Search results

  1. 5

    Mrusi alituambia mara hii hakutakuwa na kombe la dunia imekuwaje tena?

    Ndivyo tulivyokuwa tunapeana habari baada ya timu ya Russia kuondolewa kwenye mashindano hayo kwa kosa la kuivamia Ukraine Kijeshi, kwamba rais Putin ametangaza kuwa hakutakuwa na kombe la dunia kwa vile timu yake imeondolewa ikitafsiriwa Urusi itapeleka mashambulizi huko Qatar ili shughuli za...
  2. 5

    Putini aruhusu wafungwa wa zamani kujumishwa jeshini

    Wauaji waliopatikana na hatia na wauzaji dawa za kulevya ambao wametoka gerezani hivi majuzi nchini Urusi wanakabiliwa na kuandikishwa kupigana nchini Ukraine chini ya mabadiliko ya sheria. Rais Vladimir Putin aliifanyia marekebisho sheria ya kuwaita askari wa akiba na kuwajumuisha wanaume...
  3. 5

    Ndege 8 za Shaheed zaangushwa na jeshi la Ukraine

    Mkuu wa jimbo la Dnepropetrovsk Valentin Reznichenko amesema kwamba, mifumo ya kulinda anga ya Ukraine iliangusha ndege nane zisizo na rubani za shaheed , katika jimbo la Dnepropetrovsk . Kulingana na Reznichenko, zote ziliangushwa katika eneo la Nikopol.
  4. 5

    Sasa ni zamu ya Urusi kuokoa raia wao katika mji wa Kharson, Ukrean inapania kuchukua jimbo la Kharson lilonyakuliwa na mavamizi

    Maelfu ya raia na maafisa walioteuliwa na Urusi wanahamishwa kutoka eneo la kusini mwa Ukraine la Kherson kabla ya mashambulizi ya Ukraine, anasema kiongozi wa eneo hilo aliyewekwa rasmi na Urusi. Vladimir Saldo alisema raia 50-60,000 wataondoka katika miji minne kwenye ukingo wa magharibi wa...
  5. 5

    Dkt. Mwinyi akosa mahaba Zanzibar

    Habarini wakuu., Nimeona kuna haja ya kuja na uzi huu, ni baada ya tathmini halisi iliyofanywa na wachambuzi mbali mbali kuhusu maendeleo ya wazanzibari wote unguja na pemba. Sera ya Dr Mwinyi wakati wa uchaguzi ilikuwa ni ''yajayo yanafurahisha'' lakini sasa imekuwa ni kaa la moto baada ya...
  6. 5

    Jeshi la Ukraine sasa waingia Luhansky kwa mara kwanza tokea Urusi avamie

    Hizi ndio miongoni mwa habari za leo Majeshi ya Ukrean waingia Luhansk kukomboa kwa mara ya kwanza toka Urusi ivamie nchi hiyo. Itakumbukwa juzi Jumamosi walichukua Mji wa Lyman ambao ndio Hub ya usafiri Russia walikuwa wanautumia kupitisha vifaa vyao mbali mbali kwa ajili ya vita, silaha...
  7. 5

    Rais Erdogan wa Uturuki: Putin yuko tayari kumaliza vita

    Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amesema anaamini kuwa mwenzake wa Urusi anatafuta njia ya kukomesha vita alivyoanzisha Ukraine, na kwamba "hatua muhimu" itachukuliwa. Alisema mtazamo wake kutokana na mazungumzo ya hivi majuzi na Vladimir Putin ni kwamba alitaka "kumaliza mzozo huu haraka...
  8. 5

    Zelensky awaonya wanajeshi wa Urusi kujisalimisha

    Hali imebadilika mwanzo wa hii operation Urusi ndio wakiionya Ukrain wanajeshi wake kujisalimisha lakini baada ya miezi 7 sasa Rais wa Ukrean Zelensky amekuja na kauli hii yeye kuwaambia wanajeshi wa Urusi wajisalimishe na hii ni baada ya Ukrean kufanikiwa kurejesha maeneo yake karibu kilimita...
  9. 5

    Wanajeshi wa Urusi watimua mbio na kutelekeza mtambo wao

    Ni baadhi ya mitambo iliyotelekezwa hapo jana katika mashambulizi ya Wanajeshi wa Ukraine mpakani na Urusi ambapo Ukraine wamefanikiwa kuukombo mji wa Khakiv kwa mafanikio makubwa sana
  10. 5

