manual

A manual transmission, also known as a manual gearbox, a standard transmission, stick shift, or simply gearbox, is a type of transmission used in motor vehicle applications. It uses a driver-operated clutch, usually engaged and disengaged by a foot pedal or hand lever, for regulating torque transfer from the engine to the transmission; and a gear selector that can be operated by hand.
A conventional 5- or 6-speed manual transmission is often the standard equipment in a modern base model vehicle, with 5- speed being common on lower end vehicles and commercial vehicles. Higher end vehicles, such as sports cars and luxury cars are often usually equipped with a 6-speed transmission for the base model. Other options include automatic transmissions such as a traditional automatic (hydraulic planetary) transmission (often a manumatic), an automated manual transmission, or a continuously variable transmission (CVT). The number of forward gear ratios is often expressed for automatic transmissions as well (e.g., 9-speed automatic).

View More On Wikipedia.org
  1. JITU BANDIA

    TTCL home Internet Installation Manual

    Habarini wakuu, poleni na majukumu. Moja kwa moja kwenye mada. Ni hivi, Shida yangu ni hii nna imani tuna ma IT gurus wengi kwenye haya maswala humu. Mimi niko mkoa wa X wilayani Y, huku niliko kuna mnara wa TTCL na inatoa huduma. Sasa niliongea nao kuhusu kununua router na kufanyiwa...
  2. Mkyamise

    Car4Sale Carina AT 190 Manual

    Habari za leo waungwana? Nauza gari hii. Ni Carina AT 190 Manual. Gari inatembea vizuri kabisa na mimi ndiye mmiliki. Ina CC 1590, vibali vyote vipo. Inapatikana Busega (Nyashimo) Simiyu. Kilomita 30 kutoka Magu barabara ya Mwanza - Musoma. Bei ni 3,300,000. Punguzo lipo. Piga 0623304519 tuzungumze.
  3. Jitume Biashara

    INAUZWA Nauza Mashine ndogo ya kukamua juisi ya miwa (Mashine ya manual)

    Mashine ya kukamua juisi ya miwa Mashine ya manual Bei 550,000/= Hii mashine unaweza kutumia binafsi kuanzisha biashara ya juisi ya miwa au ukaikodisha kwa mtu mwengine Sifa za mashine 🔸️uzito ni 34kg 🔸️haitumii umeme 🔸️ukubwa wake 46*36*46 🔸️haitumii umeme yani ni manual 🔸️material yake ni...
  4. Kimbioko

    Mashine ya kufunga nyasi kavu(Manual Hay Beller)

    Habar wanajukwaa hili,mimi ni mfugaji mdogo wa ng'ombe maziwa. Kutokana na changamoto ya malisho,ninauhitaji wa kuanza kutengeneza na kuhifidh malisho, lakini nimejaribu kuulizia hiki kifaa kwa hapa Bongo nikapata kampuni moja(hide name) ipo Arusha wanauza bei mbaya mno yani zaidi ya 2 millions...
  5. M

    Manual juice maker

    Manual juicer ya kisasa (Bei Tsh 30,000) &Haitumii umeme, rahisi kutumia. &Inatoa juice Safi bila chemical & Portable,rahisi kusafiri nayo &Imeundwa kwa material imara(Aluminum) &Rahisi kuisafisha. WhatsApp link. Golden Online Store Simu no 0658 106 630 Ndani ya Dar ni free delivery. Unalipia...
  6. Sky Eclat

    It’s called ECO toilet, it can compose human waste and can be used as manual.

    It can be cleaned with water and you don’t need running water to use it. After cleaning with water you can wipe the surface with antibacterial wipes.
  7. KENZY

    Nawezaje kuona setting za VPN apps Kama manual VPN..?

    Mfano unatumia vpn app ambayo unabofya tu inajikonekti yenyewe,Sasa je Kuna namna ipi naweza pata data za hiyohiyo app na nikaziset mwenyewe manually..?? Msaada tafadhari.
  8. Komeo Lachuma

    Matumizi ya M- Kwenye Auto - Manual Cars. Wengi wanashindwa kufahamu watumie nini na wakati gani?

