passport

  1. Burn the bridge _Tz

    JamiiForums Tanzania Ndugu upande wa marehemu baba wananifelisha kuthibitisha uraia wa marehemu baba ili niweze kupata passport

    Nimezaliwa mtoto wa kwanza kwa mke wa tatu wa marehemu baba, Tangu nakuwa shule ya msingi mpaka namaliza sikuwahi kumjua ndugu yoyote upande wa baba, ila nilikuwa nafahamu kubwa baba Ameshafariki mwaka 2001 Hata mama hakuwahi kuniambia chochote kuhusu ndugu zangu upande wa baba. Sasa nimekuwa...
  2. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kuna nchi uchumi wake utegemea kuuza passport na kenya kuna kashifa wanayo ila sio hiyo nchi.

    Kwa jina hiyo nchi imenitoka ila ni kakisiwa ambacho hakana rasilimali yoyote ila kanategemea zamana ya pesa utakayoweka kwao wakupe passport. Ukipata passport yao unaweza kwenda nchi nyingi free ambazo kwa passport yetu free utapata sudani ,somalia na zilizomo hata uwezi kufika na wala hakuna...
  3. Bei rahisi Electronicks

    JamiiForums Tanzania Elimu kuhusu Passport

  4. Bei rahisi Electronicks

    JamiiForums Tanzania Uelewa juu ya Passport

    Unataka kusafiri nje ya nchi? Pasipoti ni muhimu sana! 1. KWA NINI PASIPOTI NI MUHIMU? Kitambulisho rasmi cha kimataifa - Inakuthibitisha kuwa wewe ni raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kuingia nchi nyingine - Bila pasipoti halali huwezi kusafiri nje ya Tanzania Fursa za kazi, masomo na...
  5. A

    JamiiForums Tanzania KERO Nimeshindwa kusafiri kisa Uhamiaji Mbeya wamechelewesha passport yangu

    Bado nina malalamiko dhidi ya Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Mbeya. Kutokana na ucheleweshaji wa utoaji wa pasipoti, hatimaye nimeshindwa kufanya safari yangu iliyokuwa imepangwa kwa mwaka huu wa 2026. Kinachonisikitisha zaidi ni kwamba, pamoja na kufuatilia mara kwa mara, sijapewa maelezo ya...
  6. Burn the bridge _Tz

    JamiiForums Tanzania Nani anaweza kunisaidia kupata uthibitisho wa safari ili nipate passport??

    Naombeni msaada ndugu zangu, Nahitaji passport kwa matumizi ya Baadae je nani anaweza kunisaidia kupata uthibitisho wa safari. Au huwa mnatumia njia gani kupata pasipoti?
  7. Burn the bridge _Tz

    JamiiForums Tanzania Je hili inaweza kuwa Uthibitisho wa safari ili kupata passport?

    Nikisema nataka kujifunza udereva kwa kuwa Tingo hivyo nina safari za mara kwa mara za nje ya nchi... Sababu hii inaweza kuwa sehemu ya mimi kupata hati ya kusafiria?
  8. Penguinelli Cactussini

    JamiiForums Tanzania Nahitaji passport ya kusafiria ila Nida yangu imekosewa

    Kwema wakuu? Ninahitaji kupata passport ya kusafiria ila jina lililoko kwenye nida limekosewa herufi moja tu (badala ya kuishia na herufi “ni” jina la mwisho limeishia na “n”). Siko na kitambulisho mkononi kipo mkoani huko na time hii niko DSM. Je, inawezekana?
  9. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Uhamiaji: Mfumo ulisumbua na sasa umekaa sawa, taarifa za walioomba Passport zipo, hawatakiwi kulipa mara 2

    Idara ya Uhamiaji nchini imefafanua kuwa huduma zake za kimfumo zimerudi katika hali ya kawaida baada ya changamoto iliyosababisha ucheleweshaji wa baadhi ya maombi ya wananchi, na kueleza kuwa mbombaji hatakiwi kulipia huduma mara mbili. Akizungumza kuhusu suala hilo, Msemaji Mkuu wa Idara ya...
  10. Adryz

    JamiiForums Tanzania Ibra Chenza akituringishia Passport yake ilivyochafuka

    Mwamba mfanyabiashara maarufu Tanzania wa mtandanaoni Ibrahim Chenza the king of Oviedo kajiposti kwenye ukurasa wake wa Facebook akituringishia mihuri na visa kadhaa kwenye passport yake. Video hiyo inamuonesha kakaa kwenye waiting lounge uwanja wa ndege huku akifungua kila kurasa za passport...
  11. Lavit

    JamiiForums Tanzania Niliomba passport, miezi karibia miwili imepita naambiwa taarifa zangu zimeliwa!

