vituko

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. ngara23

    Vituko na ugumu wa ndoa za wanaume " mama Boys"

    Wanawake sio walezi na watengenezaji wa wanaume na Baba Bora katika family. Mama Boys ni tatizo jipya katika jamii, ni mijadala na maswali magumu yanatusumbua sisi wana saikolojia, kilipatia majibu na kujenga ndoa imara Mahusiano ya mama boys na mabinti wengi huishia kubaya na ndoa kutodumu...
  2. Mshana Jr

    Vituko vya chitchat: A day in JF

    Asubuhi: Ma-Don wa Chai ya Rangi Siku inaanza saa kumi na moja alfajiri kwa nyuzi za kujimwambafai. Raia wanaanzisha mada za "Niko Five star hotel Dubai..nakunywa capuchino ya Brazil huku nawaza ninunue kiwanja gani wiki hii." Kumbe ukweli ni kwamba mleta mada amejifunika shuka la neti huku...
  3. Fbn

    Mnakumbuka vituko vya utawala wa Idd Amin Dada kwenye utawala wake

    Inawezekana kizazi chake kilikuwepo Zanzibar na ndio kinaendelea kufanya haya kwa taswira ya znz inaonyesha kulikuwa na waganda wengi mpaka kuwepo mapinduzi. Tuje kwenye mada sasa. Ukifatilia matendo ya idd amin ni yale yale kama hapa. Kuna kipindi alitaka kuwa rafiki mzuri wa urusi. ukuangalia...
  4. K

    Vituko vya Mama Samia: kuteua tume kutokana na tume🤦🏾‍♂️🏃‍♂️

    Mama Samia anaunda tume kila siku za kitapeli ambazo wanataka kutumika kusingizia matatizo ya vurugu wapinzani. Wameishiwa mbinu sasa tume zenyewe za mchongo kazi yake ni kuja na mapendekezo ya tume nyingine ni woga wanatoa mapendekezo ya kuundwa tume nyingine. Hii ni mbinu ya woga wa kusema...
  5. Mshana Jr

    Vituko majaribu na mitego ya mashemeji

    Experience yako ni ipi? Maana uswazi haiwaishiwi misemo Shemeji kula... Hainaga ushemeji.. Shemeji kinyama cha hamu.. Shemeji ni Dada akiwepo... Cha dada ni changu pia... Shemeji wa kiume je!?🤨
  6. Meja Jenerali Isamuhyo

    Vituko AFCON: Timu ya Cameroon yaita vikosi viwili tofauti, kimoja cha kocha aliyetimuliwa, kingine kaita Etoo kama Rais wa Shirikisho

    Afrika kivyetu vyetu. Huko Cameroon kuna vituko vinaendelea kwa timu yao ya taifa. Kocha wa timu hiyo Marc Bris, aliyefukuzwa kazi na Samuel Etoo amegoma kuachia ngazi baada ya kusikika akisema kuwa yeye ameajiriwa na Wizara ya Michezo ya Cameroon na sio Etoo. Akaenda mbali zaidi akatangaza...
  7. Zee la madawa

    Kwenye taarifa ya wapiga kura Cameroon, picha moja inayoonekana ya mpiga kura ni ya Mo Salah

    Cameroon Yaani kwa mujibu wa wananchi waliofuatiilia wizi wa kura, waliojiandikisha kupiga kura serikali wameweka wapiga kura hewa na picha moja inayoonekana ya mpiga kura ni ya Mo Salah 😀 jamani kweli? Seriously? Africa
  8. Busu la Kenge

    Video: Gen Z wa Uholanzi wana Vituko.

