prince

A prince is a male ruler (ranked below a king, grand prince, and grand duke) or member of a monarch's or former monarch's family. Prince is also a title of nobility (often highest), often hereditary, in some European states. The feminine equivalent is a princess. The English word derives, via the French word prince, from the Latin noun princeps, from primus (first) and capio (to seize), meaning "the chief, most distinguished, ruler, prince".

View More On Wikipedia.org
  1. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Prince George apelekwa shule ya bweni, ada yake milion 230+ kwa mwaka

    Prince George ameanza rasmi masomo yake katika Eton College, shule maarufu na yenye historia kubwa nchini Uingereza. George mwenye umri wa miaka 13 alifika shuleni akiwa ameambatana na wazazi wake, Prince William na Catherine, Princess of Wales. George sasa anafuata nyayo za baba yake, Prince...
  2. Da Dona

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda BREAKING: Prince Kijanangoma named next Omukama, replacing King Oyo

    Prince Edward Kijanangoma Rukidi has been named the next Omukama of Tooro, following the death of Omukama Oyo Nyimba Kabamba Iguru Rukidi IV, who died on August 27, 2026, and is set to be laid to rest this Saturday. The announcement was made this evening at Karuziika Palace by Babiito clan...
  3. Eronda

    JamiiForums Tanzania FALSE Prince David Kiijanangoma from Tooro has Passed on after the Demise of King Oyo

    Tunachokijua(What we Know). Prince David Kijanangoma, 47, is a member of the Tooro royal family and the son of the late Paul Kijanangoma, who was himself a son of George Edward Rukidi. He is the younger brother of Happy Kijanangoma, who was shot dead in Fort Portal town in 1995. Kijanangoma is...
  4. Archival Sense

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda VIDEO: "I now have all the power over the kingdom "Omusuuga of Tooro, Prince Charles Kamurasi Akiiki.

    Omusuuga of Tooro, Prince Charles Kamurasi Akiiki has declared that he is now the interim leader of the Kingdom and royal clan, following the death of his nephew, Omukama Oyo Nyimba Kabamba Iguru Rukidi IV. In a video posted on TikTok, he says, "Now all the power of the throne belongs to me. I...
  5. Da Dona

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Tooro succession assured as King Oyo leaves behind a Prince

    The Tooro Kingdom has assured its people that the continuity of the Crown is secure following the death of His Majesty Omukama Oyo Nyimba Kabamba Iguru Rukidi IV. In the message announcing the King’s passing, Tooro Kingdom Prime Minister Calvin Armstrong Rwomiire Akiiki said the late monarch...
  6. S

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Je, Prince Charles (ambaye ni mfalme sasa) alikuja Tanzania 1970?

    Wakuu nimekutana na hii taarifa uhalisia ni upi? "Hii picha ni ya mwaka 1970 mwanamfalme wa Uingereza Prince Charles ambae kwa sasa ndio Mfalme wa Uingereza aliposhuka uwanja wa ndege wa Njombe kukagua ujenzi wa barabara ya Makambako kwenda Songea uliokuwa ukijengwa kipindi hicho kwa msaada wa...
  7. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania FT: FAR Rabat 1-1 Mamelodi Sundowns | CAF Champions League Final | Prince Moulay Abdellah Stadium | Mamelodi yatwaa ubingwa | (2-1) Aggregate

    Ni mkondo wa pili wa Fainal ya CAF Champions League. Mechi ya kwanza iliisha kwa Mamelodi kuibuka na ushindi 1-0. Tuone leo hali itakuaje nani atabeba ndoo?
  8. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Prince Dube alivyomzawadia Pesa Mwananchi Bandarini baada ya Dabi ya Kariakoo

    Mshambuliaji wa Young Africans S.C (Yanga SC), Prince Dube, alivyomzawadia pesa Mwananchi baada ya kutua bandarini Machi 2, 2026 akitokea Zanzibar na klabu yake kufuatia mechi ya dabi ya Kariakoo Jumapili ambayo ilimalizika kwa suluhu ya 0-0.
  9. VERITE-NUE

    JamiiForums Tanzania TETESI: Mkuu wa BLACKWATER, Erik D. Prince ajikuta mikononi mwa makomando wa M23

    Taarifa ambazo hazikudhibitishwa na serikali ya DRC au kundi la M23, zimedai kwamba mnamo tarehe 5 February, 2026, bwana Erik D. Prince, mwenye kampuni ya mamluki nchini Marekani, alikamatwa na kundi la M23 huko Kivu kusini. Prince aliwasili nchini DRC akitokea nchi jirani ya Burundi...
  10. T

    JamiiForums Tanzania The Prince (Mwana mfalme) duh! Kuna buda lililokisoma!

