bendera

  1. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Trump Kainua Bendera Nyeupe Kama Kweli Kakubali Masharti Haya ya Iran

    Masharti ni haya yafuatayo 1 Aondoe sunction zote za Iran na aondoe maheshi yake karibu na Iran 2 Wasimamishe vita mpaa Lebanon (mimi naona hapo Israel akijidai mbabe wamwachilie Iran amtie adabu Israel hahaha) 3 Wasingile mambo ya ndani ya Iran 4 Waondoe sunction ya baharini 5 HORMUZ...
  2. V

    JamiiForums Tanzania Polisi Wavamia Nyumbani kwa Mbyella, Wachukua T-Shirt, Kofia, Nguo na Bendera za CHADEMA

    Nimepata taarifa kwamba usiku wa kuamkia leo mida ya saa nane, Jeshi la Polisi limevamia nyumbani kwa Yoromu Mbyella, mfanyabiashaa ambae huwa anauza sare za CHADEMA wakidai wanamtafuta kwa kosa la kutengeneza Tshirt zenye maandishi “FREE TUNDU LISSU” Kwa mujibu wa mtoa taarifa, Mbyella...
  3. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Bendera ya Tanzania kubandikwa na Mtanzania kwenye shamba lake ni kosa vipi bongo zozo kuitembeza nchi mbalimbali

    Mimi nilifundishwa kuieshimu Bendera ya Tanzania, nilifundishwa ikiwa Ina shushwa au inapandishwa Mimi nisimame MGUU sawa na kubana makalio yangu nisije Jamba ili Hali inapandishwa au kushushwa POPOTE pale. Leo Kuna mtanzania ametandaza bendera za Taifa kwenye shamba lake sijui alizinunua wapi...
  4. Q

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa sheria: Je, ni kosa kupandisha bendera ya taifa nyumbani kwako?

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Singida linamshikilia mtu mmoja anayejulikana kwa jina la Kasimu Ally Juma (34), kwa tuhuma za kupandisha bendera tano za Taifa la Tanzania kwenye shamba lake. Atashitakiwa kwa kosa gani? Wanasheria, Wajuzi. Pascal Mayalla
  5. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Chadema Yapandisha Bendera Kituo cha Polisi

    Baada ya Chadema Kuchoma Kituo cha Polisi Nyankumbu mkoani Geita, leo CHADEMA wameamua kupandisha bendera yao mbele ya kituo hiko cha polisi katika mlingoti unaopandishwa bendera ya Jeshi la Polisi. Hii ni Ishara kuwa Chadema wamedharau jeshi la Polisi na sasa wamedhamiria kuteka, kulipua na...
  6. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Picha: Maelfu ya wanachama na wafuasi wa CHADEMA wakishiriki kupandisha bendera za chama chao huko Katoro Geita

    Je, hii ndio Sababu ya Sisty Nyahoza kutaka kuifungia Chadema?
  7. R

    JamiiForums Tanzania Salum Mwalimu: Tuna madeni takriban milioni 100 yanayotokana na uchaguzi yakiwemo ya bendera na T-shirt

    Katibu Mkuu wa Chaumma na aliyekuwa mgombea wa Urais wa chama hicho katika uchaguzi mkuu wa 2025 Salum Mwalim akifanya mahojiano na Wasafi FM Aprili 28, 2026, amesema chama hicho kinna madeni takribani ya Milioni 100 yaliyotokana na kampeni za uchaguzi mkuu 2025. "Kuna mtu mpaka leo anatudaidai...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Bendera ya Tanganyika, Ishara ya Ukombozi

    Hakuna Ukombozi hadi Tanganyika huru. Vijana Tiktok wameanza upya.
  9. Dalton elijah

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania POTOSHI Mwanaanga Christina Koch apeperusha bendera ya Ghana kwenye misheni ya Artemis 11

  10. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Nchi Zinazofanania rangi za bendera au Kukaribia kufanana

    🇮🇩 Indonesia — 🇲🇨 Monaco 🇷🇴 Romania — 🇹🇩 Chad 🇳🇱 Netherlands — 🇱🇺 Luxembourg 🇮🇪 Ireland — 🇨🇮 Côte d’Ivoire 🇸🇰 Slovakia — 🇸🇮 Slovenia 🇦🇺 Australia — 🇳🇿 New Zealand 🇭🇹 Haiti — 🇱🇮 Liechtenstein (historical) 🇷🇺 Russia — 🇸🇮 Slovenia 🇧🇪 Belgium — 🇩🇪 Germany 🇬🇳 Guinea — 🇲🇱 Mali 🇫🇯 Fiji — 🇹🇻 Tuvalu 🇨🇿...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Je, kupeperusha bendera ya Tanganyika kunaweza kuonekana ni uchochezi?

