kwa ninayoyaona sidhani kama tunastahili kuumiza wachezaji uwanja akama ule.
Uwanja ni mbovu haufai kabisa unatesa wachezaji na ni risk sana.
Tunaomba ukakaguliwe upya na aliyeupitisha achunguzwe alifuata sheria na vigezo vipi?
Hakuna mvuto kabisaaa wa kuangalia mpira kwenye huu uwanja.
“Unajua wakati nikiwa Yanga, mtu pekee aliyekuwa ananipa wakati mgumu ni Hans Poppe. Huyu jamaa alikuwa anafanya kazi yake kuonesha kabisa kuwa Dabi inatakiwa kuwa na mvuto, alikuwa akizungumza na watu wanamuelewa, alinipa wakati mgumu sana.
“Hata niliposikia amefariki, ukweli kibinadamu...
Ndugu yangu huyu nampa Pole yaani ukweli anatamani kutoka anashindwa afanyaje ndioo maisha yake.
Kati ya watu niliwaonea huruma majuzi ni ndugu yangu huyu hatareee sanaaa.
Tuendelee kumwombea Allah ampe nguvu na timu yake asikate tamaaa.
Hi!
Kinywaji niliwahi ipenda sana, hasa nikiwa na drive safari ndefu. Majuzi nikajaribu kuulizia mkata hola yale ma hotel barabaran hola. Nikaenda Liverpool, hii, wakasema atuuxi pombe, nikasema n energy, sema kama hamna, ala. Nimerudi Dar naangalia Simba vs Yanga kha hamna. Mlioificha anaawaona.
Ndugu zangu za ASBH, najua wiki imeanza na kuna watu Ijumaa na Jumamosi wanatarajia kuoa. Vyema, nkasema niwashauri bado wana nafasi ya maamuzi hizi siku 4-5 zilizobaki.
Kama unahisi hauko tayari kuingia kwenye ndoa, usiingie. Huu ni ushauri wa bure... kwenye ndoa hakuna red carpet tu, kuna na...
Juxi asbh nilikuwa airport kuchykua maokoto ya moja ya tax yangu
Huwa napenda kukaa na madreva tukapiga story
Mmoja a .madreva akaniambia unamjuaaaa......Ry wa Simba yes
Nimemchukua tukaendaa kumchukua mganga wa Nampula ambae aliisaidia Yanga kushinda kwa waarabu 4_0.
Mmmh nkamwambia...
Simsemi kwa ubayaaaaaa
Mpwa huyu ajawahii kuwaacha makocha WA kigeni SALAMA kamweee
Hii post ya 3 na kama SIMBA wanataka kudonga MBELE wasahauu MATOLA KWENYE bench
Sioo kwa nia mbaya nakupaa homework fwatiliaaa
NIKOPALE KWA wakala ......
KABLA ya Aug BENCHIKA ATAKUWA SIMULIZI PALE...
Tukielekea mechi ya watani 20 apr yanga atashinda kuanzia 2+ FT KUANZIA KOLI 3+
Mechi itakuwa ngumu kipindi cha kwanza cha pili magoli yatakuwa ya kutosha
Wafungaji wa yanga kati ya
Mzize
Mudathir
Aziz.K
Jgwede......
Mwisho nawatakia mechi njema wote mtakaoelekea taifa
Nilikuwa naangalia hapa idadi ya walioenda s.africa pamoja na tkt 48 Bure najiuliza hii NDEGE mbona ilihitaji watu wengi tu
Nikikumbuka vibe la Rwanda coaster 7 najiuliza nn kimewasibu Hawa wah kujazq NDEGE kwenda south africa
Nawazaga hili swali najikuta NACHEKA.
M ni mpenzi wa habari za Kenya sana.
Kenya IMEKUTWA na matukio ya ajali nyingi sana na huuwa watu 10+
Hivi MAJUZI KUNA ajali tatu zimetokea zote ukiangalia gari zimeharobika KABISA.
Unachoanbiwa MADEREVA wote wamekimbia.
Mbili zimwgongana na.malori...
Habarini wana jamvi
Kuna mdogo wangu mda si mrefu may anahamia mkoan
Leo niko na dogo anauliza kakaa hivi unawezaje kuishi mume dar mke mkoan and vv
Dah hizi kazi majaribu sana nkamwambia mtegemee mungu atakutun,zia mkeo
Shida bora angekuwa anaenda moro ama dodoma aje weekend weeee...
Nimeonaaaa hiiiii itv
Mbunge wa ilala amesema pamoja na piklpik kuvunja sheria kwa kuingia barabara ya Mwendokasi.
Badoo madereva hawa hawana nidhamu barabarani
Amesemaaa kuna wakati unaonaa gari inavyokimbizwa unawazaa ndani kabeba watu ama mbuzi.
Hakuishia hapoo akaombaa wafundishwe...
Kwa wale wenye exp
UTAJUAJE KABLA ya kumuoaa huyu mdadaaa alikuwa ametoa mimba sana.
KUNA ndoa nyingi wanateseka kupata watoto na pale wanapoenda hospitalini hujulishwa mkeo ALISHAWAHI TOA sana Mimba
Nawaza wale wanandoa watatajiwa mtajuaje mtarajiwa ana shida hiyo?
Katibu wa Wizara ya Kilimo nchini Kenya, Dkt. Paul Rono, ameamuru kusitishwa kwa uuzaji wa mbolea aina ya NPK 10:26:10 inayotengenezwa na kampuni ya Ken Chemicals ya Thika.
Katika barua yake kwa Bodi ya Kitaifa ya Nafaka na Mazao (NCPB), Dkt Rono amesema uchunguzi uliofanywa na maafisa wa...
Sio kwa niambaya nimeonyeshwa watu wasiumie sana na yanayoenda kutokea
Mechi ya SIMBA vs Al AHLY
SIMBA ATAFUNGWA hii mechi GOLI CHINI ya tatu.
Pona ya SIMBA kudrw ni Red card....
Yanga vs mamelody
Ft so far naiona drw dk 90
Either kuna red card ama lah mpaka sasa ft draw
Marudio kutakuwa...
Mnaowekeza mifugo ukoo maeneo ya mbugani. Vijijini mjipange bora mnunue mbwaa muanze kuuzaa
Leo naangalia TV mwananchi kaliwa mbuzi zake na chui mmoja
Serikali wakaja kumkamata wakamrudisha alipotoroka
Mwenyee mbuzii anaulizwaa anambiwaa 25000 ndioo malipo stahili kila mbuzii jamani angalieni...
Kwako Ndugu Kamishna wa Uhamiaji
Mamayetu Pls kitengo cha uhamiaji upande wa passport embassy fanya marekebishooo
Leo niliamua kuadhimisha miaka 3 ya mama samia kwa aunt yangu
Nimepata muda wa kuangalia sifa na baadhi ya malalmiko yaliyotolewa na wananchi
Katika tv mbili tofauti wananchi...
Inasikitisha sanaa
Naangalia taarifa ya Habari ITV mtoto wa darasa la pili amejinyonga baada ya kuona wazazi wakipigana kila siku
Baba mzazi alipoulizwa alikiri n kwelli ye na mzazi mwenzie walikuwa na tofauti na baadae mkewe akamua kuondoka siku 5 zilizopita
Jana anarudi anakuta watu wanejaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.