Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,153
Mnaowekeza mifugo ukoo maeneo ya mbugani. Vijijini mjipange bora mnunue mbwaa muanze kuuzaa
Leo naangalia TV mwananchi kaliwa mbuzi zake na chui mmoja
Serikali wakaja kumkamata wakamrudisha alipotoroka
Mwenyee mbuzii anaulizwaa anambiwaa 25000 ndioo malipo stahili kila mbuzii jamani angalieni upyaaa hizi sheriaa tusiangalie ndoaa za utotoni tu
Anasemaa amenunua 110,000 kila mbuzi wake wa maziwa
Huyu baba kamaliza muda wakazi kawekaa mafaoo yakee kwenye mifugoo leooo jamani mnamliza hivi.
Kamandaa wa wanyapori angalieni hizi sheria upyaa tutaishiaa kufuga mbwaa Dar na mafao yetu jamani
Leo naangalia TV mwananchi kaliwa mbuzi zake na chui mmoja
Serikali wakaja kumkamata wakamrudisha alipotoroka
Mwenyee mbuzii anaulizwaa anambiwaa 25000 ndioo malipo stahili kila mbuzii jamani angalieni upyaaa hizi sheriaa tusiangalie ndoaa za utotoni tu
Anasemaa amenunua 110,000 kila mbuzi wake wa maziwa
Huyu baba kamaliza muda wakazi kawekaa mafaoo yakee kwenye mifugoo leooo jamani mnamliza hivi.
Kamandaa wa wanyapori angalieni hizi sheria upyaa tutaishiaa kufuga mbwaa Dar na mafao yetu jamani