    Bonge kafunga goli kali madogo wakawehuka. Acha wafurahie ujana wao. adriz The Consigliere
  9. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Vituko vya boda boda. Tupia picha au clip tufurahi/tucheke

    Weka picha ama clip ya bodaboda yenye maudhui ya kuchekesha ama kufurahisha
  10. Damaso

    Tunga Sentensi kwa kuanza na neno UNAUHAKIKA

    Nina uhakika mwamba ameshaleft group 😃 😀 😄
  11. R

    GE2025 Vituko vya Aggrey Mwanri akiomba kura kwa Wajumbe CCM

    Vituko vya Aggrey Mwanri ambaye aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora wakati akiomba kura kwa wajumbe wa CCM kwa ajili ya kupata ridhaa ya kuwa mbunge wa Jimbo la Siha Wilaya ya Siha Mkoa wa Kilimanjaro Soma Pia: GE2025 - Aggrey Mwanri avunja wajumbe mbavu akiomba kura za maoni Chanzo: ITV...
  12. Mshana Jr

    Yanayojiri: vituko vya mazishi ya Bonifasi Mwangi

    Wakenya ndani ya msiba WAKENYA NDIO KUFIKA KWA JAMAA NA RAFIKI WA MAREHEMU BONFACE KARIOKI MWANGI KWELI KUFIWA MWANA NI UCHUNGU SANA NDIO HIO MAMBO TUMEPATANA NAYO HUKU NI UZUNI NA FURAHA RIP
  13. Robert Heriel Mtibeli

    Maneno huumba? Kauli ya channel ya vichekesho mbinguni. Je wachekeshaji na wafanya vituko kutaka kujazana bungeni ndio mwanzo wa taifa la vituko?

    Hamjambo Wote! Kuna msemo na Imani kuwa kauli na maneno ya mara kwa mara huumba. Kisaikolojia ni kweli. Kujitamkia au kutamkiwa maneno yaleyale mara kwa mara huyafanya yatokee. Na kuwa kweli. Kwa sababu maneno huathiri mfumo wa ufahamu, kufikiri, na hatimaye mtazamo. Je watu kusema taifa kuwa...
  14. Waufukweni

    Watu wafupi nchini 'Wajukuu wa Samia' (Mr Pimbi, Tausi) watua Bungeni, wakaribishwa kwa makofi mazito

  15. Komeo Lachuma

    Vituko vya Wakubwa Tz. Kuna Wabunge pia waliwahi kuwa Madada Poa

    Ma IGP wana vimbwaga!. IGP Pundugu alifukuzwa kazi na Nyerere ile issues ya Mwinyi kujiuzulu. IGP Mahita aliupata u IGP kwa kumpiga mabomu ya machozi Lyatonga Mrema, wakati huo akiwa RPC wa Moshi. Kumbe mabosi sometimes wanajipooza na wale madada!, Mahita akiwa IGP akajipooza mahali na mdada...
  16. Mshana Jr

    Vituko vya wanyama

    https://www.facebook.com/share/r/1AKuPctuKP/?mibextid=D5vuiz
  17. UMUGHAKA

    Hii Dunia Ina vituko sana,Kuna watu wanasema Real Madrid anamtoa Arsenal

    Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane! Yaani Kuna Vichaa wanywa komoni kutoka pale Bitaraguru na Wanywa Ulanzi kutoka pale Kilolo wanapanua na kukenua Kwa bashasha wakiamini kabisa ya kwamba Arsenal (The Gunners )anakwenda kutolewa na timu ya Wazee Vijana (Real Madrid). Huwa kila siku...
  18. Mshana Jr

    Vituko vya wababa wanapoachwa na watoto nyumbani

    Baadhi ya picha ni Photoshop.. Nyingi ni halisi.. Nyingine ni maigizo
  19. Fbn

    Y2K ilikuwa na vituko sana

    Wakati watu wanasubiri mwaka 2000 kila mtu alikuwa na hofu sana kwa jinsi mijadala mingi ambayo mpaka wakina kibwetero wakatokea hapo. Mimi na kumbuka wakati tuna subiria 2000 mzee aliwaita ndugu zake wote na kuchinjwa kuku wa kutosha tukisubiri labda yesu anakuja ndio mwisho wa dunia. Mwisho...
  20. Mi mi

    TRUMP ANA VITUKO ANATAKA KUMUENDESHA MWENYEKITI WA FEDERAL RESERVE

    Trump bwana ana vituko kweli kweli anataka kumuendesha bwana Jerome Powell. This would be a PERFECT time for Fed Chairman Jerome Powell to cut Interest Rates. He is always “late,” but he could now change his image, and quickly. Energy prices are down, Interest Rates are down, Inflation is down...
Back
Top Bottom