MUHIMU: TIBA HII SIO KWA WOTE, NI KWA WALE WENYE TATIZO LINALOFANANA NA LANGU.
Nilidhani labda ndio umri umeanza kwenda maana si kwa kuhangaika kulitafuta goli la pili, na kuna kipindi ni kimoko chali kiasi cha kuwa bingwa wa visingizio kukwepa aibu.
Kiukweli nilikula sana dawa asili za...
Hiyo process inasemekana husababisha damu kuganda na moyo kusimama hapo hapo.
Kwani homa hii inaambukizwajwe?
Hayo maambukizi ya mfumo hewa yani mtu anaambukizwa vipi?
Nawezaje kutambua ninazo dalili za gonjwa hilo? Nauliza pia ili nijue nawezaje kumpatia huduma yakwanza mtu mwenye gonjwa...
Je, walimu wa serikali wanaumizwa na mpango wa mikataba na wakuu wao?
Ofisi ya Haki ya Askofu Mwamakula imepata malalamiko kutoka kwa baadhi ya walimu wa Shule katika Mkoa wa Dar es Salaam na pia tumegundua kuwa walimu kadhaa wako katika msongo mkubwa sana wa mawazo kufuatia 'mikataba mipya' ya...
Katika mwezi Oktoba pekee mauzo ya gesi ya Urusi yamepanda kwa asilimia 1.1 kutoka 4.3 ya kabla yake.
Wateja wakubwa wa gesi ya Urusi ni mataifa ya Ulaya karibu yote. Katika kuiunga mkono Ukraine mataifa hayo isipokuwa Bulgaria yaliamua kutonunua gesi ya Urusi inayotiririka kwenye mtandao mpana...
Imeelezwa kuwa tatizo la kubwa la baadhi ya vijana toka familia zenye mazingira magumu kutojikita kuanzisha miradi ya kiuchumi ni kutokana na kujinyanyapaa wenyewe na kuwa na fikra mgando za kukata taamaa kama hawawezi kufanikiwa kiuchumi hata kama wakiwezeshwa .
Akizungumza katika Ukumbi wa...
Habari zenu wanajf. Nitumie fursa hii kuwatangazia kuwa ninauza maziwa mgando kwa bei ya tsh1,500/= kwa lita moja maziwa yetu ni mazuri hayaja chakachuliwa kwa namna yoyote ile. Makazi yangu ni mkoa wa Kagera. Kama upo mkoa tofauti na mkoa wa Kagera itakupasa kulipia gharama za usafirishaji...
22 August 2021
Kampala, Uganda
NAIBU IGP WA JESHI LA POLISI UGANDA AFARIKI GHAFLA
Naibu Inspekta jenerali wa polisi wa Uganda Major General Paul Lokech amefariki ghafla siku ya ijumaa iliyopita. Uchunguzi wa kitabibu wa vifo umebaini kuwa marehemu Maj Gen Lokech umetokana na chembechembe za...
Hans Pope ameeleza sababu za Manara kukataa kusaini mkataba na Simba ambao ni mil 4 akiogopa kujifunga kwani unamkataza kufanya kazi na kampuni zingine nje ya Simba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.