Wanyakyusa wamefanya mengi ya kishujaa nchi hii yanayokumbukwa. Lakini Dr. Harrison Mwakyembe alifanya jambo ambalo mpk kesho linashikilia rekodi ya ushubwada.
Alikubali kutumika na maadui/wasaliti wa Lowasa kufanya kazi haramu ya kumuangushia zigo la ufisadi kisha kumchafua.
Na mhe. Rafael Chegeni anasema isingekuwa ajali ya kisiasa Lowasa angeishi zaidi. Bila shaka ajali ya kisiasa anayoirejelea ni hii ya kuangushiwa zigo la ufisadi.
Harrison Mwakyembe tunamsubiri kwa hamu kubwa kwenye msiba wa Lowasa ili kuona na kusikia atasema nn kwa muungwana huyu aliyetuacha??
Kama hana neno, basi ni vema atoke hadharani atubu. Vinginevyo Karma haitamuacha salama.
Alikubali kutumika na maadui/wasaliti wa Lowasa kufanya kazi haramu ya kumuangushia zigo la ufisadi kisha kumchafua.
Na mhe. Rafael Chegeni anasema isingekuwa ajali ya kisiasa Lowasa angeishi zaidi. Bila shaka ajali ya kisiasa anayoirejelea ni hii ya kuangushiwa zigo la ufisadi.
Harrison Mwakyembe tunamsubiri kwa hamu kubwa kwenye msiba wa Lowasa ili kuona na kusikia atasema nn kwa muungwana huyu aliyetuacha??
Kama hana neno, basi ni vema atoke hadharani atubu. Vinginevyo Karma haitamuacha salama.