The United States dollar (symbol: $; code: USD; also abbreviated US$ or U.S. Dollar, to distinguish it from other dollar-denominated currencies; referred to as the dollar, U.S. dollar, American dollar, or colloquially buck) is the official currency of the United States and its territories. The Coinage Act of 1792 introduced the U.S. dollar at par with the Spanish silver dollar, divided it into 100 cents, and authorized the minting of coins denominated in dollars and cents. U.S. banknotes are issued in the form of Federal Reserve Notes, popularly called greenbacks due to their historically predominantly green color.
The monetary policy of the United States is conducted by the Federal Reserve System, which acts as the nation's central bank.
The U.S. dollar was originally defined under a bimetallic standard of 371.25 grains (24.057 g) fine silver or, from 1837, 23.22 grains (1.505 g) fine gold, or $20.67 per troy ounce. The Gold Standard Act of 1900 linked the dollar solely to gold. From 1934 its equivalence to gold was revised to $35 per troy ounce. Since 1971 all links to gold have been repealed.The U.S. dollar became an important international reserve currency after the First World War, and displaced the pound sterling as the world's primary reserve currency by the Bretton Woods Agreement towards the end of the Second World War. The dollar is the most widely used currency in international transactions. It is also the official currency in several countries and the de facto currency in many others, with Federal Reserve Notes (and, in a few cases, U.S. coins) used in circulation.
As of February 10, 2021, currency in circulation amounted to US$2.10 trillion, $2.05 trillion of which is in Federal Reserve Notes (the remaining $50 billion is in the form of coins and older-style United States Notes).
Wiki iliyopita, APR FC🇷🇼 iliuliza kiasi cha fedha ambacho Yanga SC🇹🇿 wanaweza kupokea kwa ajili ya kumuachilia Stephane Aziz Ki🇧🇫 anayecheza eneo la kati, wakajibu kwamba watapokea si chini ya dola milioni moja ($1M) , ambayo ni zaidi ya 1,000 .000.000 Frw (Uliza kwa sarafu ya Rwanda)
So far...
Vita ni kitu cha gharama Sana na ni mzigo Kwa dunia.
Ebu piga hesabu Kwa usiku mmoja zimetumika USD kibao Kwaajili ya ulinzi Tu wa anga, Kwa mfano fighter jets za F-35 zilikuwa zinaruka hewani kutokea nchini Cyprus kuzuia makombora yaliyokuwa yanatoka moja Kwa moja kutoka Iran huku fighter jets...
Thamani ya Ksh inaonekana kuimarika dhidi ya Dollar lakin kwa Tsh inazidi kuporomoka na dollar inazidi kuwa adimu ni jambo gani hawa majiran zetu wanafanya vyema zaidi sisi hatukifanyi?
Kama kisemacho kichwa cha habari kwa sahivi natengeneza mfumo wa kodi ambao ukiwa adopted baada ya miaka 10 utakua na uwezo wa kukusanya usd billion 700+.
Nikimaliza ntawapa mrejesho.
Correspondent in Zambia
The African Tax Administration Forum (ATAF) disclosed that additional tax assessments totalling USD 4.75 billion have been recorded since 2016. Of this sum, USD 1.92 billion was collected from audits conducted in member countries. Specifically, in 2023, the forum...
Nchi ya Israel inawalipa dollar 1200 Wafanyakazi wa mashambani na ujenzi.
Hii pesa ni nyingi sana kwa maisha ya Afrika. Baada ya miaka mitano maisha ya mtu yatakuwa yamebadilika Sana. Kama ni nyumba umejenga
Lakini cha kujiuliza, ni kwanini nchi ndogo kama Israel inaweza kuajili watu wengi...
Mgogoro huo ulihusisha Makubaliano ya mwaka 2010 baina ya Nigeria na Kampuni ya Process and Industrial Developments Limited (P&ID) kuendesha Kiwanda nchini humo ambacho kingebadilisha gesi asilia inayochomwa wakati wa uzalishaji wa Mafuta kuwa Umeme
Kampuni hiyo ilipewa Kandarasi ya miaka 20...