    Wakuu nilifanya application ya passport pale Kurasini mwezi February mwishoni, na nikaambiwa March 24 nifate passport Wizara ya mambo ya ndani! Sikwenda hiyo tarehe na nimekuja kwenda Ijumaa iliyopita, lakni cha ajabu kirahisi tu naambiwa taarifa zangu zimeliwa, hivyo nirudi tena Kurasini...
  12. A

    JamiiForums Tanzania KERO Uhamiaji Mbeya wananizungusha kupata Passport, kila nikienda wanasema hakuna Mtandao

    Idara ya Uhamiaji Mbeya imekuwa changamoto na kero kubwa, nimeenda kuomba Passport nimerudi zaidi ya mara 4, mwezi sasa umeisha wanasema hakuna Mtandao wakati sisi tunajaza form zao online, tukiwapelekea wao wanasema mtandao hamna mbona form zao tunajaza bila shida, kwanini wao ofisini kwao...
  13. A

    JamiiForums Tanzania KERO Suala la Mfumo au Mtandao wa Uhamiaji kuwa chini muda mwingi ni kero

    Idara ya uhamiaji jamani pameshakuwa kero Tena zaidi ya kero.. Unaenda kufanya mchakato wa Passport ukifika huko wanakujibu kuwa hakuna mtandao Wiki nzima au muda mwingine wanakuambia eti taarifa zako zimeliwa na Virus like seriously 😳?
  14. A

    JamiiForums Tanzania Ndugu zetu wa Kenya wanataka integration ya software kama Haki za binadamu sio hardware kama passport

    Ndugu zetu wa Kenya wanataka integration ya software kama Haki za binadamu sio hardware kama passport au mambo ya common market, hayo yatakuwa Tu yenyewe tukiwa, tunataratibunnzuri za maisha.
  15. A

    JamiiForums Tanzania KERO Uhamiaji wameondoa uwezekano wa kuangalia ombi la passport kwenye website yao?

    Kuna option ilikuwepo kwenye website ya uhamiaji wakati mtu akiwa ameomba passport anaweza fatilia kuona ombi lake limefikia wapi, lakini kwa sasa kwenye website hiyo ya uhamiaji wameitoa hiyo option, so imekua vigumu mtu kujua ombi la passport limefikia wapi.
  16. A

    JamiiForums Tanzania KERO Uhamiaji Shinyanga wanatuzungusha kutoa Passport na hakuna majibu ya kueleweka

    Hii ishu ya Passport naona kuna mazingira ya kuzungushwa kwa maksudi, maana hata mimi ni wiki sasa kila nikienda ofisi za Uhamiaji Shinyanga naambiwa kuna shida ya Mtandao, hata wiki jana nilienda sikuhudumiwa hadi nahisi kuchoka. Tunaomba mzitaarifu mamlaka za juu maana haya mambo yanakita...
  17. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakenya kuteseka kupata passport, yet people with questionable integrity kutoka mataifa mengine kupata kwa haraka- are our passport credible?

    A law firm has written to the Director General of Immigration Services, citing Article 35, demanding details on how 28 foreign nationals including Wicknell Chivayo and Sudanese individuals linked to RSF allegedly obtained Kenyan passports. Despite facing international sanctions and integrity...
  18. Burn the bridge _Tz

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu hili changamoto kwenye kupata passport

    Wakuu habari Nipo mkoani Tabora wilaya ya kaliua kata ya usinge Nataka kukata passport ya kusafiria Swali langu je Fingerprint Picha wanachukulia mkoani au hata wilayani? Mana Nina pesa kama 160k kwa ajili kufatilia Hilo suala viambato vyote vipo je lazima niende mkoani au hapa hapa wilayani...
  19. Bei rahisi Electronicks

    JamiiForums Tanzania Uliza chochote kuhusu Passport na Namba ya NIDA

    PASSPORT NINI Ni hati rasmi ya kusafiria inayotolewa na serikali ya nchi, ambayo hutumika kuthibitisha utambulisho na uraia wa mtu, ikimruhusu kusafiri kimataifa na kuingia/kurudi nchini kwake, ikifanya iwe chombo muhimu cha kuvuka mipaka na kuomba ulinzi wa kibalozi nje ya nchi. Vigezo &...
  20. K

    JamiiForums Tanzania Spika Zungu familia yake ilipewa passport Ugiriki kwa kudanganya ni wasomali

    Familia yake ilisema wote wamezaliwa na kutoka Somalia wakati sio kweli walizaliwa Tanzania. Document zote zipo. Document zote zimenaswa. Kapewa wiki moja tu kustaafu kabla ya ushahidi kutolewa huko Ugiriki na uraia wa familia yake kuchunguzwa https://youtu.be/rugDxfcjRBE?si=TxtBCPvquHQtM5Hc
Back
Top Bottom