putin

Vladimir Vladimirovich Putin (; Russian: Владимир Владимирович Путин, romanized: Vladimir Vladimirovič Putin, Russian pronunciation: [vɫɐˈdʲimʲɪr vɫɐˈdʲimʲɪrəvʲɪtɕ ˈputʲɪn]; born 7 October 1952) is the president of Russia since 2012, previously holding the position from 2000 until 2008. In between his presidential terms, he was also the prime minister of Russia under President Dmitry Medvedev.
Putin was born in Leningrad and studied law at Leningrad State University, graduating in 1975. Putin was a KGB foreign intelligence officer for 16 years, rising to the rank of Lieutenant Colonel before resigning in 1991 to enter politics in Saint Petersburg. He moved to Moscow in 1996 and joined president Boris Yeltsin's administration where he served as director of the FSB, the KGB's successor agency, and then as prime minister. He became acting president on 31 December 1999, when Yeltsin resigned.
During his first presidency, the Russian economy grew for eight straight years, and GDP measured in purchasing power increased by 72%. The growth was a result of the 2000s commodities boom, recovery from the post-Communist depression and financial crises, and prudent economic and fiscal policies. In September 2011, Putin announced he would seek a third term as president. He won the March 2012 presidential election with 64% of the vote. Falling oil prices coupled with international sanctions imposed at the beginning of 2014 after Russia's annexation of Crimea and military intervention in Eastern Ukraine led to GDP shrinking by 3.7% in 2015, though the Russian economy rebounded in 2016 with 0.3% GDP growth and the recession officially ended. Putin gained 76% of the March 2018 presidential vote and was re-elected for a six-year term that will end in 2024.Under Putin's leadership, Russia has experienced democratic backsliding. Experts do not generally consider Russia to be a democracy, citing purges and jailing of political opponents, curtailed press freedom, and the lack of free and fair elections. Russia has scored poorly in Transparency International's Corruption Perceptions Index, Economist Intelligence Unit's Democracy Index and Freedom House's Freedom in the World index (including a record low 20/100 rating in the 2017 Freedom in the World report, a rating not given since the time of the Soviet Union). Human rights organizations and activists have accused Putin of persecuting political critics and activists, as well as ordering them tortured or assassinated; he has rejected accusations of human rights abuses. Officials of the United States government have accused him of leading an interference program against Hillary Clinton in support of Donald Trump during the U.S. presidential election in 2016, an allegation which both Trump and Putin have frequently denied and criticized.

View More On Wikipedia.org
  1. Echolima1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Putin anapata taabu sana kwa mashambulizi ya Ukraine nchini mwake!!

    Warusi wanakabiliwa na foleni ndefu na uhaba wa mafuta katika vituo vya mafuta huko Moscow na maeneo mengine baada ya wimbi la mashambulizi ya ndege zisizo na rubani za Ukraine kulenga viwanda muhimu vya kusafisha mafuta, vituo vya mafuta na miundombinu ya nishati. Kiwanda cha kusafisha mafuta...
  2. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Putin anazidi kudhalilishwa na makombora ya Ukraine na kuzidiwa; je atafanya kwa Ukraine kile USA walichofanya kwa Japan mwaka 1945 ili kushinda vita?

    Baada ya Ukraine kuruhusiwa kumpiga Mrusi ndani ya mipaka yake, Ukraine amejijengea uwezo mkubwa sana wa kutumia drone katika kuipiga Urusi anavyotaka kwa masafa marefu. Upigaji wa Ukraine kwa Urusi umekuwa wakisaikolojia sana - wakati wa mkutano wa kimataifa ambao hata raisi Samia...
  3. figganigga

    JamiiForums Tanzania Je, Samia Suluhu hajui kuzima MIC za Urusi? Putin ainglia kati kumsaidia

    Yule Samia wenu kaonekana akizunguka Ukumbini na receiver ya tafsiri ya lugha kila sehemu hata mic hakuzima. Putin akaingilia kati, kamwambia siri zako zitasikika, zima mic namna hii. Vitu vidogo tu unashindwa kujifanyia hadi ufanyiwe? Kidogo akate waya wa Watu🤣🤣 Katia aibu sana
  4. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aulizwa “Utafanya nini kukabiliana na vikwazo, Tanzania ikifanya biashara na Urusi”. Yeye ajibu “Hatuna Vikwazo vyovyote”

    Mwendeshaji, Geeta Mohan "We'll come back to your goals on Ukraine, but I'll have to ask you this, Madam President. Amid sanctions, you are wanting to do and increase business with Russia. How are you going to circumvent or bypass the sanctions?" Rais Samia Suluhu Hassan "Ah, thank you...
  5. A

    JamiiForums Tanzania Putin na Hassan combination hii inamaana gani?Samia ni Mama

    Mheshimiwa Rais Vladimir Putin mnadhani hajui kilichotokea Oktoba 2025 lakini jibu ni simple tu. UKweli ni Kilichotekea ni sheria imefanya kazi yake na ndiyo maana kaungwa mkono na Mheshimiwa Rais Vladimir Putin .
  6. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Hivi bado bwana Putin ni mseja?