Hili la Bandari, kuna watu wameamini ni vita ya kidini na wengine labda ubaguzi. Je, Umewahi kusikia mwafrika mweusi akiingia U-arabu? Yaani akafanya sherehe na kutangazwa rasmi kwamba leo kawa mwarabu?
Yawezekana wa-Tangayika wengi wanaifahamu Z'bar ya pale mjini na hisia za wanasiasa kuwapiga...
Leo katika harakati nikataka kujua take home yangu ya mwaka in USD ni ngapi aise ni aibu! Yaani mwaka mzima napata chini ya USD 6,500!
Ukiona mwanao ana kipaji mpeleke huko haraka sana....
Uchumi wetu bado sana
Kwanza kabisa niweke wazi kwamba tuhuma bila ushahidi ni uzushi .bil 100 ni nyingi sana .
Pili hizi pesa ambazo TL amedai zilikutwa nyumbani kwa hayati magufuli ni nyingi sana ,ni pesa ambazo huwezi ficha kwenye begi ni fedha za kuweka kwenye chumba .
Je hayati Magufuli huko Chato alikuwa...
Mambo vp wadau kama kuna mtu yoyote anaweza kunisaidia kujua faida na hasara kwa kufungua acc ya usd kwa kuhifadh hela naomba anifafanulie nipate uwelewa vizuri.
Power to the People Wanajamvi!!!
Kama umekuwa ukifuatilia mwenendo wa SARAFU yetu pendwa ya TZS kuanzia mwezi wa 5, utagundua kwamba imeporomoka sana kwenye soko la ubadilishaji wa fedha za kigeni.
Kiwango ambacho TZS imeporomoka sasa hivi, hakijawahi kufikiwa tangu uwepo wa TZS duniani, yaani...
Kumekuwa na uhaba mkubwa wa fedha za kigeni hapa Tanzania hasa USD ambayo ndio hutumika sana kwa malipo kwa biashara za kimataifa.
Pamoja na kupanda kwa dola na kushuka kwa shilingi kutoka 2375 mpaka 2405 bado imekuwa shida sana kupatikana.
Kwanza ilianza mabenki kuweka ukomo wa kununua dola...
Kufuatia Hali ya upungufu wa Fedha za Kigeni hasa Dol ya Marekani,BoT yaja na maelekezo ya kudhibiti Viwango Vya Miamala Kwa mtu mmja mmja, taasisi na kampuni ikiwemo kupiga Marufuku madalali Ili kulinda Afya ya Uchumi.
Awali Waziri wa Fedha amenukuliwa akisema Kupungua Kwa mzunguko wa Dola...
Balozi wa Marekani nchini Afrika Kusini Reuben Brigety alisema siku ya Alhamisi Tarehe 11 May 2023 kuwa ana uhakika kwamba meli ya Urusi chini ya vikwazo vya Marekani ilichukua silaha kutoka kambi ya Simon's Town mwezi Disemba, akipendekeza uhamisho huo hauendani na msimamo wa Pretoria wa...
Huko Twitter Carol Ndosi aliuliza "Kuna Uhaba wa Dola"? Majibu yalikuja ata kwa kwa watumishi wengine wa bank wakisema ndiyo!
Sasa hizi mbwembwe za World Bank Uchumi wenu huko imara unatokana na nini kama Reserve yetu ya USD iko chini?
Wachumi tuambiane! Mbona exchange ya USD bado iko...
Hizo ni pesa nyingi sana zinaweza kumjengea kila Mtanzania mkazi wa Dar es Salaam nyumba ya vyumba vitatu iweje watu wachache mgawane mgao mkubwa hivyo?
Hapa watu wa kuwahusisha ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Mwanasheria Mkuu wa serikali, Waziri wa Fedha pamoja na baadhi ya maofisa wa Ikulu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.