barbara gonzales

Barbara Jordan Career Center, formerly Barbara Jordan High School for Careers, is a public vocational school center at 5800 Eastex Freeway (U.S. Highway 59) in Houston, Texas, United States. It is a part of the Houston Independent School District. Prior to July 1, 2018 the school served as its own self-contained secondary school. Since June 2018, Jordan is a regional career education hub for students enrolled at other HISD high schools. When it was its own high school it had a program for high school-aged deaf pupils.
The center was named after female politician Barbara Jordan.

View More On Wikipedia.org
  1. Fredwash

    Devil's Advocate Kwa Mohammed Dewji

    Jamani najaribu kuwa Devil's Advocate kwenye hii Saga ya Manara VS Mo/Barbara/Simba Nitaenda kwenye kupande ambao Manara ana claim Simba inanyonywa na Mo, kuwa kusema Mo anasema hapati faida ni uongo naomba anaejua. Simba kwenye mikataba yake ya 5 yrs ago kuanzia Sport pesa na mengineyo...
  2. GENTAMYCINE

    Kati ya Haji na Barbara nani hapa kazichanga vyema karata zake na yupi kajimaliza na atajutia milele?

    Je, ni Haji Manara ambaye baada ya Kuuamisha Umma kuwa anaonewa hivyo alitamani Simba SC ifungwe majuzi ili aje Kummaliza vyema Adui yake Kisha akaendelee zake Kupiga Pesa ASAS Diary, Azam Products na GSM au ni CEO Barbara Gonzalez ambaye pamoja na Shutuma zote alizopewa ila alichagua Kunyamaza...
  3. Justine Marack

    Mo Dewji tuachie timu yetu

    Huyu nia yake ya kujimilikisha Timu ya Simba sasa imekua dhahiri. Taarifa za ndani zinasema kuwa Dewj anawaondoa watu wote ambao wamekuwa kikwazo katika mkakati wake. Huyu ametapatapa sana kutaka kumiliki timu, tangu Africa Lion ambayo ilimshinda na kuja Simba kwa mgongo wa udhamini. Haji...
  4. tamsana

    Hans Pope: Manara hataki kusaini mkataba ambao atalipwa milioni 4

    Hans Pope ameeleza sababu za Manara kukataa kusaini mkataba na Simba ambao ni mil 4 akiogopa kujifunga kwani unamkataza kufanya kazi na kampuni zingine nje ya Simba.
  5. OKW BOBAN SUNZU

    Haji Vs Barbara: Mwenyekiti wa Simba, Murtaza Mangungu atoa tamko

    Habari za wakati huu! Ninawaomba sana wanachama, wapenzi na washabiki wa Simba tuwe watulivu na makini kuelekea fainali ya FA CUP Uongozi wa Simba upo makini na ulishatoa maelekezo ya kutatua mgogoro uliojitokeza. Simba ni timu inayojipambanua kuendeshwa kiweledi hivyo tusimame katika misingi...
Back
Top Bottom