    Napenda nitambue iwapo bado Putin ni rais kapera ama la. Moisemusajiografii.
  7. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Rais Samia na Putin Ikulu ya Kremlin

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Rais wa Shirikisho la Urusi Mhe. Vladmir Putin katika Ikulu ya Kremlin Jijini Moscow, tarehe 03 Juni, 2026.
  8. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Akutana na Putin, Kremlin

    Wakati wa ziara yake nchini Urusi, Rais Samia atafanya mazungumzo rasmi na Rais Putin huko Kremlin Moscow. Mazungumzo yatazingatia kuimarisha ushirikiano katika sekta za kimkakati ikiwemo biashara, uwekezaji, elimu, sayansi, teknolojia, nishati, madini na miundombinu. #TanzaniaRussiaRelations...
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania SI KWELI Rais wa Urusi, Vladimir Putin alifanya kazi Nchini Tanzania

    Picha ambayo baadhi ya watu wanadai kuwa inamuonyesha raisi wa Urusi Vladimir Putin akitoa mafunzo kwa wapigania uhuru kusini mwa Afrika ilisambaa na kutumiwa na baadhi ya watu kuhalalisha kuwa nchi za kiafrika zinapaswa kuunga mkono Urusi katika vita vya Ukraine. Picha hiyo ilisambazwa sana...
  10. figganigga

    JamiiForums Tanzania Samia Suluhu kumuomba Putin ampe Backup dhidi ya Donald Trump? Anamjua hayati Ayatollah Ali Khamenei?

    Je,, Samia Suluhu anaenda Urusi kumuomba Putin ampe Backup dhidi ya Donald Trump? Anamjua hayati Ayatollah Ali Khamenei yaliyomkuta? Alijuwa rafiki wa Putin kufa kuzikana.. Hakuamini atakufa mapema. Ukiua binadamu hakuna wa kukutea. 29.10.2025 mliua Watoto wetu mkidhani Urusi atawatetea. Kwa...
  11. 100 others

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapokezi ya Putin nchini China, Je, Huu ni Ujumbe kwa Marekani na NATO?

    Katika hii ziara ambapo Putin ameenda China naona mambo hayakuwa kiofisi tu kama Trump alivyo karibishwa, Xi na Putin wameonekana wakipika pamoja vyakula vya asili vya China, wakinywa pombe , na wamekula pamoja, wamesafiri pamoja kwa treni ya mwendokasi, wameangalia michezo pamoja. Nimekaa hapa...
  12. baz kaiza

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Putin yuko China?

    Jamani Putin yuko china USA hawezi kushinda tena vita ya Iran
  13. MakinikiA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baada ya Trump kuondoka China ,sasa mbabe Putin ameitwa China ili kuchambua yaliyojadiliwa na Jin ping na Trump

  14. MakinikiA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa ambao hawajui kuhusu Putin yote afanyayo yanapata baraka za bunge lake..

    WHO IS NEXT Russian parliament approves law allowing Putin to invade other countries Huyu bwana Putin ni smart sana hakurupuki kama wengine . Wengine wanaweza kukurupuka tu asubuhi na kuanzisha vita bila baraka za bunge la nchi yake na kusababisha madhara. Madhara hayo ya vita yakamkuta hata...
  15. MakinikiA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Putin atoa onyo ole wake atakayethubutu kuchukua uranium ya Iran bila ruhusa ,,kumekucha!

  16. H

    JamiiForums Tanzania Kwa Uadilifu wa Warioba, Ikitamkwa Kuna Tume ya Kuchunguza Mauaji ya 29 OCt Itakayoongozwa na Warioba, Kelele za kutaka Tume ya Nje zitapungua Sana

    Siku zote, historia ya mtu, na anavyotenda siku zote, ndiyo hujenga mazingira ya mtu huyo kuaminika au kudharaulika. Ni jambo lililo wazi kuwa watu wengi, hasa waliopo Serikalini, hawaaminiki kutokana na kuonekana kuwa wapo kwaajili ya tamaa ya matumbo yao, hata siku moja hawapendi kuwa wakweli...
  17. Echolima1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Iran Abbas Araghchi akutana na Putin.

    Leo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi alikutana na Rais wa Urusi Vladimir Putin huko St. Petersburg kujadili kuongeza uratibu kati ya nchi hizo mbili, kwani mataifa yote mawili sasa yamepeana ndege zisizo na rubani, hasa ndege zisizo na rubani za Shahed-pattern, na ujasusi katika...
  18. MakinikiA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa sasa Putin anaoneka kuwa Mkombozi wa mataifa ya Magharibi

    Marekani yapungukiwa na mifumo ya ulinzi wa makombora mashariki ya kati - yataka msaada korea kusini Marekani yaruhusu urusi kuuza mafuta kwa nchi za magharibi baada ya hormuz kufungwa na iran--mwamba putin kagoma Putin: Niondoleeni vikwazo lasivyo uchumi wenu utaangamia
  19. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Washirika wa Iran, wote wanaamini Trump aliwekwa na Putin uongozini, halafu hao hao wanalialia Putin aingilie kati vita vyao

    Kama Iran na washirika wake wanaamini Trump ni zao la Putin, kwa nini pia wasiamini kwamba Trump analinda masilahi ya Putin kwa kuwapiga Iran? Siku zote kobazi wamekuwa wakiamini, uchaguzi mkuu wa Marekani uliingiliwa na kuambiwa kupitia intelejensia ya Russia ikiongozwa na Rais wa nchi hiyo...
  20. U

    JamiiForums Tanzania Tazama picha ya putin akiwa amelala mkononi akiwa na picha ya Ayatolla

    Daaaa hi I vibonzo
Back
Top Bottom