    Kwenye hizi gari ndogo za Mjapan ambazo nmefanikiwa kumiliki nimekuwa nikipenda kuwa na Gari ambazo ni Auto Manual- Binafsi mimi ni mpenzi sana wa Gari Manual. Ingawa kwa hizi ndogo ni nadra sana kuzipata Manual. kwa hizi ndogo nimekuwa na Toyota Harrier, Toyota Crown, Toyota Rumion na Toyota...
  9. V

    natafuta kazi yoyote iwe manual au skilled

    jina titus Umri 27 elim advance secondary level Uzoefu wa kazi miaka uzoefu Katina nyanja Mtunza vifaa Mtunza fedha msimamizi mradi Mtunza kumbukumbu wanajukwaa naombeni Msaada wenu wa kazi nimezunguka sana kutafuta kazi lakini sijafanikiwa na hapa nilipo nimefukuzwa kwenye nyumba sina kodi...
  10. R

    Natafuta Clutch ya Nissan Xtrail manual

    Salaam Naomba msaada wa kujua duka linauza spare parts za Nissan Xtrail. Nahitaji clutch na pressing yake. Gari ni manual Natanguliza shukran
  11. Junnie27

    Car4Sale Atezza Manual for sale

    Altezza manual 5m DSM 0626409908
  12. Ramon Abbas

    Car4Sale Suzuki Cami Manual inakusubiri kwa hamu 3.6mil

    Get it now. This machine is manually operated. It has no any technical problems. Not repainted at all. located at kunduchi Dar es salaam. Priced at 3.6million Tshs come with your technician and get this drive. Hotline: 0625750755
  13. Ramon Abbas

    Car4Sale Suzuki escudo Manual, Engine Ndogo: 5.5mil only

    gari iko poa iko Dar. kwa Taarifa zaidi njoo ukague gari
  14. Ramon Abbas

    Car4Sale Jipatie Gari hii Manual Gear kwa milioni 3.5 tu

    Gari manual ni chache sanaa. wahi hii usiikose. Haina tatizo lolote na inatumika mpaka sasa. Cc 1600 engine 7A full ac. call 0683011003.. Dar es salaam
  15. Dr. Zaganza

    Natafuta dereva wa kunifundisha gari manual Dar es Salaam

    Habari wakuu. Nimejifunza udereva mikoani, kwa sasa nahitaji mtaalam wa kuendesha town center anipe mafunzo, gari itakuwa yake, kwa sasa bado sijaagiza gari yangu. Malipo maelewano Piga 0713 039 875
  16. Ramon Abbas

    Car4Sale Suzuki escudo manual for sale: 3.2 Million wahi

    SUZUKI ESCUDO gari ipo pouwa Haina shida yeyote Full vibali Full doc'ments Bei mil 3.2 Simu 0683011003
  17. Ramon Abbas

    Car4Sale Corolla Manual kwa 2.8 mil

    Corolla Manual ipo Ukonga mazizin full AC Gari imekaza Sana cc 1490 Bei poa sana Mil 2.8 fixed. pga Sim 0683011003 Njoo ukague gari na fundi wako hakuna picha zaidi ya hizi
  18. K

    Wazo: Gari zote Automatic chini ya tani mbili zibadilishwe kuwa manual kupunguza msongamano!

    Mnaonaje Wadau, Serikali ikitunga sheria kuhusiana na wazo. Miaka ya 90 iliwezekana kwa zile chai/maharage, kutoka left hand drive to right hand drive
  19. KIMOMWEMOTORS

    Special thread: Kutana na waagizaji wa magari kutoka Japan

    HABARI YA MAJUKUMU? KIMOMWE MOTORS (T) LTD, TUNAPENDA KUKUKARIBISHA KUAGIZA GARI LAKO KWA GHARAMA NAFUU, HARAKA NA UHAKIKA KUPITIA KAMPUNI YETU. VILE VILE TUNAKUKARIBISHA KATIKA FURSA YA BIASHARA YETU NA UKAWEZA KUTENGENEZA KIPATO CHA ZIADA ENDAPO TU UTAWEZA KUAGIZA GARI AMA KUMLETA MTEJA...
  20. Nkuruvi

    User manual (mwongozo wa mtumiaji) ya gari aina ya toyota probox

    Wakuu, Naomba Mdau yoyote mwenye User Manual (Mwongozo wa Mtumiaji) gari ya aina ya Toyota Probox anisaidie. Nahitaji soft copy ya mwongozo huo. Waweza attach hapa. Asante
Back
Top Bottom