. Soma pia PreGE2025 - Ushauri kwa Mkurugenzi Mkuu wa...
  4. Alloyce PR

    JamiiForums Tanzania Alloyce, P.R.: Nguzo za kimkakati kuhakikisha Idara za Usalama wa Taifa zinafanya kazi ipasavyo

    Katika ulimwengu wa sasa unaobadilika kwa kasi ya ajabu, usalama wa taifa hautegemei tu idadi ya watumishi au zana za kivita, bali unategemea ufanisi, weledi, na wepesi wa Idara za Kijasusi na Usalama katika kubaini, kuchambua, na kuzuia matishio. Ili kuhakikisha idara hizi (kama vile TISS...
  5. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania Je, kuna failure ya Intelligence? (Usalama wa Taifa)

    Usalama Wa Taifa TISS kwa miaka ya karibuni imeprove failure wa sehemu kubwa katika miaka ya karibuni. Mwaka 1982, kulikuwa na njama za kuipindua serikali ya Mwalimu Nyerere. Wahusika walikuwa kina Mohammed Musa Tamimu, Capt Eugene Maganga, na Uncle Tom na wengine. Usalama wa Taifa miaka hiyo...
  6. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Wakati wa utawala wa hayati JPM usalama wa taifa ilikuwa idara makini. Taarifa zilitoka kwa wananchi. Ndio maana hayati JPM alifanya kazi kwa ufanisi

    Utawala wa hayati JPM ulifanya kazi kwa ufanisi na uliweza kuwaridhisha wananchi kuwa upo makini na ulijali maslahi ya wananchi. Idara ya usalama taifa ilikuwa karibu na wananchi. Ndio maana hata kama ni kero ndogo namna gani rais alikuwa na taarifa nayo kwa undani. Kero za wananchi...
  7. M

    JamiiForums Tanzania JWTZ wazalendo waungeni Wananchi 7/7, Viongozi wazalendo kumbukeni mafunzo yenu kutoka chuo cha Taifa cha Ulinzi, kuhusu usalama wa Taifa

    Usalama wa Taifa si tu kutokuwepo kwa vita, usalama wa Taifa unahusu umoja wa Kitaifa, Utulivu wa kisiasa, uchumi, teknolojia, masuala ya kijeshi na mazingira. Chadema kimekwisha kuwa chama cha kitaifa kutumia taasisi za serikali kama Jeshi, polisi na usalama kukizuia kufanya kazi ni...
  8. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Ona sasa, NCHI imekaa gizani, shughuli za Uchumi, Kijamii ndani ya Masaa hayo yote zimekua Paralyzed, ni hasara ilioje?

    Huenda Usalama wa Taifa wakikaa mezani, vichwa vinawaza namna ya kuzuia Lissu, CHADEMA . Hiii yote ni sababu ya KATIBA MBOVU tulonayo, Watu Smart wanaachwa na kupigwa majungu, huku wale wengine ndio wanapopewa nafasi. Akili sio ELIMU ..... Kwa Bahati mbaya sana siku hizi ELIMU na Vyéti vyake...
  9. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Ninaliona tatizo kubwa kwa kamati ya kuu ya ulinzi na usalama wa Taifa letu, HAYA matamko ya wanasiasa ni ushauri wao kweli? 29/10 mlikuwa wapi?

    Sijui ninayo yaona ndiyo mnayoyaona, ILA kiukweli simwamini Katambi, Wala simwamini mwiguru kama kweli Taifa lipo hatarini kuchafuka, km ni kweli kwanini hawakuona hatari ya 29/10/2025?
  10. L

    JamiiForums Tanzania Kukatika Kwa umeme bila back up system ni dalili ya kukosa vision. Ni hatari Kwa usalama wa Taifa

    Kukatika Kwa umeme bila back up system ni dalili ya kukosa vision. Ni hatari Kwa usalama wa Taifa.
  11. N

    JamiiForums Tanzania Je, unawafahamu wafanya-kazi wa USALAMA WA TAIFA?? Uliwahi kuwaona?? Wasome hapa.

    NB: Nina Akili Ndogo Sana. #USALAMA_WA_TAIFA Je, unawafahamu watu wa Usalama wa Taifa?? Uliwahi kuwaona?? Uliwaona lini?? Uliwaona wapi?? Uliwezaje kuwatambua kama hao ndio wenyewe na sio wanakudanganya?? Nini maana halisi ya Usalama wa Taifa?? Ndugu yangu Mtanzania, sasa ngoja leo...
  12. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Rais anadanganywa au kufanyiwa maigizo? Huwezi amini juzi tu hapa Karanga na Magereza Moshi kulirekebishwa matuta kisa Rais anatembelea eneo hilo