    Wanajeshi wa Ukraine wauwa wavamizi 201 askari kutoka Urusi

    The Ukrainian military has killed 201 Russian invaders and destroyed 12 T-72 tanks, 18 armored and motor vehicles and six ammunition depots on the southern axis over the past 24 hours. Ukraine’s Operational Command South said this in a Facebook post, Ukrinform reports. “The situation in our...
  11. 5

    Ukrain: Urusi wapoteza askari 45,200 tokea walipovamia

    From February 24 to August 21, the Armed Forces of Ukraine eliminated about 45,200 Russian invaders. This is stated in the report of the General Staff of the Armed Forces of Ukraine posted on Facebook. In particular, the Ukrainian troops destroyed 1,912 (+5 over past day) Russian tanks, 4,224...
  12. 5

    Bodi ya Mikopo (HESLB), mfumo unasumbua kujaza fomu online

    Bodi ya mikopo kwanini unapojaza taarifa kama tarehe ya kuzaliwa ya muombaji, wilaya mkoa bado kuna question mark mfumo haukubali? Nani amefanikiwa kujaza hizi form kwanini mara hii imekuwa complicated kiasi hichi nina lisit ya wanafunzi tele hapa imegoma eneo hilo. Simu za bodi hazipatikani.
  13. 5

    Jeshi la Ukraine lakomboa Snake Island kwa kulishambulia vikali jeshi la Urusi na kukichu tena kisiwa hicho

    Ukrainian forces have pushed Russian forces from Snake Island, a strategic Black Sea island off the southern coast near the city of Odesa. Russia portrayed the pullout from Snake Island off the port city of Odesa as a “goodwill gesture”. Ukraine’s military said the Russians fled the island in...
  14. 5

    Mzozo wa Ukraine: Wanajeshi wa Urusi wagoma kurejea vitani Ukraine

    Baadhi ya wanajeshi wa Urusi wanakataa kurejea kupigana nchini Ukraine kwa sababu ya uzoefu walioupata wakiwa mstari wa mbele mwanzoni mwa uvamizi huo. Hii ni kwa mujibu wa wanasheria na wanaharakati wa haki za binadamu wa Urusi. BBC imezungumza na mmoja wa askari mmoja hao. "Sitaki kurejea...
  15. 5

    Kwanini Rais Samia ametoa zawadi hii katika ziara yake Oman?

    Nimekuwa najiuliza kwanini mwarabu hakupewa picha ya mlima wa Kilimanjaro badala yake akapewa ile ya Zanzibar Baitul Ajaibu?
  16. 5

    Zelensky: Nina hakika Putin hawezi kutembelea wanajeshi wa Urusi nchini Ukraine'

    Kwa mara ya pili baada ya wiki mbili, Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky alitembelea ngome za jeshi kwenye mstari wa mbele - kwanza katika mkoa wa Kharkiv, na sasa katika sehemu hatari zaidi za mkoa wa Donbass na Zaporizhia. Wataalamu wa Ukraine na nje ya nchi wana hakika kwamba, licha ya...
  17. 5

    Diaspora: Kumbe Freeman Mbowe kumsifia Rais Samia ni baada kufunguliwa Account zake za Fedha zilizokuwa zimefungwa

    Nimesikiliza haya mahojiano vizuri Diaspora wanalalamika kwamba Freeman Ekael Mbowe anamsifia mama baada ya mambo yake binafsi kushughulikiwa na Rais, ikiwemo kufunguliwa Account zake za fedha ambazo zilifungwa muda uliopita, kutoka jela pamoja na shughuli zake mbalimbali za kibiashara...
  18. 5

    Ukraine waanza kurejesha Mji wa Severdonetsk ambao Russia walitangaza kuuteka

    The key Eastern City of Severodonetsk continues to see intense fighting, with Ukraine saying its forces have recaptured part of the city.
  19. 5

    Germany: Urusi hawatashinda vita Ukraine

    Germany’s Scholz says Russia will not win the war in Ukraine German Chancellor Olaf Scholz says Putin has failed in all his strategic aims and will not dictate terms of peace. Russian President Vladimir Putin will not win the war in Ukraine, Germany’s Chancellor Olaf Scholz has said, while...
  20. 5

    Marekani wajaribu Hypersonic weapons successfully

    Itakumbukwa kwamba Putin alisema hii ni silaha ambayo haipo katika taifa lolote isipokuwa Russia, nadhan sasa yametimia...
Back
Top Bottom