Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,152
Kwako Ndugu Kamishna wa Uhamiaji
Mamayetu Pls kitengo cha uhamiaji upande wa passport embassy fanya marekebishooo
Leo niliamua kuadhimisha miaka 3 ya mama samia kwa aunt yangu
Nimepata muda wa kuangalia sifa na baadhi ya malalmiko yaliyotolewa na wananchi
Katika tv mbili tofauti wananchi wamelalamikia sana uhamiaji kwa kufanya ugumu wa kupatikana passport pamoja na kuwa na docs zote.
Mmoja alienda mbali akasema Rais Samia tusaidie yaani passport imekuwa kama madawa upatikanaji wake.
Mama yetu kamishna wa uhamiaji fatilia vituo vya mikoa watu wanateseka sana. Mbaya zaidi mmoja akaniumiza nikaona nije huku akasema kuna watu wakosmart kabisa wanajiweka maneo ya uhamiaji
Hawa wanapiga kazi kama madalali unataka haraka wanamalizana nawewe wanaenda ndani
Ukiona yanasemwa haya mama yetu kamishna yapo na kama hyapo yanakuja. Mnaokumbuka pale Posta TRA kulikuwa na vijana smart jjezi nyeupe na nyeusi jezi zao
Wale unataka....za magari fasta mbayaa wakiingia ndani unakuta kunawenzao wakofolen mbele gafla unashangaa una kila kitu
Hope waliwaflash niliwahi kuwawasha sehemu husika
Huyuu wa leo kalalamikia uhamiaji tusi.dharau
Turekebishe panapoharibika tusifie panaposifika tusaidie mama yetu Mh Samia kuondoa malalamiko.
Mamayetu Pls kitengo cha uhamiaji upande wa passport embassy fanya marekebishooo
Leo niliamua kuadhimisha miaka 3 ya mama samia kwa aunt yangu
Nimepata muda wa kuangalia sifa na baadhi ya malalmiko yaliyotolewa na wananchi
Katika tv mbili tofauti wananchi wamelalamikia sana uhamiaji kwa kufanya ugumu wa kupatikana passport pamoja na kuwa na docs zote.
Mmoja alienda mbali akasema Rais Samia tusaidie yaani passport imekuwa kama madawa upatikanaji wake.
Mama yetu kamishna wa uhamiaji fatilia vituo vya mikoa watu wanateseka sana. Mbaya zaidi mmoja akaniumiza nikaona nije huku akasema kuna watu wakosmart kabisa wanajiweka maneo ya uhamiaji
Hawa wanapiga kazi kama madalali unataka haraka wanamalizana nawewe wanaenda ndani
Ukiona yanasemwa haya mama yetu kamishna yapo na kama hyapo yanakuja. Mnaokumbuka pale Posta TRA kulikuwa na vijana smart jjezi nyeupe na nyeusi jezi zao
Wale unataka....za magari fasta mbayaa wakiingia ndani unakuta kunawenzao wakofolen mbele gafla unashangaa una kila kitu
Hope waliwaflash niliwahi kuwawasha sehemu husika
Huyuu wa leo kalalamikia uhamiaji tusi.dharau
Turekebishe panapoharibika tusifie panaposifika tusaidie mama yetu Mh Samia kuondoa malalamiko.