Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,152
Inasikitisha sanaa
Naangalia taarifa ya Habari ITV mtoto wa darasa la pili amejinyonga baada ya kuona wazazi wakipigana kila siku
Baba mzazi alipoulizwa alikiri n kwelli ye na mzazi mwenzie walikuwa na tofauti na baadae mkewe akamua kuondoka siku 5 zilizopita
Jana anarudi anakuta watu wanejaa nyumbani huku mwili wa mwanae ukiwa chini umefunikwa
Wazazi mbadilike hawa watoto wanaumia wakiona upuuzi wenu
Msihisi wote wanavumilia wengine hawana moyoo wa kuendelea kuangalia mnayoyafanya
Kupiigana sio dilii
Naangalia taarifa ya Habari ITV mtoto wa darasa la pili amejinyonga baada ya kuona wazazi wakipigana kila siku
Baba mzazi alipoulizwa alikiri n kwelli ye na mzazi mwenzie walikuwa na tofauti na baadae mkewe akamua kuondoka siku 5 zilizopita
Jana anarudi anakuta watu wanejaa nyumbani huku mwili wa mwanae ukiwa chini umefunikwa
Wazazi mbadilike hawa watoto wanaumia wakiona upuuzi wenu
Msihisi wote wanavumilia wengine hawana moyoo wa kuendelea kuangalia mnayoyafanya
Kupiigana sio dilii