Namnukuu member wa Jf Glenn katika moja ya comment yake namnukuu
"Ukweli mchungu Msoga wenye nchi kamwe hawataki hata kumsikia Makonda. Pia Kinana na Makonda haziivi hata chembe"
NOTE:
Ikumbukwe kuwa CCM jambo lao kuu kuliko yote ni kubaki kuwa Chama Bola chama Tawala iwe kwa namna yeyote Ile ila muhimu kiwepo madarakani.
hata Kama ikimuona Mtu flani wa chama fulani ni muhimu kwao ili chama kitimize dhamira yake itafanya chochote apatikane.
"CCM haiwatupi watu wake huwa ni suala la muda tu. Upepo ukitulia wanarudishwa."
"Ukweli mchungu Msoga wenye nchi kamwe hawataki hata kumsikia Makonda. Pia Kinana na Makonda haziivi hata chembe"
NOTE:
Ikumbukwe kuwa CCM jambo lao kuu kuliko yote ni kubaki kuwa Chama Bola chama Tawala iwe kwa namna yeyote Ile ila muhimu kiwepo madarakani.
hata Kama ikimuona Mtu flani wa chama fulani ni muhimu kwao ili chama kitimize dhamira yake itafanya chochote apatikane.
"CCM haiwatupi watu wake huwa ni suala la muda tu. Upepo ukitulia wanarudishwa."