Kwa ujumla, hakuna madhara yanayojulikana ya kunywa maziwa mgando wakati unatumia dawa. Mtindi una virutubisho vingi, kama vile kalsiamu, protini, na bakteria hai, ambayo inaweza kuwa na faida kwa afya yako.Wakuu kwema?
Ni sahihi mtu kunywa dawa (Vidonge)na akatumia maziwa mgando?
Asanteni
Ndugu unammislead mleta madaKwa ujumla, hakuna madhara yanayojulikana ya kunywa maziwa mgando wakati unatumia dawa. Mtindi una virutubisho vingi, kama vile kalsiamu, protini, na bakteria hai, ambayo inaweza kuwa na faida kwa afya yako.
Ni kama vile mtu akinywa sumu anapewa maziwa, maana yake nini?Duh asante mkuu
Ni kweli, kwa mfano vidonge vya ARV's, haviathiriwi na maziwa wala pombe.Inategemea ni dawa gani, dawa nyingine hamna athari....kwa maelezo zaidi muone daktari
Mtu akinywa sumu anatakiwa anyweshwe mkaa uliosagwa na kuchanganywa na maji. Siyo maziwa.Ni kama vile mtu akinywa sumu anapewa maziwa, maana yake nini?
Maziwa yanaua nguvu ya sumu.
Umeanza Uchizi ndugu, vipi yule demu wako wa shinyanga, hajakutafuta?Mtu akinywa sumu anatakiwa anyweshwe mkaa uliosagwa na kuchanganywa na maji. Siyo maziwa.
Amuone Daktari wapi...!?Inategemea ni dawa gani, dawa nyingine hamna athari....kwa maelezo zaidi muone daktari
Kagamee kwani wee masai, maana wale jamaa maziwa ni kila kitu kwao, hata kuoga wanaweza kuongea. Anyway, dawa chache sana zinazuiliwa kutumia maziwa na ukipewa hizo lazima utaambiwa na mtoa huduma au utakuta maelezo kwenye bango kitita (karatasi ya maelezo ndani ya boksi la dawa), nyingi ya dawa tunazotumia kwenye maisha ya kila siku hazina shida na maziwa. Na hata hizo zenye muingiliano na maziwa, mara nyingi ukitumia masaa mawili kabla au baada ya kumeza dawa, nayo hakuna shida, kwenye dawa za sindano nadhan ndo hakuna kabisa zuio la kutumia maziwa labda uwe na sababu specific sana au maziwa yenyewe kama ndo chanzo cha ugonjwa wako, vinginevyo maziwa yana faida nyingi sana mwilini mwako kuliko hasara, ni protein ya kutosha kabisa kwa lishe yako na familia yako hasa watoto chini ya miaka mitano, nchi yetu pamoja na kuzalisha maziwa mengi tuna matumizi hafifu ya maziwa, karibu ni wa mwisho Africa mashariki, sasa tuache visingizio, tutumie maziwa kwa wingi, kwa afya zetu.Wakuu kwema?
Ni sahihi mtu kunywa dawa (Vidonge)na akatumia maziwa mgando?
Asanteni
Hii research uliifanyia wapi mkuu? Huu ni upotoshaji.Ndugu unammislead mleta mada
Hutakiwi kutumia maziwa ya aina yeyote unapokuwa kwny dozi, maziwa yanaua nguvu ya dawa kufanya kazi
Mtutsi na mqziwa ni mapacha mkuuKagamee kwani wee masai, maana wale jamaa maziwa ni kila kitu, hata kuoga wanaweza kuongea. Anyway, dawa chache sana zinazuiliwa kutumia maziwa na ukipewa hizo lazima utaanbiwa na mtoa huduma au utakuta maelezo kwenye bango kitita (karatasi ya maelezo ndani ya boksi la dawa), nyingi ya dawa tunazotumia kwenye maisha ya kila siku hazina shida na maziwa. Na hata hizo zenye muingiliano na maziwa, mara nyingi ukitumia masaa mawili kabla au baada ya kumeza dawa, nayo hakuna shida, kwenye dawa za sindano nadhan ndo hakuna kabisa zuio la kutumia maziwa labda uwe na sababu specific sana au maziwa yenyewe kama ndo chanzo cha ugonjwa wako, vinginevyo maziwa yana faida nyingi sana mwilini mwako kuliko hasara, ni protein ya kutosha kabisa kwa lishe yako na familia yako hasa watoto chini ya miaka mitano, nchi yetu pamoja na kuvalisha maziwa mengi tuna matumizi hafifu ya maziwa, karibu ni wa mwisho Africa mashariki, sasa tuache visingizio, tutumie maziwa kwa wingi, kwa afya zetu.
Wakuu kwema?
Ni sahihi mtu kunywa dawa (Vidonge)na akatumia maziwa mgando?
Asanteni