    Kama kichwa kinavosema, kutumia bendera ya Tanganyika kama utambulisho wa upande mmoja wa Muungano, inaweza kuhesabiwa kama uchochezi? Na bendera za Tanganyika zilitupwa au kuchomwa?
  12. Eli Cohen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndani ya wiki moja, tageti 3000+ ambazo ni muhimu kwa IRGC zimelengwa na US/ISRAEL. Hio ni wiki , mwezi je? Wainue tu bendera nyeupe yaishe

  13. K

    JamiiForums Tanzania Uchawa wa wanahabari: Mbona hakuna anayeuliza kuna Meli ngapi zilizopewa bendera ya Tanzania?

    Uchawa wa wanahabari: Mbona hakuna anayeuliza kuna Meli ngapi zilizopewa bendera ya Tanzania? Soma Kwanini kusiwe na Shirika la Meli la Muungano ili kuepuka usajili wa kiholela? Meli zinaandikishwa huko Zanzibar halafu zinaenda kutumika kwa kubeba magendo na madawa. Tuwaulize ni meli ngapi...
  14. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania Yah; Pongezi kwa kutangaza bendera yetu kama “chapa ya cocaine” duniani

    Meli inayopeperusha bendera ya Tanzania kukamatwa El Salvador 06.02.2025 ikiwa na shehena ya tani 6.6 ya dawa za kulevya. Mlikuwa mnasubiri upepo upite, au mlikuwa mnapiga hesabu za jinsi cocaine tani 6.6 zilivyoweza kutosha katika meli inayopeperusha utambulisho wetu bila ninyi kufahamu Je...
  15. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Polisi wakisikia Chadema hao na bendera wanashusha lakini mpaka leo hawaja wakamata watekaji na sahivi wanateka hadi vituoni

    Polisi wakisikia Chadema hao na bendera wanashusha lakini mpaka leo hawaja wakamata watekaji na sahivi wanateka hadi vituoni.
  16. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Suala la kukamata watu wa CHADEMA wasio tishio kivyovyote ni la kisiasa kwanini wameshusha na bendera inahusika vipi kuvunja sheria za nchi ?

    Suala la kukamata watu wa CHADEMA wasio tishio kivyovyote ni la kisiasa kwanini wameshusha na bendera inahusika vipi kuvunja sheria za nchi ? Nimesikia hizi takataka zinasema heti wamekamatwa kwa kukusanyika kwahiyo kukusanyika ni kosa tangu lini na vipi mshushe na bendera ya chama ilikuwa...
  17. Waufukweni

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania AFCON 2027: Tanzania, Kenya na Uganda wakabidhiwa bendera na CAF

    Afrika Mashariki PAMOJA AFCON 2027 tayari imekabidhiwa kwa viongozi wa Tanzania, Kenya na Uganda tayari kwa Kombe la Mataifa 2027. Upande wa Tanzania umewakilishwa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Paul Makonda akiambatana na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF), Wallace Karia.
  18. M

    JamiiForums Tanzania Mtandao wa X wabadili bendera ya Iran

    https://x.com/NiohBerg/status/2009742024384147606 Ndugu zangu hakuna namna ya kuimboa Tanganyika, zaidi ya Kupandisha bendera ya Tanganyika, hatutaki Muungano, Walizuia Sherehe za Muungano lakini wameenda kufanya sherehe za Mapinduzi
  19. M

    JamiiForums Tanzania Wairan Wakiunda Bendera ya Iran kabla ya Mullahs, Watanganyika mnakwama wapi?

    https://x.com/ShayanX0/status/2007597953394061390 Ukiwa ndani ya nyumba yako tafuta vitambaa vitatu shona bendera ya Tanganyika.
  20. M

    JamiiForums Tanzania TAHARUKI!! Vijana washusha bendera ya CCM na kupandisha bendera ya Tanganyika

    Kuna picha zinasambaa huko social media zikionyesha vijana wakiwa wamepandisha bendera ya Tanganyika. Nafanyia utafiti kuhusu uhakika wa picha hii. Kama tumeanza kufikia hapa, hii itakuwa ni matokeo ya kuua upinzani sasa CCM itakutana na "Resistance" upinzani ambao haijawahi ona. Kitendo hiki...
Back
Top Bottom