Waziri Dk. Gwajima kumkamata huyo Dada wa Nyoka kwa Utapeli na kuwaacha Matapeli wa Kawe, Buza kwa Lulenge na Kimara Temboni ni Unafiki mkubwa

Tena Mimi naona huyo Dada wa Nyoka ana Nafuu kwa huo Utapeli ila Matapeli halisi na Wezi wa Umasikini wa Watanzania wengi kwa njia ya Imani yao ya Uwongo na Kweli wako Tanganyika Packers Kawe, Buza kwa Lulenge na Kimara Temboni.
Kagame amewezaje ku dhibiti matapeli wachache ,unapokea nyumba na gari bila kufanya kazi kwa bidii , umaskini haitapungua wanaotoa pesa Bure wanazitoa wapi
Wauza chumvi namchanga ,wengine wanatuagiza nywele na kucha kama tu kwa mganga kienyeji hapa serikali haioni tatizo
 
Tena Mimi naona huyo Dada wa Nyoka ana Nafuu kwa huo Utapeli ila Matapeli halisi na Wezi wa Umasikini wa Watanzania wengi kwa njia ya Imani yao ya Uwongo na Kweli wako Tanganyika Packers Kawe, Buza kwa Lulenge na Kimara Temboni.
Media au mitandao ya kijamii ndio itakupandisha au kukushusha.usitafute mchawi wako wakati kunguni nishakutajia
 
Sekta gani huko makanisani wanakofanyiwa ujinga mbona yupo kimya!

Wakati mwingine nchi inaunafiki sana.
Kaka makanisa yamesajiliwa na serikari haina Dini ila kwa mtoto wa kike kusema analala na nyoka ni udharirishaji wa kijinsia.Hapo Ndio Gwajima kaingulia hakurupuki huyu bibi mkubwaa
 
Nadhani kwa hili ameangalia a bigger picture, kwa jamii, vizazi vinavyokuja. Je mtoto akiona na kusikia mtu analala na nyoka, ni nini wanajifunza?
Haya mambo yanafanyika sana, ila keep it a secret kwa sababu ni nje ya maadili kwa jamii.
Ni kufuru ya hali ya juu
 
Kaka makanisa yamesajiliwa na serikari haina Dini ila kwa bint wa kike kusema analala na nyoka ni udharirishaji wa kijinsia.Hapo Ndio Gwajima kaingulia hakurupuki huyu bibi mkubwaa
Binti wa kike tena? Siku hizi kuna mabinti wa kike na wa kiume? Au mapungazeze
 
Tena Mimi naona huyo Dada wa Nyoka ana Nafuu kwa huo Utapeli ila Matapeli halisi na Wezi wa Umasikini wa Watanzania wengi kwa njia ya Imani yao ya Uwongo na Kweli wako Tanganyika Packers Kawe, Buza kwa Lulenge na Kimara Temboni.
Dah, tatizo evidence mkuu 😂😂..
Ndomana unaowasema wanapetaa, EVidence . . . . .
 
Tena Mimi naona huyo Dada wa Nyoka ana Nafuu kwa huo Utapeli ila Matapeli halisi na Wezi wa Umasikini wa Watanzania wengi kwa njia ya Imani yao ya Uwongo na Kweli wako Tanganyika Packers Kawe, Buza kwa Lulenge na Kimara Temboni.
Umesahau mawaziri na viongozi serikalini.....kuna wezi zaidi ya hawa?
 
Tena Mimi naona huyo Dada wa Nyoka ana Nafuu kwa huo Utapeli ila Matapeli halisi na Wezi wa Umasikini wa Watanzania wengi kwa njia ya Imani yao ya Uwongo na Kweli wako Tanganyika Packers Kawe, Buza kwa Lulenge na Kimara Temboni.
Including yule wa kufufua misukule feki
 
Tena Mimi naona huyo Dada wa Nyoka ana Nafuu kwa huo Utapeli ila Matapeli halisi na Wezi wa Umasikini wa Watanzania wengi kwa njia ya Imani yao ya Uwongo na Kweli wako Tanganyika Packers Kawe, Buza kwa Lulenge na Kimara Temboni.
Huyu dada nilikuwa namuheshimu sana ila kwa sasa naona kama anaanza kuwehuka vile.....anaacha kupeleka muswada wa kukamata vibaka wa ukweli bungeni eti anakuja kutafuta walalahoi huku mitaani.
 
Wapo wale matapeli wa Tuma hela kwenye namba hii wapo mpaka kesho wanawaangalia tu...hapa umesema sahihi mkuu wengine wanakopesha kwenye mitandao kwa riba za Kijambazi wao wapo busy..
 
Tena Mimi naona huyo Dada wa Nyoka ana Nafuu kwa huo Utapeli ila Matapeli halisi na Wezi wa Umasikini wa Watanzania wengi kwa njia ya Imani yao ya Uwongo na Kweli wako Tanganyika Packers Kawe, Buza kwa Lulenge na Kimara Temboni.
Kwanini asikamatwe huyu waziri kwanza maana anajidhalilisha tu
 
Back
Top Bottom