Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
  • Sticky
Nimeona kuna haja ya kuanzisha uzi huu ili kusaidia watu kujua virefu vya maneno mafupi tunayokutana nayo. Hii ni baada ya kusoma uzi mmoja na mtu kuuliza nini maana ya LED! LED - Light Emitting...
8 Reactions
705 Replies
170K Views
  • Sticky
Mimi Mama wawili (naamini na wengine wengi) nina nia sana ya kujifunza na kuboresha uwezo wangu wa kutumia Lugha ya Kiingereza. Nimeomba ushauri na nimepata jibu kuwa kuna washiriki wengi hapa...
47 Reactions
2K Replies
183K Views
  • Sticky
Mambo vipi waungwana,naomba kama kuna mtu ana Dictionary ya kiingereza yaani English to Swahili au Swahili to English anisaidie nilikuwa nayo kwenye Computer yangu baada ya kui-format imekuwa kati...
10 Reactions
94 Replies
100K Views
It is with great erudition and lexical dexterity that I make the assertion that Diamond Platinumz, the prodigious Tanzanian musician, should consider transitioning to singing in English. While it...
2 Reactions
13 Replies
315 Views
Africa's Most Spoken Local Languages 1. KiSwahili (200 million speakers) 2. Hausa (120 million speakers) 3. Amharic (57 million speakers) 4. Yoruba (50 million speakers) 5. Igbo (45 million...
7 Reactions
13 Replies
353 Views
Habari zenu wakuu, Nilikuwa naomba mnisaidie wa jina la mdudu chavichavi kwa kiingereza
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Eti wakuu kipaza sauti ni nini? Hivi vinaitwaje kwa kiswahili? Kipi ni kipaza sauti?
0 Reactions
2 Replies
101 Views
Ni kitabu gani? nitumie kujifunza lugha ya kiingereza?
1 Reactions
25 Replies
466 Views
Matumizi sahihi ya maneno haya kwa kweli huwa yananitatiza sana? Huwa napata shida sana kujua ni wakati gani wa kutumia kwa mfano neno "Kwenye " au wa kutumia neno "Katika" kwenye kuongea au...
0 Reactions
1 Replies
132 Views
Mzuka wana JF! Ni matumaini yangu wote wazima wa afya na mwenyezi Mungu anaendelea kutujalia uzima, amani, nguvu, afya na faraja wakati huu mgumu wa kumpoteza ndugu yetu Bernard Kamilius Membe...
5 Reactions
40 Replies
546 Views
Mjadala huu ni wa manufaa sana kwa mustakabali wa elimu yetu na kuhusu lugha ya kufundishia.
0 Reactions
0 Replies
58 Views
A - a -a prep. of. -a baridi adj. cold. abiria n. passenger. -abudu v. worship; adore. -a bure adj. free. -acha v. cease; allow; leave; let go; abandon. -achana v. leave each other...
7 Reactions
40 Replies
42K Views
Wakuu hivi ukiambiwa eating gluten fee inakua inamaana gani?
1 Reactions
7 Replies
320 Views
Ingekuwa nafuu hata tukisema 'Boni maro'. Yaani ndo UBOHO?! hivi aliyepitisha hili neno alikuwa mswahili kweli? Jamani Uboho inatia ukakasi kutamka. Ni nani mwenye mamlaka atuangalizie jina mbadala?
0 Reactions
1 Replies
263 Views
Lakini kiswahili cha Tanzania hua vipi? Kuna maneno hutumiwa pale hata ujaribu kutafuta maana kwenye internet huwezi pata. Kama mnabuni maneno basi pia muweka maana pale kwa internet tujue maana...
1 Reactions
7 Replies
203 Views
Nimekwama Tunasema Girl's School au Girls' school?
1 Reactions
33 Replies
848 Views
"Kuna haja kubwa..." Hicho Kirai (phrase) hakifai kwenye mawasiliano rasmi na ya staha. Ebu ona hii:- "Kuna haja kubwa" Tafsiri zake mchanganyiko:- 1. Kuna uhitaji mkubwa. 2. Kuna choo (stool)...
0 Reactions
4 Replies
248 Views
Salaam Ndugu zangu? Kuna baadhi ya maneno yanasaidia kutukumbusha sehem au matukio fulani katika maisha yetu. Je maneno haya umeshawahi kuyasikia Ngawira Ndarama Fagilia Shangingi Chekibobu...
0 Reactions
0 Replies
121 Views
[emoji120]
0 Reactions
12 Replies
669 Views
Habari za wakati huu wana JF. Samahani sana naombeni msaada wenu, nahitaji kuwa mtaalamu wa lugha za kigeni(kusoma, kuandika na kuongea kwa ufasaha) na nipo tayari kuanza kujifunza mwezi huu...
0 Reactions
7 Replies
450 Views
Ukiwa Chugga, utasikia misamiati tofauti sana na maeneo mengine, kama kwenye wingi wa maneno, mfano: Maji - Mamaji Ulaya - Maulaya Watu - Mawatu Zipu - Mazipu Kikombe - mavikombe Sahani ya pilau...
2 Reactions
18 Replies
653 Views
Kichwa cha uzi cha husika. Karibu Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
0 Reactions
15 Replies
505 Views
Naomba unyumbuishaji wa neno adhibu? TENDA- TENDEA- TENDEKA- TENDANA- TENDEANA- TENDWA- TENDEWA - TENDEKA- TENDESHA- TENDESHANA- Karibuni tupanuane uelewa...
0 Reactions
2 Replies
136 Views
Back
Top Bottom