    Najiuliza hivi kweli hata kurekebisha matuta ya barabarani mpaka waliposikia Rais Samia anakuja Leo hapa MKOANI Kilimanjaro kata ya katanini,katikati ya ili gereza kuu la lukaranga na kata ya katanini. Usalama mkoa mlishindwa kumulika mambo yanayoendelea Kilimanjaro mkamjuza mama, mwishowe...
  13. Fbn

    JamiiForums Tanzania Naomba tuulizane ukweli kuhusu usalama wa taifa wetu tukajisifu kwa intelejensia zake

    Kwangu mimi mpaka sasa kama naona hii idara hakuna kitu kabisa. Mfano swala la mikabata ya ovyo,rasilimali,hatma ya nchi na mwelekeo wake mfano tu mzuri watu walishauri kuhusu haya ya uchaguzi mpaka kutokea October 29 walikuwa wapi. Napata mashaka na hii idara ilishajifia siku nyingi
  14. 6 Pack

    JamiiForums Tanzania Waziri wa usalama wa taifa nchini Israel, Itamar Ben-Gvir anyimwa visa ya kutimkia Marekani.

    Niaje waungwana Wakuu niliwahi kuandika humu mara kibao, kwamba Dunia inakwenda inabadilika hatua kwa hatua kiasi ya kwamba kuna mabadiliko mengine yanatokea, au yanaweza kutokea katika mazingira ambayo wengine hawakuyategemea. Hii sio bahati mbaya, bali ni uhalisia wa Dunia jinsi...
  15. L

    JamiiForums Tanzania Atakaye Jaribu Kuandamana Atajuta na Kuilaani Siku Aliyozaliwa. Amani Na Usalama Wa Taifa ni Lazima Vilindwe kwa Jasho na Damu ili Visitoweke

    Ndugu zangu Watanzania, Duniani Kote na Mataifa yote yanayojitambua hulinda Amani Na Usalama kwa nguvu zote na kwa kila njia . Mataifa yote kuanzia yale Makubwa hadi Madogo hulinda Amani na Usalama kwa jasho na Damu. Tangu enzi na Enzi tokea kuumbwa kwa Ulimwengu Huu Usalama wa Himaya ama...
  16. Chachu Ombara

    JamiiForums Tanzania Kihongosi: CHADEMA wamefanya vikao vya siri ili kuhamasisha vurugu kupitia maandamano wanayoratibu

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesikitishwa na kile kilichokiita ni mipango ya siri inayoratibiwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) yenye lengo la kuhamasisha vurugu nchini kupitia maandamano. Kauli hiyo imetolewa leo Juni 13, 2026, Jijini Dodoma na Katibu wa Itikadi, Uenezi na...
  17. B

    JamiiForums Tanzania Aliyekuwa afisa wa usalama wa taifa aachiwa huru, ushahidi wa jamhuri umeshindwa kumtia hatiani tuhuma za kifo cha mkewe

    12 June 2026 Dar es Salaam, Tanzania ALIYEDAIWA KUMUUA MKEWE GOBA AACHIWA HURU - TAZAMA ILIVYOKUWA MAHAKAMANI... https://m.youtube.com/watch?v=qkpCmDpGCR8 Katika hatua ya sasa ya kimahakama, Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam imewaachia huru Bw. Zaburi Kitalamo na wenzake baada ya...
  18. Fbn

    JamiiForums Tanzania Watu weusi tunarudishwa utumwani wa kisasa sasa

    Watu weusi tunarudishwa utumwani wa kisasa sasa. Hakuna waafrika pakukimbilia afrika kila sehemu afrika ni kama ring tone zina fanana kwa ujinga wao. Hivi mnajua zile muvi za zombie ujumbe ulikuwa afrika itakuwa kama zombies na control na vikundi vya zombie wenye unafuu. Hii ripoti msije...
  19. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Hali ya Watanzania kuishi kwa matumaini kuwa ipo siku watabutua kwenye kamari inatishia Usalama wa Taifa

    Usalama wa Taifa ni nyanja pana sana. Suala la ulinzi wa pesa za nchi na wananchi linapaswa kuwa sehemu ya mkakati wa Usalama wa Taifa. Watanzania kwa ujumla wao kila siku hupoteza mabilioni ya pesa kwenye kampuni za betting wakitarajia ipo siku watalala maskini na kuamka matajiri. Siku...
  20. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Natalia na usalama wa Taifa mpaka siku nakufa, hamkujua nyumba za Siri zilizotumika kuficha watu?

    Tunao usalama hata hapa nilipo kaa lipo linakunywa mabia tyuuuu! Simlaumu yoyote nje ya boss wao yaani mpaka watu wanaingia nchini wanajificha wewe hukuwa na news au wataka niamini ulikuwa unamuujumu Samia Suluhu Hassan? Narudia yaliyotokea tuambiwe ni polisi au usalama au kesho liliuwa raia...
Back
Top Bottom