Azam Football Club is a professional football club based in Chamazi, Temeke, Dar es Salaam, Tanzania, that competes in the Tanzanian Premier League. Nicknamed Wana Lambalamba, Chamazi Millionaires or the Bakers, the club was founded as Mzizima Football Club in 2004, changed its name to Azam Sports Club in 2005, then Azam Football Club in 2006 and moved to its current stadium, Azam Complex Chamazi, in 2010.
Azam FC have won 10 trophies; one Premier League, a record 5 Mapinduzi Cup, two Kagame Cup, one Tanzania FA Cup and one Community Shield.
In the 2013/14 season, Azam FC won the league unbeaten, and by so doing, the club became only the second (after Simba SC 2009/10) to win the league without losing a single game.
Azam FC were undefeated in the league (26 matches) in a run that stretched to a 38 games, from the 18th round of 2012/13 season to the 4th round of 2014/15. In 2015, the club became the first in the history of Tanzanian clubs to win the Kagame Cup without conceding a goal.
Azam FC is one of the most widely supported football clubs in Tanzania, and has rivalries with Yanga SC, Simba SC, Mtibwa Sugar FC and African Lyon.
Patashika ya ligi kuu kuendelea leo, kwa kukutanisha wekundu wa Msimbazi dhidi ya wazee wa Mapigo na Mwendo baada ya futari. Muda ni saa mbili na robo usiku, Azam complex
Kikosi
Game ishaanza dakika ya 18 bado bila bila
Yellow card Michael Masinda kamfanyia Saido faulo, game inaendelea...
Patashika ya ligi kuu kuendelea leo, kwa kukutanisha wekundu wa Msimbazi dhidi ya wazee wa Mapigo na Mwendo baada ya futari. Muda ni saa mbili na robo usiku, Azam complex
Kikosi
Game ishaanza dakika ya 18 bado bila bila
Yellow card Michael Masinda kamfanyia Saido faulo, game inaendelea...
π°ππππ πππ°
π #NBCPremierLeague
β½οΈ Young Africans SC π Geita Gold FC
π 14.03.2024
π Azam Complex
π 02:15 Usiku
Kikosi kinachoanza dhidi ya Geita Gold FC
#TimuYaWananchi
#DaimaMbeleNyumaMwiko
Mpira umeanza
Dakika ya 5
Aziz k anachezewa madhambi nje ya 18
Dakika ya 7
Yanga SC wanapata kona...
π°ππππ πππ°
π #NBCPremierLeague
β½οΈ Young Africans SCπIhefu FC
π 11.03.2024
π Azam Complex
π 12:00 Jioni
Kikosi kinachoanza dhidi ya Ihefu SC
Mpira umeanza
Dakika ya 5
Yanga SC 0-0 Ihefu SC
Dakika ya 10
GOAAAAAAL Pacomeeeee
Dakika ya 15
Yanga SC 1-0 Ihefu SC
Dakika ya 19
Yanga SC wanakosa...
Klabu ya @simbasctanzania imethibitisha kuwa siku ya tarehe 28/2/2024 watacheza mchezo wao wa ASFC dhidi ya TRA kwenye Uwanja wa Azam Complex.
Mchezo huo utakuwa pia ni sehemu ya maandalizi ya mchezo wao wa mwisho wa CAFCL dhidi ya Jwaneng Galaxy.
π°πππππππππ°
π ASFC
β½οΈ Young Africans SCπPolisi TZ
π 20.02.2024
π Azam Complex
π 1:00 Usiku
Kikosi kinachoanza dhidi ya Polisi Tanzania
Mpira umeanza
Dakika ya 13
Goaaaaaaaal Guedeeeee
Dakika 45+1
Chuma cha piliii Farid Mussaβ½οΈππΌ
Dakika ya 45 niongeza 2
Gwedeeee goli la tatu dakika ya 46...
β½οΈ Young Africans SC Vs Dodoma Jiji
05.02.2024
π Azam Complex
π 1:00 Usiku.
Mpira umeanza
Dakika ya 5
0-0
Dakika ya 9
Yanga SC wanapata Kona ya kwanza
Dakika ya 15
Bado ni 0-0
Dakika ya 20
Yanga SC wanakosa goli la wazi
Dakika ya 25
Pacome anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 27
Mchezaji wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.