Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
  • Sticky
Mimi Mama wawili (naamini na wengine wengi) nina nia sana ya kujifunza na kuboresha uwezo wangu wa kutumia Lugha ya Kiingereza. Nimeomba ushauri na nimepata jibu kuwa kuna washiriki wengi hapa...
47 Reactions
2K Replies
195K Views
  • Sticky
Nimeona kuna haja ya kuanzisha uzi huu ili kusaidia watu kujua virefu vya maneno mafupi tunayokutana nayo. Hii ni baada ya kusoma uzi mmoja na mtu kuuliza nini maana ya LED! LED - Light Emitting...
10 Reactions
710 Replies
213K Views
  • Sticky
Mambo vipi waungwana,naomba kama kuna mtu ana Dictionary ya kiingereza yaani English to Swahili au Swahili to English anisaidie nilikuwa nayo kwenye Computer yangu baada ya kui-format imekuwa kati...
10 Reactions
94 Replies
105K Views
Usaini mkataba, upewe mengi manoti, Tupe mgodi wa shaba, wenye ya kudumu hati, Masharti yote saba, yapite kimkakati, Saini hu mkataba, upewe mengi manoti. Utalindwa kisiasa, mkataba kisaini...
0 Reactions
2 Replies
87 Views
Ukichukua makala au hadithi iliyoandikwa kwa kingereza, uka i translate kuja kiswahili, inakuwa haieleweki kabisa au huumiza kichwa msomaji.
1 Reactions
6 Replies
222 Views
Wakuu naomba msaada kucheua Kwa English ni nini mfano unasema "John amecheua.."
0 Reactions
2 Replies
139 Views
Yamebainika mengi sana leo, kwenye kumbukumbu ya kifo cha Rais wa Tanzania awamu ya 5. Tusirudie yaliyosemwa, bali ninataka kujua asili ya Neno Amirati na labda na aliyelipendekeza kwamba ndio...
1 Reactions
34 Replies
1K Views
Nataka kujua kwa Kiingereza Kurwa (sina uhakika sijui ni Kulwa au Kurwa) anaitwaje na Doto naye anaitwaje
0 Reactions
22 Replies
3K Views
  • Redirect
Amir, meaning "prince," "commander," and "leader," is a male name of Arabic origin. For followers of Islam, Amir is a significant name that enjoys evergreen popularity across the globe. It
0 Reactions
Replies
Views
Inye bojo, mwaguma! Nataka kujua maana ya jina Kahatano.
2 Reactions
4 Replies
341 Views
Huu ni uzi maalum kwa ajili ya kurekebisha makosa ya uandishi wa maneno na sarufi katika lugha za Kiswahili na Kiingereza. Nitaanza na maneno ya kiingereza chart na chat. Mara nyingi watu...
2 Reactions
3 Replies
177 Views
Lugha ya Ishara ni lugha ya kuona ambayo hutumia mikono, mwili na mienendo ya uso kusiliana. Kuna zaidi ya lugha ya ishara 135 ulimwenguni kote, na karibu asilimia 20 ya idadi ya watu duniani wana...
0 Reactions
2 Replies
91 Views
السلم اليكم All جميعا 🌺 الحدالله to be المسم في كليحل 🙏يربي ه‍دنا الصرط المستقبم 🌹 And they will all wish for a good fast month RAMADHANI KARIM.🌹
11 Reactions
52 Replies
679 Views
Naomba nielemishwe kuhusu utabiri unaotolewa na Watalaam. Anaposema kuwa eneo fulani watapata mvua ya WASTANI na juu ya WASTANI ana maana gani?.
0 Reactions
0 Replies
122 Views
Yaani hii nchi MTU anayejua kiingereza ndo MTU anayekubalika Kama msomi. Inafikirisha Sana hili jambo. Tunapima level ya intelligent kwa kuangalia lugha. NB: Vijana jifunzeni kiingereza ili...
14 Reactions
71 Replies
1K Views
Nimekua nikipata tabu sana kujua maana ya maneno mengi ya kiswahili na nikisearch google siyapati napata mitandao ya nje kama wikipedia wakitafsiri ambayo mara nyingi siwaamini kulingana na aina...
1 Reactions
4 Replies
174 Views
Baba mimi ni mtoto wako wa ngapi kuzaliwa?
1 Reactions
41 Replies
8K Views
1. Naanza ona mikasa, yawezaleta balaa, Viongozi wengi tasa, kwa hoja zisizo zaa, Hasa kwa Wana siasa, wao ni kama tabia, Wajifanya ni matasa, wafanyacho wakijua. 2. Ni kutafuta majanga, kuvunja...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari za wakati huu wadau! Natambua uwepo wa watu wenye asili ya kabila maarufu pale mkoani mbeya yaani Wanyakyusa. Kutokana na mihangaiko ya maisha wengi wetu tumejikuta tumekosa fursa ya...
2 Reactions
91 Replies
34K Views
1. Mgeni siku ya kwanza, mpe mchele na panza, mtilie kifuuni, mkaribishe mgeni. 2. Mgeni siku ya pili, Mpe maziwa na samli, Mahaba yakizidia, Mzidishie mgeni. 3. Mgeni siku ya tatu, Nyumbani...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Adhabu ya kaburi aijua maiti, The touture of the grave is only known by the corpse Akiba haiozi, A reserve will not decay Asifuye mvuwa imemnyea. He who praises rain has been rained on. Akili...
4 Reactions
6 Replies
6K Views
Namkumbuka Rais Mwinyi kwa mengi, moja wapo ni pale alipoanzisha kipindi chake cha kiswahili RTD (Radio Tanzania Dar es salaam). Moja ya somo alilofundisha lilihusu tarakimu. Alisema, "katika...
4 Reactions
9 Replies
646 Views
Hello, ladies and gentlemen I'd like to welcome you all to this English language 101 Club. This club is for those who want to learn English language and excel. We are sometimes tirelessly...
4 Reactions
37 Replies
2K Views
Back
Top Bottom