    Kitabu The Prince, Mwana Mfalme, ni kitabu kilichoandikwa na mwanasias wa kale katika dola la Roma, Niccolo Machiavelli, mwaka 1513. Huyu aliangalia utawala ulivyokuwa, misingi yake, kuendelea au kufifia, na hatimaye akaandika kitabu hiki kama mwongozo kwa watawala wakitaka kudumu. Moja katika...
  11. Mpwayungu Village

    JamiiForums Tanzania Prince wa saudia Ana nguvu gani mpaka Trump ampe heshima kiasi hiki

    Jana mtoto wa mfalme wa Saudi Arabia walikutana na Trump ikulu oval office ya white house Amekaribishwa kwa uzito sana kupita hata Marais kama wa ufaransa, Ukraine na nchi zote za Africa. Hata hivyo ameahidi kuwekeza dollar trillion 1 za marekani nchini humo. Hizi pesa atazinyea wapi kama tu...
  12. ngara23

    JamiiForums Tanzania Wanaomlaumu na kumshambulia Prince Dube ni watu wasiojua mpira

    Wachambuzi wasiojua mpira wanambagaza Prince Dube binafsi nabaki nawashangaa Sisi tuliocheza mpira na baadae tukapata course za coaching tunajua hata striker kukosa nafasi ya kukosa goal ni mzuri mno, Ile nafasi ni ngumu mno Wachambuzi wengi hawaoni potential ya Dube kwakuwa hawajui mpira...
  13. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Dunia imepoa sana wako wapi kina Prince Johnson, Charles Tylor, Joseph Kony, Saadam Hussein, Osama Bin Laden, Mobutu Sese Seko, Iddi Amin Dada

    Dunia imepoa ndio unavoweza kusema. Dunia imepita watu wa maana ambao tutawakukumbuka daima. Mtu kama Joseph Kony au Mungu wa vita, pale zaire ya zaman na DRC ya sasa alipita Mobutu sese seko pale Liberia watu kama Samuel Doe, prince Johnson, Charles Tylor waliushika ulimwengu pabaya sana...
  14. H

    JamiiForums Tanzania "prince" KATEGA na "abbas" CHIONDA

    "Prince" Katega wewe ni msaliti kwa kutumia jina la "prince" huoneshi uhalisia wa kutuujuza ASILI ya UAFRIKA wako ,badili hilo jina ili uwe mfano kwa Waafrika wote,hata Chionda achana na jina la "abbas" ni usaliti na unafiki,ni budi Waafrika wote wabadili majina yao yote kutoka ya kizungu na...
  15. Escrowseal1

    JamiiForums Tanzania Wenje, utetezi wako kwenye interview na Prince Aloys Nyanda unatufanya wadadisi tuunganishe dots

    Mara paap ghafula bin vuu unakutana na Abdul ,mtoto wa Rais somewhere kwenye function tusikokujua sisi watazamaji kufumba na kufumbua ukataladadi umekaa na kijana amevaa kanzu.wewe Wenje mara kutambulishana unagundua ni Abdul mtoto wa Raisi wa jamhuri ya Muungano ya Tanzania. Hee na namba...
  16. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Prince Dube ajiondoa katika mitandao ya kijamii

    Siku moja baada ya kuibeba Yanga SC kwa bao la dakika za majeruhi dhidi ya TP Mazembe, mshambuliaji Prince Dube amejiondoa katika mitandao ya kijamii. Hatua hiyo imewashangaza mashabiki na kuibua maswali mengi, hasa ikizingatiwa mchango wake katika kuokoa matumaini ya Yanga kwenye michuano ya...
  17. Mtu Asiyejulikana

    JamiiForums Tanzania Mwezi July 2024 huyu Mwanayanga alimwonya Prince Dube na Aziz Ki. Wakakaidi

    Watu mapema walianza kumwonya Dube Mpomelelo kuachana na hizi show za kiduanzi. Akawa mbishi. Mtu akiwa kwenye mapenzi hasikii haoni. Huyu demu inasemekana. Wachezaji na viongozi wanapigiana pasi za upendo. Yeye anachojali ni mkwanja tu. Ila anahusika sana kusambaza gundu kwa wachezaji na...
  18. Mtu Asiyejulikana

    JamiiForums Tanzania Hapa ndo Prince Dube alianza pata gundu. Kilichowamaliza nguvu wachezaji wengi wa Yanga

    Mademu. Kuna mademu walitumwa na mikia kuharibu wachezaji wetu. Kuwamaliza nguvu. Ndo UBAYA UBWELA ile. Hawa Simba waliamua kutumia hii kauli wao wakisema sisi tulikuwa tunanunua sana wachezaji wao. So wao Wamerudisha ubaya kwa style hii. Kuwaingizia mademu wengi wenye gundu Yanga. Hawa...
  19. OMOYOGWANE

    JamiiForums Tanzania Kuna uwezekano Prince Dube aliingia uwanjani akiwa na wenge la pombe ya usiku (hanging over) Yanga kuna tatizo kubwa.

    Mpaka sasanikitizama video za marudio ya mechi ya Yanga vs Al hilal nikiangalia jinsi ambavyo prince Dube alikuwa anaanguka peke yake bila kuguswa 😆 tena yupo kwenye position ya kufunga anaanguka kama walevi wa ambiance au K vant Mpaka wqchezaji wa Al hilal wakawa wanaonyesha ishara ya...
  20. N

    JamiiForums Tanzania Prince Dube kuanza kupachika mabao leo.

    Amani ya Bwana iwe juu yenu waungwana, tumsifu Yesu kristo, Mwanakondoo ameshinda , Asalaam aleykum.... Sina maneno mengi ila Prince Dube kuanza kufumania nyavu Leo katika mechi ambayo watoto wa jangwani watapata ushindi wa kuanzia mabao manne na kuendelea. Sasa tuache ubishi wa kizalamo ...
Back
Top Bottom